Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen

    Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen

    Sep 18, 2018 03:58

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka serikali ya Uhispania iache kuiuzia silaha Saudi Arabia ili isitangazwe kuwa mmoja wa washirika wa utawala wa Aal Saud katika jinai za kivita huko nchini Yemen.

  • Uhispania yawapokea wakimbizi elfu kumi bila ya wazazi wao

    Uhispania yawapokea wakimbizi elfu kumi bila ya wazazi wao

    Sep 06, 2018 07:53

    Wizara ya Afya ya Uhispania imetangaza kuwa Madrid inakadiria kuwa wakimbizi 10,000 walio chini ya miaka 18 wapo katika ardhi ya Uhispania peke yao bila ya wazazi wao na imetenga yuro milioni 40 kwa miji ya nchi hiyo inayotaka kuwapokea wakimbizi hao.

  • Dunia yapinga hatua ya Marekani kukata misaada ya shirika la UN linalohudumia wakimbizi wa Palestina

    Dunia yapinga hatua ya Marekani kukata misaada ya shirika la UN linalohudumia wakimbizi wa Palestina

    Sep 06, 2018 07:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amesema nchi yake inalenga kuongeza maradufu misaada yake kwa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA) baada ya Marekani kukata misaada yake kwa shirika hilo.

  • Uhispania: Marekani haina ustahiki wa kuwa mpatanishi katika kadhia ya Palestina

    Uhispania: Marekani haina ustahiki wa kuwa mpatanishi katika kadhia ya Palestina

    Sep 05, 2018 08:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amesema, Marekani imepoteza ustahiki wa kuwa msuluhishi katika suala la Palestina kutokana na kwenda sambamba na misimamo ya Israel.

  • Uhispania kutazama upya mazingira ya kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Uhispania kutazama upya mazingira ya kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Aug 15, 2018 02:32

    Sambamba na kuendelea uvamizi na hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen ambayo imekuwa ikisababisha mauaji ya kikatili dhidi ya raia na hata watoto wadogo, serikali ya Uhispania imetangaza kuwa, inatazama upya mazingira ya kuiuzia silaha na zana za kijeshi Riyadh pamoja na mataifa mengine yaliyoko katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na utawala wa Aal Saud.

  • Kutia saini mkataba wa kijeshi na Uhispania; kuendelea siasa za kijeshi za Saudi Arabia

    Kutia saini mkataba wa kijeshi na Uhispania; kuendelea siasa za kijeshi za Saudi Arabia

    Jul 21, 2018 07:04

    Saudi Arabia imetiliana saini mkataba mpya wa kijeshi na shirika moja la Uhispani ikiwa ni mwendelezo wa mikataba ya kijeshi ya Riyadh na madola ya Magharibi.

  • Kutiwa mbaroni Carles Puigdemont na taathira yake ya kisiasa eneo la Catalani, Uhispania

    Kutiwa mbaroni Carles Puigdemont na taathira yake ya kisiasa eneo la Catalani, Uhispania

    Mar 26, 2018 12:11

    Huku Carles Puigdemont akikabiliwa na kifungo cha miaka 25 jela iwapo atarejeshwa nchini Uhispania, kukamatwa mwanasiasa huyo kunahesabiwa kuwa ni utangulizi wa kutiwa mbaroni viongozi wengine waliokuwa wanataka kujitenga eneo la Catalani la Uhispania.

  • Iran na Uhispania zasisitiza kupanua zaidi ushirikiano baina yao

    Iran na Uhispania zasisitiza kupanua zaidi ushirikiano baina yao

    Feb 22, 2018 04:28

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uhispania wamesisitiza azma ya nchi zao ya kustawisha zaidi uhusiano na ushirikiano baina yao.

  • Ethiopia kuwaachia huru maelfu ya wafungwa wa upinzani

    Ethiopia kuwaachia huru maelfu ya wafungwa wa upinzani

    Jan 29, 2018 06:53

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa itawaachia huru wafungwa waliotiwa nguvuni kufuatia machafuko ya mwaka 2015 na 2016 yaliyotokea katika eneo la Oromia.

  • Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania

    Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania

    Jan 17, 2018 07:59

    Kikosi cha gadi ya pwani ya Italia kimetangaza kuokoa wahajiri 1400 katika maji ya bahari ya Mediterrania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS