-
Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen
Sep 18, 2018 03:58Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka serikali ya Uhispania iache kuiuzia silaha Saudi Arabia ili isitangazwe kuwa mmoja wa washirika wa utawala wa Aal Saud katika jinai za kivita huko nchini Yemen.
-
Uhispania yawapokea wakimbizi elfu kumi bila ya wazazi wao
Sep 06, 2018 07:53Wizara ya Afya ya Uhispania imetangaza kuwa Madrid inakadiria kuwa wakimbizi 10,000 walio chini ya miaka 18 wapo katika ardhi ya Uhispania peke yao bila ya wazazi wao na imetenga yuro milioni 40 kwa miji ya nchi hiyo inayotaka kuwapokea wakimbizi hao.
-
Dunia yapinga hatua ya Marekani kukata misaada ya shirika la UN linalohudumia wakimbizi wa Palestina
Sep 06, 2018 07:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amesema nchi yake inalenga kuongeza maradufu misaada yake kwa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA) baada ya Marekani kukata misaada yake kwa shirika hilo.
-
Uhispania: Marekani haina ustahiki wa kuwa mpatanishi katika kadhia ya Palestina
Sep 05, 2018 08:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amesema, Marekani imepoteza ustahiki wa kuwa msuluhishi katika suala la Palestina kutokana na kwenda sambamba na misimamo ya Israel.
-
Uhispania kutazama upya mazingira ya kuiuzia silaha Saudi Arabia
Aug 15, 2018 02:32Sambamba na kuendelea uvamizi na hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen ambayo imekuwa ikisababisha mauaji ya kikatili dhidi ya raia na hata watoto wadogo, serikali ya Uhispania imetangaza kuwa, inatazama upya mazingira ya kuiuzia silaha na zana za kijeshi Riyadh pamoja na mataifa mengine yaliyoko katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na utawala wa Aal Saud.
-
Kutia saini mkataba wa kijeshi na Uhispania; kuendelea siasa za kijeshi za Saudi Arabia
Jul 21, 2018 07:04Saudi Arabia imetiliana saini mkataba mpya wa kijeshi na shirika moja la Uhispani ikiwa ni mwendelezo wa mikataba ya kijeshi ya Riyadh na madola ya Magharibi.
-
Kutiwa mbaroni Carles Puigdemont na taathira yake ya kisiasa eneo la Catalani, Uhispania
Mar 26, 2018 12:11Huku Carles Puigdemont akikabiliwa na kifungo cha miaka 25 jela iwapo atarejeshwa nchini Uhispania, kukamatwa mwanasiasa huyo kunahesabiwa kuwa ni utangulizi wa kutiwa mbaroni viongozi wengine waliokuwa wanataka kujitenga eneo la Catalani la Uhispania.
-
Iran na Uhispania zasisitiza kupanua zaidi ushirikiano baina yao
Feb 22, 2018 04:28Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uhispania wamesisitiza azma ya nchi zao ya kustawisha zaidi uhusiano na ushirikiano baina yao.
-
Ethiopia kuwaachia huru maelfu ya wafungwa wa upinzani
Jan 29, 2018 06:53Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa itawaachia huru wafungwa waliotiwa nguvuni kufuatia machafuko ya mwaka 2015 na 2016 yaliyotokea katika eneo la Oromia.
-
Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania
Jan 17, 2018 07:59Kikosi cha gadi ya pwani ya Italia kimetangaza kuokoa wahajiri 1400 katika maji ya bahari ya Mediterrania.