Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Radiamali hasi ya Madola ya Magharibi ya kunyongwa jasusi wa Uingereza nchini Iran

    Radiamali hasi ya Madola ya Magharibi ya kunyongwa jasusi wa Uingereza nchini Iran

    Jan 15, 2023 08:13

    Kunyongwa Ali Reza Akbari, jasusi wa shirika la kijasusi la Uingereza la MI6 kumekabiliwa na matamshi ya pupa na radiamali tofauti na hasi za madola ya Magharibi. Radiamali hizo zinaonyesha kupata pigo kubwa mipango ya kijasusi ya Magharibi dhidi ya Iran.

  • UK yamuita nyumbani balozi wake baada ya Iran kumnyonga jasusi wa MI6

    UK yamuita nyumbani balozi wake baada ya Iran kumnyonga jasusi wa MI6

    Jan 15, 2023 03:39

    Katika hatua nyingine ya uingiliaji kati wa mambo, London imemuita nyumbani balozi wa Uingereza mjini Tehran eti kwa ajili ya mashauriano, kufuatia hatua ya Idara ya Mahakama ya Iran kumnyonga Ali Reza Akbari, aliyekuwa jasusi wa shirika la kijasusi la Uingereza la MI6.

  • Fedheha! Uingereza yashindwa kutuma satalaiti yake anga za mbali

    Fedheha! Uingereza yashindwa kutuma satalaiti yake anga za mbali

    Jan 10, 2023 04:00

    Jaribio la Uingereza la kuwa nchi ya kwanza ya Ulaya kurusha satalaiti katika anga za mbali limegonga mwamba, huku kampuni ya Virgin Orbit ikitangaza kuwa roketi lake la kurushia satalaiti hiyo lilikubwa na hitilafu na kuifanya (satalaiti hiyo) ishindwe kufika katika anga za mbali.

  • Wataalamu: Ukoloni wa Uingereza ulisababisha vifo vya mamilioni ya watu nchini India

    Wataalamu: Ukoloni wa Uingereza ulisababisha vifo vya mamilioni ya watu nchini India

    Dec 28, 2022 00:51

    Ukoloni wa Uingereza ulikuwa sababu ya vifo vya zaidi ya watu milioni mia moja nchini India.

  • Wauguzi UK wagoma wakitaka nyongeza ya mshahara

    Wauguzi UK wagoma wakitaka nyongeza ya mshahara

    Dec 15, 2022 22:56

    Wauguzi wapatao laki moja kote nchini Uingereza wameanza mgomo kushinikiza malipo bora na mazingira mazuri ya kazi.

  • Waingereza wafakamia chakula cha mifugo kutokana na kupanda gharama za maisha

    Waingereza wafakamia chakula cha mifugo kutokana na kupanda gharama za maisha

    Dec 02, 2022 22:50

    Mgogoro wa gharama kubwa za maisha nchini Uingereza umekuwa sababu ya Waingereza katika baadhi ya miji kula chakula cha wanyama wa kufuga majumbani.

  • Uingereza yasisitiza haitauhamishia ubalozi wake Quds

    Uingereza yasisitiza haitauhamishia ubalozi wake Quds

    Nov 22, 2022 04:06

    Kwa mara nyingine, Uingereza kutokana na mashinikizio na ukosoaji wa ndani na nje ya nchi, imesisitiza kuwa haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds tukufu, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Tehran yalaani vikwazo vipya vya EU dhidi ya Iran

    Tehran yalaani vikwazo vipya vya EU dhidi ya Iran

    Nov 15, 2022 03:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikwazo vipya vilivyotangazwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya shakhsia 29 na taasisi tatu za Kiirani, ikiwemo kanali ya televisheni ya Press TV.

  • Uingereza yaazimia kuwaondoa askari wake nchini Mali

    Uingereza yaazimia kuwaondoa askari wake nchini Mali

    Nov 15, 2022 03:43

    Uingereza imetangaza habari ya kutaka kuwaondoa mamia ya askari wa nchi hiyo walioko nchini Mali chini ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa MINUSMA.

  • Taasisi na shakhsia kadhaa wa EU wataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Iran

    Taasisi na shakhsia kadhaa wa EU wataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Iran

    Oct 25, 2022 10:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amedokeza kuwa karibuni hivi majina ya taasisi na shakhsia kadhaa wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya yataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS