-
Algeria yasimamisha ushirikiano na Uhispania kwa sababu ya kadhia ya Sahara Magharibi
Jun 09, 2022 12:25Algeria imechukua hatua "mara moja" kusimamisha mkataba wa Urafiki baina yake na Uhispania baada ya Madrid kubadilisha msimamo wa miongo kadhaa wa kutoegemea upande wowote katika mgogoro wa Sahara Magharibi.
-
Algeria yamwita balozi wake wa Madrid, baada ya Uhispania kubadili msimamo kuhusu Sahara Magharibi
Mar 20, 2022 07:55Algeria imemwita nyumbani balozi wake wa Uhispania kwa ajili ya mashauriano, kutokana na matamshi ya hivi karibuni ya Madrid kuhusu mgogoro wa Sahara Magharibi.
-
Chuki dhidi ya Uislamu: Msikiti mwingine wavunjiwa heshima nchini Uhispania
Jul 08, 2021 08:18Msikiti mmoja umevunjiwa heshima nchini Uhispania ikiwa ni muendelezo wa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya.
-
Bunge la Kiarabu laiunga mkono Morocco katika hitilafu zake na Uhispania
Jun 28, 2021 02:32Bunge za Nchi za Kiarabu limetangaza katika taarifa yake kuwa linaiunga mkono Morocco kuhusu hitilafu zilizojitokeza kati ya nchi hiyo na Uhispania.
-
Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania
Apr 27, 2021 12:58Miili 17 ya wahajiri wa Kiafrika imepatikana katika mji wa pwani wa El Hierro, ulioko katika moja ya visiwa vya Canary vya Uhispania.
-
Baada ya kuchanjwa Pfizer, wazee 78 Uhispania waambukizwa corona, kadhaa kati yao wafariki dunia
Feb 02, 2021 08:04Wakazi wote wa nyumba moja ya matunzo kwa wazee nchini Uhispania wameambukizwa virusi vya corona baada ya kupigwa chanjo ya Pfizer na kadhaa miongoni mwao wamefariki dunia.
-
Mkuu wa majeshi Uhispania ajiuzulu kwa kudunga chanjo ya corona bila kuwemo kwenye orodha
Jan 25, 2021 12:34Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Uhispania Jenerali Miguel Angel Villaroya amejiuzulu wadhifa wake kufuatia sakata la kupatiwa chanjo ya corona wakati hayumo kwenye orodha ya watu wenye kipaumbele cha kupatiwa chanjo hiyo.
-
Muuguzi aaga dunia siku 2 baada ya kupewa chanjo ya Covid-19 Ureno
Jan 06, 2021 04:42Maafisa wa afya nchini Ureno wanachunguza kisa cha kufariki dunia ghafla muuguzi mmoja, saa 48 baada ya kupigwa chanjo ya kumkinga dhidi ya virusi vya corona.
-
Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia
Aug 04, 2020 08:03Mfalme wa zamani wa Uhispania, Juan Carlos ameondoka nchini humo na kuelekea kusikojulikana wiki kadhaa baada ya kuhusishwa na ufisadi na kashfa ya kupokea mlungula kutoka kwa mfalme wa zamani wa Saudi Arabia.
-
Uhispania yahamisha wanajeshi wake kutoka Iraq na kuwapeleka Kuwait
Jan 09, 2020 12:22Uhispania imewaondoa baadhi ya wanajeshi wake huko Iraq na kuwahamishia Kuwait kufuatia jinai ya karibuni ya Marekani na kushtadi mivutano katika eneo la Asia Magharibi. Uhispania imesema imefanya hivyo kwa kuhofia usalama wa wanajeshi wake.