Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Waziri Mkuu wa Uhispania: Sitaruhusu mpango wa Trump wa kuwafukuza Wapalestina huko Gaza

    Waziri Mkuu wa Uhispania: Sitaruhusu mpango wa Trump wa kuwafukuza Wapalestina huko Gaza

    Feb 16, 2025 13:53

    Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sánchez, amepinga vikali mpango wa Rais wa Marekani wa kutwaa Ukanda wa Gaza na kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi nchi jirani kama Jordan na Misri, akisisitiza kwamba Madrid haitaruhusu mpango huo kutekelezwa.

  • Kadi nyekundu yatolewa kwa Israel kwenye mechi kati ya Osasuna na Real Madrid

    Kadi nyekundu yatolewa kwa Israel kwenye mechi kati ya Osasuna na Real Madrid

    Feb 16, 2025 09:26

    Mashabiki wa klabu ya Osasuna ya Uhispania wametoa wito wa kukomeshwa uhalifu wa utawala wa Israel huko Palestina katika mechi na mpira wa miguu iliyofanyika jana Jumamosi kati ya timu hiyo dhidi ya Real Madrid.

  • Bunge la Uhispania lahimizwa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel

    Bunge la Uhispania lahimizwa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel

    Dec 22, 2024 07:45

    Jukwaa jipya lililoundwa kwa jina la Wanasheria wa Palestina linalojumuisha mawakili, majaji, waendesha mashtaka na wanasomi mbalimbali limetaka Kongresi ya Uhispania kuunga mkono pendekezo la kukata uhusiano wa kidiplomasia na Israel na kuuwekea vikwazo utawala huo vamizi unaozikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

    Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

    Nov 27, 2024 06:22

    Maandamano yamefanyika katika miji tofauti ya Uhispania kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Uhispania yasisitiza  kusimamishwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza na Lebanon

    Uhispania yasisitiza kusimamishwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza na Lebanon

    Nov 18, 2024 06:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amesisitiza ulazima wa kusitishwa haraka iwezekanavyo mashambulizi ya kikatili yanayofanywa na jeshi la Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Mfalme Charles aungama kuhusu 'sura chungu' ya ukoloni wa Uingereza, miito ya kulipa fidia yatolewa

    Mfalme Charles aungama kuhusu 'sura chungu' ya ukoloni wa Uingereza, miito ya kulipa fidia yatolewa

    Oct 26, 2024 05:59

    Mfalme Charles III ameungama kuhusu "sura chungu" ya utawala wa kikoloni wa Uingereza duniani huku kukitolewa miito ya kulipwa fidia ya utumwa ulioendeshwa na mkoloni huyo mkongwe.

  • Sisitizo la Waziri Mkuu wa Uhispania juu ya jibu kali la jamii ya kimataifa kwa jinai za utawala wa  Israel

    Sisitizo la Waziri Mkuu wa Uhispania juu ya jibu kali la jamii ya kimataifa kwa jinai za utawala wa Israel

    Oct 10, 2024 05:58

    Waziri Mkuu wa Uhispania ametaja oparesheni ya kijeshi ya utawala habithi wa Israeli huko Lebanon kuwa "uvamizi" na kusisitiza kwamba jamii ya kimataifa inapasa kuchukua hatua kuhusu suala hilo.

  • Rais Samia azijibu balozi za Ulaya: Tanzania ni nchi huru, isielekezwe cha kufanya katika mambo yake

    Rais Samia azijibu balozi za Ulaya: Tanzania ni nchi huru, isielekezwe cha kufanya katika mambo yake

    Sep 18, 2024 06:03

    Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amejibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini humo, yaliyotaka ufanyike uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu akisema, Tanzania ni nchi huru, hivyo haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake.

  • Uhispania: NATO inapaswa kuacha undumakuwili kuhusu Ukraine na Gaza

    Uhispania: NATO inapaswa kuacha undumakuwili kuhusu Ukraine na Gaza

    Jul 12, 2024 11:28

    Waziri Mkuu wa Uhispania ametoa wito kwa wanachama wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) kuheshimu sheria za kimataifa kwa kiwango sawa kuhusiana na Gaza na Ukraine bila "kutumia misimamo na sera za kindumakuwili".

  • Waziri Mkuu wa Uhispania ayataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina

    Waziri Mkuu wa Uhispania ayataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina

    Jun 14, 2024 07:32

    Pedro Sanchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameyataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi na dola huru.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS