-
Donald Trump atangazwa kuwa nembo ya kupiga vita Uislamu mwaka 2017
Nov 27, 2017 04:42Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu (IHRC) yenye makao yake mjini London nchini Uingereza imemtangaza Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ndio nembo ya propaganda chafu dhidi ya Uislamu katika mwaka huu wa 2017.
-
Mamilioni ya Waislamu duniani katika maombolezo ya Ashura
Oct 01, 2017 04:25Mamilioni ya Waislamu kote duniani leo wanashiriki katika maombolezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS katika siku ya Ashura.
-
Ongezeko la malalamiko ya Waislamu wa Ulaya juu ya ubaguzi na miamala mibaya
Sep 22, 2017 04:08Matokeo mapya ya uchunguzi wa Shirika la European Union Agency for Fundamental Rights (FRA) unaonyesha kwamba, idadi ya Waislamu ambao wanabaguliwa na kufanyiwa miamala mibaya katika jamii ya Ulaya, imeongezeka sana.
-
HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu
Sep 18, 2017 09:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetaka vikwazo vikali vya kimataifa viwekewe Jeshi la Myanmar kutokana na kampeni yake ya kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Fikra mpya za Kiislamu zitajaza pengo katika fikra za Kimagharibi
Aug 29, 2017 03:24Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Leo mwanadamu hasa vijana, wana hitajio kubwa la mitazamo mipya na Uislamu na fikra mpya na za kuvutia katika uga wa binadamu, jamii na siasa na kwamba iwapo fikra hizo zitafikishiwa walimwengu, bila shaka zitapolelewa na wengi."
-
Hizbullah ya Lebanon: Lengo la kundi la kigaidi la Daesh ni kuchafua sura ya Uislamu
Aug 18, 2017 10:31Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, lengo la vitendo vinavyofanywa na kundi la kigaidi la Daesh ni kuchafua haiba na sura halisi ya Uislamu.
-
Mufti wa zamani Misri atahadharisha kuhusu mfumo wa elimu unaopiga vita Uislamu Magharibi
Aug 01, 2017 01:28Mufti wa zamani wa Misri ametahadharisha kuhusu athari mbaya za mfumo wa elimu unaopiga vita Uislamu katika nchi za Magharibi.
-
Msomi wa Misri: Uislamu sio dini ya kufurutu ada na utumiaji mabavu
Jul 16, 2017 23:55Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Dini katika Bunge la Misri amesema kuwa, Uislamu sio dini ya kufurutu ada, aasubi na utumiaji mabavu.
-
Uchunguzi: Uislamu unaenea kwa kasi nchini Australia
Jun 28, 2017 02:55Matokeo ya uchunguzi mpana na mkubwa wa maoni uliofanyika nchini Australia yanaonesha kasi kubwa ya watu kuelekea na kuingia kwenye dini tukufu ya Kiislamu nchini humo.
-
Misri: Uislamu ni muongozo wa maisha bora, si dini ya mauaji na uharibifu
Jun 14, 2017 22:00Waziri wa Wakfu wa Misri amesema kuwa, dini tukufu ya Kiislamu haina uhusiano wowote na mauaji na jinai zinazofanywa na baadhi ya watu kwa jina la Uislamu, bali dini hiyo ni muongozo wa maisha bora kwa mwanadamu.