Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Algeria yasimamisha ushirikiano na Uhispania kwa sababu ya kadhia ya Sahara Magharibi

    Algeria yasimamisha ushirikiano na Uhispania kwa sababu ya kadhia ya Sahara Magharibi

    Jun 09, 2022 12:25

    Algeria imechukua hatua "mara moja" kusimamisha mkataba wa Urafiki baina yake na Uhispania baada ya Madrid kubadilisha msimamo wa miongo kadhaa wa kutoegemea upande wowote katika mgogoro wa Sahara Magharibi.

  • Algeria yamwita balozi wake wa Madrid, baada ya Uhispania kubadili msimamo kuhusu Sahara Magharibi

    Algeria yamwita balozi wake wa Madrid, baada ya Uhispania kubadili msimamo kuhusu Sahara Magharibi

    Mar 20, 2022 07:55

    Algeria imemwita nyumbani balozi wake wa Uhispania kwa ajili ya mashauriano, kutokana na matamshi ya hivi karibuni ya Madrid kuhusu mgogoro wa Sahara Magharibi.

  • Chuki dhidi ya Uislamu: Msikiti mwingine wavunjiwa heshima nchini Uhispania

    Chuki dhidi ya Uislamu: Msikiti mwingine wavunjiwa heshima nchini Uhispania

    Jul 08, 2021 08:18

    Msikiti mmoja umevunjiwa heshima nchini Uhispania ikiwa ni muendelezo wa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya.

  • Bunge la Kiarabu laiunga mkono Morocco katika hitilafu zake na Uhispania

    Bunge la Kiarabu laiunga mkono Morocco katika hitilafu zake na Uhispania

    Jun 28, 2021 02:32

    Bunge za Nchi za Kiarabu limetangaza katika taarifa yake kuwa linaiunga mkono Morocco kuhusu hitilafu zilizojitokeza kati ya nchi hiyo na Uhispania.

  • Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania

    Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania

    Apr 27, 2021 12:58

    Miili 17 ya wahajiri wa Kiafrika imepatikana katika mji wa pwani wa El Hierro, ulioko katika moja ya visiwa vya Canary vya Uhispania.

  • Baada ya kuchanjwa Pfizer, wazee 78 Uhispania waambukizwa corona, kadhaa kati yao wafariki dunia

    Baada ya kuchanjwa Pfizer, wazee 78 Uhispania waambukizwa corona, kadhaa kati yao wafariki dunia

    Feb 02, 2021 08:04

    Wakazi wote wa nyumba moja ya matunzo kwa wazee nchini Uhispania wameambukizwa virusi vya corona baada ya kupigwa chanjo ya Pfizer na kadhaa miongoni mwao wamefariki dunia.

  • Mkuu wa majeshi Uhispania ajiuzulu kwa kudunga chanjo ya corona bila kuwemo kwenye orodha

    Mkuu wa majeshi Uhispania ajiuzulu kwa kudunga chanjo ya corona bila kuwemo kwenye orodha

    Jan 25, 2021 12:34

    Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Uhispania Jenerali Miguel Angel Villaroya amejiuzulu wadhifa wake kufuatia sakata la kupatiwa chanjo ya corona wakati hayumo kwenye orodha ya watu wenye kipaumbele cha kupatiwa chanjo hiyo.

  • Muuguzi aaga dunia siku 2 baada ya kupewa chanjo ya Covid-19 Ureno

    Muuguzi aaga dunia siku 2 baada ya kupewa chanjo ya Covid-19 Ureno

    Jan 06, 2021 04:42

    Maafisa wa afya nchini Ureno wanachunguza kisa cha kufariki dunia ghafla muuguzi mmoja, saa 48 baada ya kupigwa chanjo ya kumkinga dhidi ya virusi vya corona.

  • Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia

    Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia

    Aug 04, 2020 08:03

    Mfalme wa zamani wa Uhispania, Juan Carlos ameondoka nchini humo na kuelekea kusikojulikana wiki kadhaa baada ya kuhusishwa na ufisadi na kashfa ya kupokea mlungula kutoka kwa mfalme wa zamani wa Saudi Arabia.

  • Uhispania yahamisha wanajeshi wake kutoka Iraq na kuwapeleka Kuwait

    Uhispania yahamisha wanajeshi wake kutoka Iraq na kuwapeleka Kuwait

    Jan 09, 2020 12:22

    Uhispania imewaondoa baadhi ya wanajeshi wake huko Iraq na kuwahamishia Kuwait kufuatia jinai ya karibuni ya Marekani na kushtadi mivutano katika eneo la Asia Magharibi. Uhispania imesema imefanya hivyo kwa kuhofia usalama wa wanajeshi wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS