-
Waziri: Mafanikio ya mazungumzo ya Vienna yanategemea kuondolewa vikwazo vyote Iran
Nov 09, 2021 04:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufanikiwa mazungumzo ya mjini Vienna, Austria kuhusu makubaliano ya JCPOA kutategemea na kuondolewa vikwazo vyote Iran, sambamba na kuifanya ya kawaida miamala ya kibiashara na Tehran.
-
Ujerumani yakariri msimamo wake wa kiuhasama dhidi ya Iran
Oct 04, 2021 22:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani kwa mara nyingine tena amekariri msimako wa kiuhasama wa Berlin dhidi ya Tehran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kuashiria hatua ya Marekani ya kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo, na nchi za Ulaya kutotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa mapatano hayo ya kimataifa.
-
Uchaguzi muhimu wa Jumapili ya leo na mustakbali wa Ujerumani
Sep 26, 2021 01:03Leo Jumapili Wajerumani wanashiriki katika uchaguzi muhimu wenye ushindani mkali ambao ni nadra sana kuonekana katika chaguzi ziizofanyika nchini humo.
-
Kambi ya upinzani Namibia yakataa fidia ndogo iliyotolewa na Ujerumani kwa ajili ya mauaji ya kimbari
Sep 23, 2021 23:36Kambi ya upinzani nchini Namibia imewasilisha malalamiko yake dhidi ya makubaliano ya serikali ya nchi hiyo na Ujerumani kwa ajili ya kulipa fidia ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na wakoloni wa Kijerumani dhidi ya watu wa Namibia. Kambi hiyo ya upinzani ya Namibia imetoa wito wa kufanyika tena mazungumzo kuhusu suala hilo la fidia.
-
Wagombea 3 wa ukansela wa Ujerumani watuhumiwa kuiba tafiti za kisayansi
Sep 14, 2021 22:03Mjadala wa wizii wa tafiti za kisayansi katika vitabu vilivyoandikwa na wagombea watatu wa Ukansela wa Ujerumani umepamba moto katika siku hizi za mwishoni mwa kampeni za uchaguzi nchini humo.
-
Ujerumani yafungua tena ubalozi wake huko Tripoli, Libya
Sep 09, 2021 22:16Ujerumani imefungua tena ubalozi wake huko Libya baada ya kufungwa kwa miaka minane.
-
Merkel aitaka jamii ya kimataifa kuzungumza na Taliban
Aug 25, 2021 23:14Kinyume kabisa na msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu kundi la wanamgambo wa Taliban la Afghanistan, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameitolea mwito jamii ya kimataifa kufanya mazungumzo na kundi hilo.
-
Sisitizo la viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na China la udharura wa kuhuishwa JCPOA
Jul 06, 2021 21:51Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, na Rais Xi Jinping wa China wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kutoa wito kwa pande zinazofanya mazungumzo huko Vienna kwa ajili ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutumia vyema fursa iliyopo ya "Dirisha la Fursa" kwa ajili ya kufikia makubaliano kuhusiana na kadhia hiyo.
-
Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?
Jun 30, 2021 06:40Ujerumani imetangaza kuwa imemaliza mchakato wa kuwaondoa wanajeshi wake huko Afghanistan, huku Marekani ikiripotiwa kuwa inapanga kuwaacha mamia ya wanajeshi wake nchini humo.
-
Ujerumani: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika hatua za mwisho
Jun 07, 2021 22:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema mazungumzo kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanayoendelea huko Vienna, Austria yapo katika kipindi cha lala salama.