Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Kan'ani: Marekani, Uingereza na Canada zinapaswa kubebeshwa dhima ya jinai zote za Israel

    Kan'ani: Marekani, Uingereza na Canada zinapaswa kubebeshwa dhima ya jinai zote za Israel

    Dec 10, 2023 05:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, tawala za Marekani, Uingereza na Canada zinapaswa kubeba dhima ya jinai zote zinazofanywa na utawala wa Kizayuni kutokana na uungaji mkono mkubwa na wa wazi wa kijeshi, kisiasa, kijasusi na kipropaganda kwa utawala huo dhalimu hasa katika vita vya hivi sasa vya Ghaza.

  • Mahakama: Ni kinyume cha sheria kwa UK kuwapeleka Rwanda watafuta hifadhi

    Mahakama: Ni kinyume cha sheria kwa UK kuwapeleka Rwanda watafuta hifadhi

    Nov 15, 2023 11:26

    Mahakama ya Juu ya Uingereza imesema mpango wa serikali ya London wa kuwapeleka nchini Rwanda wakimbizi na waomba hifadhi walioko nchini humo unakiuka sheria.

  • Mahakama Kuu Uingereza kutoa uamuzi kuhusu uhalali wa kupelekwa Rwanda waomba hifadhi

    Mahakama Kuu Uingereza kutoa uamuzi kuhusu uhalali wa kupelekwa Rwanda waomba hifadhi

    Nov 10, 2023 06:15

    Mahakama Kuu ya Uingereza wiki ijayo itatoa uamuzi iwapo mpango wa serikali ya nchi hiyo wa kuwapeleka nchini Rwanda, wakimbizi na waomba hifadhi walioko nchini humo ni halali au la.

  • Tehran yalaani kauli 'ya kuingilia kati' ya Uingereza kuhusu satalaiti ya Nour 3

    Tehran yalaani kauli 'ya kuingilia kati' ya Uingereza kuhusu satalaiti ya Nour 3

    Oct 05, 2023 04:33

    Iran imelaani vikali kauli ya "kiuingiliaji kati" ya serikali ya Uingereza kuhusu kurusha angani satalaiti mpya ya Nour 3 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ripoti: Vifaru vya kivita vya UK vina mada za sumu

    Ripoti: Vifaru vya kivita vya UK vina mada za sumu

    Sep 22, 2023 22:49

    Gazeti la The Times limefichua kuwa, maelfu ya vifaru vya kivita vya Uingereza vina mada za sumu ambazo ni hatari kwa afya ya mwanadamu.

  • Njama za Marekani za kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Yemen

    Njama za Marekani za kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Yemen

    Sep 18, 2023 08:49

    Tangu mazungumzo kati ya Yemen na Saudi Arabia kuhitimisha vita yalipochukua mkondo wa azma ya kweli, harakati za kijeshi za Marekani na Uingereza nazo zimeongezeka na kuimarika ili kuimarisha uwepo wao wa kijeshi katika nchi hiyo.

  • Iran: Mauaji ya kinyama ya Sabra na Shatila ni doa la aibu kwa waungaji mkono wa utawala wa Kizayuni

    Iran: Mauaji ya kinyama ya Sabra na Shatila ni doa la aibu kwa waungaji mkono wa utawala wa Kizayuni

    Sep 16, 2023 08:46

    Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mauaji ya Wapalestina wa Sabra na Shatila yaliyofanywa na askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameandika ujumbe usemao: Sabra na Shatila daima litabaki kuwa doa la aibu kwenye vipaji vya waungaji mkono wa utawala wa Israel na watetezi wa kizandiki wa haki za binadamu hususan Marekani na Uingereza.

  • "Kupanga mapinduzi, kuwaunga mkono madikteta ni katika sera za UK, US"

    Aug 19, 2023 07:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kupanga na kufadhili mapinduzi, kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine na kuwaunga mkono madikteta ni katika sera kuu za Marekani na Uingereza katika kipindi chote cha historia.

  • Iran yakosoa tuhuma zisizo na maana za Uingereza dhidi ya IRGC

    Iran yakosoa tuhuma zisizo na maana za Uingereza dhidi ya IRGC

    Aug 07, 2023 23:39

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali madai yasiyo na msingi ya Uingereza dhidi Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC).

  • Wasomi UK: Kushambulia Qur'ani ni uchupaji mipaka

    Wasomi UK: Kushambulia Qur'ani ni uchupaji mipaka

    Aug 06, 2023 03:37

    Wasomi mashuhuri nchini Uingereza wamelaani vitendo vya kuchoma moto Qur'ani Tukufu katika nchi za Scandinavia na kusisitiza kuwa, vitendo hivyo vya uchupaji mipaka vinapaswa kukomeshwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS