Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uislamu

  • Afrika Kusini yaomba radhi kwa matamshi ya 'kufuru' ya polisi katika uvamizi wa msikiti

    Afrika Kusini yaomba radhi kwa matamshi ya 'kufuru' ya polisi katika uvamizi wa msikiti

    Apr 27, 2020 11:50

    Waziri wa Polisi wa Afrika Kusini, Bheki Cele ameomba radhi kwa maneno ya "kufuru" yaliyotolewa na polisi kwa Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala wakati polisi hao alipovamia msikiti wakitekeleza marufuku ya shughuli zote katika kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya corona.

  • Mahakama ya Rufaa ya Uingereza 'yaharamisha' ndoa za Kiislamu

    Mahakama ya Rufaa ya Uingereza 'yaharamisha' ndoa za Kiislamu

    Feb 16, 2020 08:13

    Mahakama ya Rufaa ya Uingereza imebatilisha uamuzi wa miaka miwili iliyopita wa kutambua ndoa iliyofanyika kwa mujibu wa sheria za Kiislamu (Nikah).

  • Wanaharakati wa Ujerumani wamkumbuka

    Wanaharakati wa Ujerumani wamkumbuka "Shahidi wa Hijabu" Marwa el Sherbini

    Jul 07, 2019 03:02

    Wanaharakati wa Ujerumani leo Jumapili wanahitimisha warsha zilizoanza Jumatatu iliyopita za kukumbuka mauaji ya mwanamke Mwislamu, Marwa el-Sherbini aliyeuawa kwa kudungwa kisu mara kadhaa ndani ya ukumbi wa mahakama ya mji wa Dresden nchini Ujerumani.

  • Larijani: Wairani wataifanya Marekani ijute

    Larijani: Wairani wataifanya Marekani ijute

    Apr 28, 2019 14:14

    Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, amesema Wairani kwa kusimama kwao kidete watapelekea watawala wa Marekani wajute.

  • Uchunguzi: Akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono ujenzi wa misikiti nchini humo

    Uchunguzi: Akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono ujenzi wa misikiti nchini humo

    Mar 05, 2019 02:44

    Matokeo ya uchunguzi mpya yanaonyesha kwamba akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono kujengwa misikiti nchini humo.

  • Sadio Mane ajibu, kwa nini anaosha choo cha msikiti, Liverpool

    Sadio Mane ajibu, kwa nini anaosha choo cha msikiti, Liverpool

    Sep 10, 2018 14:43

    Mchezaji nyota wa soka wa timu ya Liverpool ya Uingereza kutoka Senegal, Sadio Mane ameeleza ni kwa nini huwa anaosha choo cha Msikiti wa Rahma mjini Liverpool.

  • Maktaba ya Imam Khomeini (MA) na sauti-3

    Maktaba ya Imam Khomeini (MA) na sauti-3

    Sep 09, 2018 14:18

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tatu ya kipindi hiki kipya cha Katika Maktaba ya Imam Khomein (MA) ambacho kinakujieni kwa mnasaba wa miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.

  • Mwanasiasa wa Uholanzi mwenye chuki na Uislamu aghairisha mpango wa kutaka kumvunjia heshima Mtume SAW

    Mwanasiasa wa Uholanzi mwenye chuki na Uislamu aghairisha mpango wa kutaka kumvunjia heshima Mtume SAW

    Sep 01, 2018 04:09

    Mwanasiasa wa Uholanzi mwenye chuki na Uislamu aliyekuwa na dhamira ya kufanya mashindano ya katuni za kumvunjia heshima Bwana Mtume Muhammad SAW amelazimika kughairisha mashindano hayo baada ya kukabiliwa na upinzani mkali wa Waislamu.

  • Ushindi wa Palestina; utukufu wa ulimwengu wa Kiislamu

    Ushindi wa Palestina; utukufu wa ulimwengu wa Kiislamu

    Jun 04, 2018 08:22

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistatijia cha Taasisi ya Kimataifa ya Mweamko wa Kiislamu amesema kwamba ushindi wa taifa la Palestina dhidi ya utawala haramu wa Isreal unauletea utukufu ulimwengu wa Kiislamu.

  • Ukosoaji wa UN kwa serikali ya Ufaransa kwa kuamiliana vibaya na Waislamu wa nchi hiyo

    Ukosoaji wa UN kwa serikali ya Ufaransa kwa kuamiliana vibaya na Waislamu wa nchi hiyo

    May 29, 2018 08:17

    Umoja wa Mataifa umeikosoa serikali ya Ufaransa kwa namna inavyoamiliana na Waislamu na inavyokabiliana na ugaidi na athari za hatua zake hizo ambazo zinatia wasiwasi kwa kutishia uhuru wa mtu binafsi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS