Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Maelfu waandamana Madrid kuliunga mkono taifa la Palestina

    Maelfu waandamana Madrid kuliunga mkono taifa la Palestina

    Jan 28, 2024 13:28

    Maelfu ya wananchi wa Uhispania kwa mara nyingine tena wamemiminika katika barabara za mji mkuu wa nchi hiyo, Madrid kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina hasa wa Ukanda wa Gaza, na vilevile kulaani mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala haramu wa Israel katika ukanda huo.

  • Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza

    Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza

    Jan 19, 2024 03:27

    Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameonya kuwa, usalama na uthabiti wa eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) umekuwa hatarini na kwamba, mashambulizi haya yanahatarisha nidhamu na uratibu wa ushirikiano wa pande kadhaa.

  • Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani

    Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani

    Dec 29, 2023 02:30

    Pedro Sanchez Waziri Mkuu wa Uhispania amepinga uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuunga mkono Muungano wa Baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu. Sanchyez amesisitiza kuwa: 'Tunapinga kutumiwa vikosi vya baharini vya Ulaya dhidi ya maharamia kwa jina la oparesheni ya "Atalanta" kwa ajili ya kulinda meli za kibiashara katika Bahari Nyekundu mkabala wa mashambulizi ya Yemen.'

  • Kuvunjika muungano wa baharini wa Marekani kwa kujiondoa Ufaransa, Uhispania na Italia

    Kuvunjika muungano wa baharini wa Marekani kwa kujiondoa Ufaransa, Uhispania na Italia

    Dec 25, 2023 05:52

    Marekani imetangaza kuunda Muungano wa Baharini ikiwa ni katika jitihada zake za kuendelea kuutetea kwa hali na mali utawala ghasibu wa Israel katika hujuma yake ya kinyama dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kukabiliana na mashambulizi ya Yemen katika Bahari Nyekundu dhidi ya meli zinazoelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel huko Palestina.

  • Mwakilishi wa Uhispania katika Bunge la Ulaya: Israel imekufa

    Mwakilishi wa Uhispania katika Bunge la Ulaya: Israel imekufa

    Dec 24, 2023 05:55

    Mwakilishi wa Uhispania katika Bunge la Ulaya amesema, "Israel" imekufa, na licha ya kuuawa shahidi maelfu ya watu huko Gaza, Wapalestina wanakaribia zaidi kupata ushindi.

  • Mashirika ya kiraia Uhispania yataka kusitishwa biashara ya silaha na Israel

    Mashirika ya kiraia Uhispania yataka kusitishwa biashara ya silaha na Israel

    Dec 21, 2023 11:23

    Wanaharakati kutoka mamia ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) nchini Uhispania wamefanya maandamano na kukusanyika nje ya Bunge la nchi hiyo wakiitaka serikali yao isimamishe bishara ya silaha na utawala haramu wa Israel.

  • Mbunge wa EU kutoka Uhispania ataka Netanyahu apandishwe kizimbani katika Mahakama ya ICC

    Mbunge wa EU kutoka Uhispania ataka Netanyahu apandishwe kizimbani katika Mahakama ya ICC

    Dec 19, 2023 12:30

    Mwakilishi wa Uhispania katika Bunge la Ulaya ametaka Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel apandishwe kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kutokana na jinai na mashambulio ya kinyama yaliyofanywa na utawala huo dhidi ya Wapalestina.

  • Waziri Mkuu wa Uhispania: Israel haiheshimu sheria za kimataifa za ubinadamu

    Waziri Mkuu wa Uhispania: Israel haiheshimu sheria za kimataifa za ubinadamu

    Dec 01, 2023 06:46

    Waziri Mkuu wa Uhispania amesema kwamba, kwa kuzingatia idadi ya raia wakiwemo watoto wadogo ambao ni wahanga wa vita vya wiki kadhaa vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, ni wazi kuwa Tel Aviv haiheshimu sheria za kimataifa za ubinadamu.

  • Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina

    Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina

    Nov 25, 2023 11:47

    Hatua ya Uhispania na Ubelgiji ya kutangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina ni tukio muhimu kushuhudiwa barani Ulaya kuhusu kadhia ya Palestina. Hatua hii imeukasirisha sana utawala wa Kizayuni.

  • Ubalozi wa Iran Uhispania: Kuendelea kudhalilishwa Qur'ani Tukufu ni jinai ya kiutamaduni

    Ubalozi wa Iran Uhispania: Kuendelea kudhalilishwa Qur'ani Tukufu ni jinai ya kiutamaduni

    Aug 02, 2023 11:09

    Ubalozi wa Iran nchini Uhispania umelaani kitendo cha Qur'ani Tukufu kuendelea kuvunjiwa heshima na kukitaja kuwa jinai ya kiutamaduni ambapo pia umekosoa misimamo dhaifu ya Umoja wa Ulaya kuhusiana na suala hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS