-
Mahakama ya Rufaa ya Uingereza 'yaharamisha' ndoa za Kiislamu
Feb 16, 2020 04:43Mahakama ya Rufaa ya Uingereza imebatilisha uamuzi wa miaka miwili iliyopita wa kutambua ndoa iliyofanyika kwa mujibu wa sheria za Kiislamu (Nikah).
-
Wanaharakati wa Ujerumani wamkumbuka "Shahidi wa Hijabu" Marwa el Sherbini
Jul 06, 2019 22:32Wanaharakati wa Ujerumani leo Jumapili wanahitimisha warsha zilizoanza Jumatatu iliyopita za kukumbuka mauaji ya mwanamke Mwislamu, Marwa el-Sherbini aliyeuawa kwa kudungwa kisu mara kadhaa ndani ya ukumbi wa mahakama ya mji wa Dresden nchini Ujerumani.
-
Larijani: Wairani wataifanya Marekani ijute
Apr 28, 2019 09:44Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, amesema Wairani kwa kusimama kwao kidete watapelekea watawala wa Marekani wajute.
-
Uchunguzi: Akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono ujenzi wa misikiti nchini humo
Mar 04, 2019 23:14Matokeo ya uchunguzi mpya yanaonyesha kwamba akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono kujengwa misikiti nchini humo.
-
Sadio Mane ajibu, kwa nini anaosha choo cha msikiti, Liverpool
Sep 10, 2018 10:13Mchezaji nyota wa soka wa timu ya Liverpool ya Uingereza kutoka Senegal, Sadio Mane ameeleza ni kwa nini huwa anaosha choo cha Msikiti wa Rahma mjini Liverpool.
-
Maktaba ya Imam Khomeini (MA) na sauti-3
Sep 09, 2018 09:48Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tatu ya kipindi hiki kipya cha Katika Maktaba ya Imam Khomein (MA) ambacho kinakujieni kwa mnasaba wa miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
-
Mwanasiasa wa Uholanzi mwenye chuki na Uislamu aghairisha mpango wa kutaka kumvunjia heshima Mtume SAW
Aug 31, 2018 23:39Mwanasiasa wa Uholanzi mwenye chuki na Uislamu aliyekuwa na dhamira ya kufanya mashindano ya katuni za kumvunjia heshima Bwana Mtume Muhammad SAW amelazimika kughairisha mashindano hayo baada ya kukabiliwa na upinzani mkali wa Waislamu.
-
Ushindi wa Palestina; utukufu wa ulimwengu wa Kiislamu
Jun 04, 2018 03:52Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistatijia cha Taasisi ya Kimataifa ya Mweamko wa Kiislamu amesema kwamba ushindi wa taifa la Palestina dhidi ya utawala haramu wa Isreal unauletea utukufu ulimwengu wa Kiislamu.
-
Ukosoaji wa UN kwa serikali ya Ufaransa kwa kuamiliana vibaya na Waislamu wa nchi hiyo
May 29, 2018 03:47Umoja wa Mataifa umeikosoa serikali ya Ufaransa kwa namna inavyoamiliana na Waislamu na inavyokabiliana na ugaidi na athari za hatua zake hizo ambazo zinatia wasiwasi kwa kutishia uhuru wa mtu binafsi.
-
Waziri Mkuu wa jimbo la North Rhine-Westphalia ataka kutambuliwa Uislamu kuwa dini rasmi nchini Ujerumani
May 21, 2018 03:34Waziri Mkuu wa jimbo la North Rhine-Westphalia (nord rayen westfaliya) la magharibi mwa Ujerumani ametaka dini ya Kiislamu kutambuliwa rasmi nchini humo