Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Mbunge wa EU kutoka Uhispania ataka Netanyahu apandishwe kizimbani katika Mahakama ya ICC

    Mbunge wa EU kutoka Uhispania ataka Netanyahu apandishwe kizimbani katika Mahakama ya ICC

    Dec 19, 2023 09:00

    Mwakilishi wa Uhispania katika Bunge la Ulaya ametaka Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel apandishwe kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kutokana na jinai na mashambulio ya kinyama yaliyofanywa na utawala huo dhidi ya Wapalestina.

  • Waziri Mkuu wa Uhispania: Israel haiheshimu sheria za kimataifa za ubinadamu

    Waziri Mkuu wa Uhispania: Israel haiheshimu sheria za kimataifa za ubinadamu

    Dec 01, 2023 03:16

    Waziri Mkuu wa Uhispania amesema kwamba, kwa kuzingatia idadi ya raia wakiwemo watoto wadogo ambao ni wahanga wa vita vya wiki kadhaa vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, ni wazi kuwa Tel Aviv haiheshimu sheria za kimataifa za ubinadamu.

  • Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina

    Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina

    Nov 25, 2023 08:17

    Hatua ya Uhispania na Ubelgiji ya kutangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina ni tukio muhimu kushuhudiwa barani Ulaya kuhusu kadhia ya Palestina. Hatua hii imeukasirisha sana utawala wa Kizayuni.

  • Ubalozi wa Iran Uhispania: Kuendelea kudhalilishwa Qur'ani Tukufu ni jinai ya kiutamaduni

    Ubalozi wa Iran Uhispania: Kuendelea kudhalilishwa Qur'ani Tukufu ni jinai ya kiutamaduni

    Aug 02, 2023 07:39

    Ubalozi wa Iran nchini Uhispania umelaani kitendo cha Qur'ani Tukufu kuendelea kuvunjiwa heshima na kukitaja kuwa jinai ya kiutamaduni ambapo pia umekosoa misimamo dhaifu ya Umoja wa Ulaya kuhusiana na suala hilo.

  • Fedheha ya ubaguzi wa rangi katika mchezo wa soka barani Ulaya

    Fedheha ya ubaguzi wa rangi katika mchezo wa soka barani Ulaya

    May 25, 2023 22:18

    Ubaguzi wa rangi ni silaha ya tangu na tangu, ambayo siku hizi, na licha ya kauli mbiu zote za kuwepo usawa baina ya watu wote na haki za binadamu kwa wote, ingali inatumiwa katika Ulimwengu wa Magharibi dhidi ya watu weusi na wasio Wazungu. Siku hizi katika nchi za Magharibi, watu wa rangi zingine hasa weusi, hawana hadhi sawa na weupe, licha ya wanavyojituma na michango mingi mno wanayotoa.

  • Meya wa Barcelona avunja uhusiano na Israel, aitetea Palestina

    Meya wa Barcelona avunja uhusiano na Israel, aitetea Palestina

    Feb 09, 2023 22:55

    Jiji la Barcelona la kaskazini mashariki mwa Uhispania limetangaza kusimamisha uhusiano wake na utawala haramu wa Israel.

  • Ukame watishia kuzuka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Uhispania

    Ukame watishia kuzuka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Uhispania

    Aug 13, 2022 21:58

    Ukame unaendelea kusini mwa nchi ya Ulaya ya Uhispania. Ukame huo umepelekea kukauka maji katika maeneo hayo, njaa na kupungua kipato cha wakazi wake ambao wanategemea sana kilimo na utalii. Ukame huo umezusha wasiwasi pia wa kutokea vita vya ndani baina ya jamii za watu mbalimbali wa nchi hiyo.

  • Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika

    Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika

    Jul 30, 2022 05:00

    Vifo vya kwanza vilivyotokana na ugonjwa wa Ndui ya Nyani (Monkeypox) nje ya bara la Afrika vimeripotiwa katika nchi za Uhispania na Brazil, huku maambukizi ya ugonjwa huo yakiongezeka kote duniani hususan barani Ulaya.

  • Joto kali laua watu zaidi ya 2000 Uhispania na Ureno

    Joto kali laua watu zaidi ya 2000 Uhispania na Ureno

    Jul 22, 2022 08:37

    Watu zaidi ya 2000 wamepoteza maisha huko Ushipania na Ureno katika wiki za karibuni kufuatia joto kali lililovunja rekodi likiambatana na moto mkubwa wa misituni ambao umelazimisha maelfu ya watu kuzihama nyumba zao.

  • Joto kali limeua watu 500 nchini Uhispania

    Joto kali limeua watu 500 nchini Uhispania

    Jul 20, 2022 23:49

    Waziri mkuu wa Uhispania amesema zaidi ya watu 500 wamepoteza maisha nchini humo wakati wa wimbi la joto la siku 10 huku bara lote la Ulaya likiendelea kupata hasara kubwa kutokana na joto kali ambalo limevunja rekodi mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS