Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Barcelona yavunja uhusiano na Israel kutokana na mauaji ya Gaza

    Barcelona yavunja uhusiano na Israel kutokana na mauaji ya Gaza

    May 31, 2025 10:20

    Baraza la Jiji la Barcelona limetangaza kuvunja uhusiano wa kitaasisi na utawala wa Israel kutokana na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Kwa nini Uhispania imeongeza mashinikizo dhidi ya Israel?

    Kwa nini Uhispania imeongeza mashinikizo dhidi ya Israel?

    May 22, 2025 02:18

    Bunge la Uhispania limepitisha muswada unaoitaka serikali ya nchi hiyo kuacha kuuzia utawala ghasibu wa Israel zana zozote za kijeshi.

  • Kwa nini utawala wa Kizayuni ni utawala wa mauaji ya kizazi?

    Kwa nini utawala wa Kizayuni ni utawala wa mauaji ya kizazi?

    May 16, 2025 02:16

    Sisitizo la Israel la kuendeleza vita Gaza katika mwezi wake wa ishirini na kuendelea kuwaua kwa umati wakazi wa ukanda huo hususan wanawake na watoto si tu kwamba kumeibua mijadala ya upinzani na kulaaniwa kimataifa kitendo hicho, bali hata nchi za Ulaya zimekuwa zikiukosoa utawala huo ghasibu kwa hatua zake hizo za kikatili.

  • Kulaani nchi za Ulaya hatua ya Israel ya kuzuia misaada ya kibinadamu Gaza

    Kulaani nchi za Ulaya hatua ya Israel ya kuzuia misaada ya kibinadamu Gaza

    May 03, 2025 02:16

    Huku mashambulizi ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza yakiendelea na hali ya mambo katika eneo hilo kuwa mbaya zaidi, Uhispania, Ubelgiji na Ireland, nchi tatu wanachama wa Umoja wa Ulaya zimekosoa vikali kitendo cha utawala ghasibu wa Israel cha kukiuka usitishaji vita na kuanzisha tena mashambulizi katika Ukanda wa Gaza.

  • Waziri Mkuu wa Uhispania: Sitaruhusu mpango wa Trump wa kuwafukuza Wapalestina huko Gaza

    Waziri Mkuu wa Uhispania: Sitaruhusu mpango wa Trump wa kuwafukuza Wapalestina huko Gaza

    Feb 16, 2025 13:53

    Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sánchez, amepinga vikali mpango wa Rais wa Marekani wa kutwaa Ukanda wa Gaza na kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi nchi jirani kama Jordan na Misri, akisisitiza kwamba Madrid haitaruhusu mpango huo kutekelezwa.

  • Kadi nyekundu yatolewa kwa Israel kwenye mechi kati ya Osasuna na Real Madrid

    Kadi nyekundu yatolewa kwa Israel kwenye mechi kati ya Osasuna na Real Madrid

    Feb 16, 2025 09:26

    Mashabiki wa klabu ya Osasuna ya Uhispania wametoa wito wa kukomeshwa uhalifu wa utawala wa Israel huko Palestina katika mechi na mpira wa miguu iliyofanyika jana Jumamosi kati ya timu hiyo dhidi ya Real Madrid.

  • Bunge la Uhispania lahimizwa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel

    Bunge la Uhispania lahimizwa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel

    Dec 22, 2024 07:45

    Jukwaa jipya lililoundwa kwa jina la Wanasheria wa Palestina linalojumuisha mawakili, majaji, waendesha mashtaka na wanasomi mbalimbali limetaka Kongresi ya Uhispania kuunga mkono pendekezo la kukata uhusiano wa kidiplomasia na Israel na kuuwekea vikwazo utawala huo vamizi unaozikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

    Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

    Nov 27, 2024 06:22

    Maandamano yamefanyika katika miji tofauti ya Uhispania kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Uhispania yasisitiza  kusimamishwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza na Lebanon

    Uhispania yasisitiza kusimamishwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza na Lebanon

    Nov 18, 2024 06:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amesisitiza ulazima wa kusitishwa haraka iwezekanavyo mashambulizi ya kikatili yanayofanywa na jeshi la Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Mfalme Charles aungama kuhusu 'sura chungu' ya ukoloni wa Uingereza, miito ya kulipa fidia yatolewa

    Mfalme Charles aungama kuhusu 'sura chungu' ya ukoloni wa Uingereza, miito ya kulipa fidia yatolewa

    Oct 26, 2024 05:59

    Mfalme Charles III ameungama kuhusu "sura chungu" ya utawala wa kikoloni wa Uingereza duniani huku kukitolewa miito ya kulipwa fidia ya utumwa ulioendeshwa na mkoloni huyo mkongwe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS