Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Fedheha ya ubaguzi wa rangi katika mchezo wa soka barani Ulaya

    Fedheha ya ubaguzi wa rangi katika mchezo wa soka barani Ulaya

    May 26, 2023 01:48

    Ubaguzi wa rangi ni silaha ya tangu na tangu, ambayo siku hizi, na licha ya kauli mbiu zote za kuwepo usawa baina ya watu wote na haki za binadamu kwa wote, ingali inatumiwa katika Ulimwengu wa Magharibi dhidi ya watu weusi na wasio Wazungu. Siku hizi katika nchi za Magharibi, watu wa rangi zingine hasa weusi, hawana hadhi sawa na weupe, licha ya wanavyojituma na michango mingi mno wanayotoa.

  • Meya wa Barcelona avunja uhusiano na Israel, aitetea Palestina

    Meya wa Barcelona avunja uhusiano na Israel, aitetea Palestina

    Feb 10, 2023 02:25

    Jiji la Barcelona la kaskazini mashariki mwa Uhispania limetangaza kusimamisha uhusiano wake na utawala haramu wa Israel.

  • Ukame watishia kuzuka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Uhispania

    Ukame watishia kuzuka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Uhispania

    Aug 14, 2022 02:28

    Ukame unaendelea kusini mwa nchi ya Ulaya ya Uhispania. Ukame huo umepelekea kukauka maji katika maeneo hayo, njaa na kupungua kipato cha wakazi wake ambao wanategemea sana kilimo na utalii. Ukame huo umezusha wasiwasi pia wa kutokea vita vya ndani baina ya jamii za watu mbalimbali wa nchi hiyo.

  • Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika

    Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika

    Jul 30, 2022 09:30

    Vifo vya kwanza vilivyotokana na ugonjwa wa Ndui ya Nyani (Monkeypox) nje ya bara la Afrika vimeripotiwa katika nchi za Uhispania na Brazil, huku maambukizi ya ugonjwa huo yakiongezeka kote duniani hususan barani Ulaya.

  • Joto kali laua watu zaidi ya 2000 Uhispania na Ureno

    Joto kali laua watu zaidi ya 2000 Uhispania na Ureno

    Jul 22, 2022 13:07

    Watu zaidi ya 2000 wamepoteza maisha huko Ushipania na Ureno katika wiki za karibuni kufuatia joto kali lililovunja rekodi likiambatana na moto mkubwa wa misituni ambao umelazimisha maelfu ya watu kuzihama nyumba zao.

  • Joto kali limeua watu 500 nchini Uhispania

    Joto kali limeua watu 500 nchini Uhispania

    Jul 21, 2022 04:19

    Waziri mkuu wa Uhispania amesema zaidi ya watu 500 wamepoteza maisha nchini humo wakati wa wimbi la joto la siku 10 huku bara lote la Ulaya likiendelea kupata hasara kubwa kutokana na joto kali ambalo limevunja rekodi mwaka huu.

  • Waziri Mkuu Uhispania: Morocco inapaswa kulaumiwa kwa maafa ya wahajiri wa Kiafrika, Melilla

    Waziri Mkuu Uhispania: Morocco inapaswa kulaumiwa kwa maafa ya wahajiri wa Kiafrika, Melilla

    Jul 04, 2022 14:09

    Waziri Mkuu wa Uhispania amesema kwamba mkasa wa wahajiri wa Kiafrika katika eneo la Melilla unapaswa kuchunguzwa nchini Morocco na kwamba ni serikali ya Rabat ambayo inapaswa kuwajibika katika suala hili.

  • AU yataka uchunguzi wa mauaji ya makumi ya watu mpakani mwa Morocco, Uhispania

    AU yataka uchunguzi wa mauaji ya makumi ya watu mpakani mwa Morocco, Uhispania

    Jun 27, 2022 11:27

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Afrika ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa mauaji ya makumi ya wahajiri wa Kiafrika katika mpaka wa Morocco na Uhispania.

  • Morocco: Wahajiri 18 wameaga dunia wakijaribu kuingia eneo la Melilla la Uhispania

    Morocco: Wahajiri 18 wameaga dunia wakijaribu kuingia eneo la Melilla la Uhispania

    Jun 25, 2022 11:47

    Serikali ya Morocco imesema wahajiri 18 wamepoteza maisha, huku makumi ya wengine pamoja na askari polisi wakijeruhiwa katika mkanyagano wa kujaribu kuingia katika maeneo ya Melilla na Ceuta yanayodhibitiwa na Uhispania.

  • Algeria yasimamisha uhusiano wa kitalii na Uhispania, mvutano washtadi

    Algeria yasimamisha uhusiano wa kitalii na Uhispania, mvutano washtadi

    Jun 21, 2022 07:51

    Serikali ya Algeria imetangaza kusimamisha uhusiano wa kitalii wa nchi hiyo na Uhispania, huku mzozo baina mataifa hayo mawili juu ya mgogoro wa Sahara Magharibi ukiongezeka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS