Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Waziri: Mafanikio ya mazungumzo ya Vienna yanategemea kuondolewa vikwazo vyote Iran

    Waziri: Mafanikio ya mazungumzo ya Vienna yanategemea kuondolewa vikwazo vyote Iran

    Nov 09, 2021 04:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufanikiwa mazungumzo ya mjini Vienna, Austria kuhusu makubaliano ya JCPOA kutategemea na kuondolewa vikwazo vyote Iran, sambamba na kuifanya ya kawaida miamala ya kibiashara na Tehran.

  • Ujerumani yakariri msimamo wake wa kiuhasama dhidi ya Iran

    Ujerumani yakariri msimamo wake wa kiuhasama dhidi ya Iran

    Oct 04, 2021 22:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani kwa mara nyingine tena amekariri msimako wa kiuhasama wa Berlin dhidi ya Tehran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kuashiria hatua ya Marekani ya kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo, na nchi za Ulaya kutotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa mapatano hayo ya kimataifa.

  • Uchaguzi muhimu wa Jumapili ya leo na mustakbali wa Ujerumani

    Uchaguzi muhimu wa Jumapili ya leo na mustakbali wa Ujerumani

    Sep 26, 2021 01:03

    Leo Jumapili Wajerumani wanashiriki katika uchaguzi muhimu wenye ushindani mkali ambao ni nadra sana kuonekana katika chaguzi ziizofanyika nchini humo.

  • Kambi ya upinzani Namibia yakataa fidia ndogo iliyotolewa na Ujerumani kwa ajili ya mauaji ya kimbari

    Kambi ya upinzani Namibia yakataa fidia ndogo iliyotolewa na Ujerumani kwa ajili ya mauaji ya kimbari

    Sep 23, 2021 23:36

    Kambi ya upinzani nchini Namibia imewasilisha malalamiko yake dhidi ya makubaliano ya serikali ya nchi hiyo na Ujerumani kwa ajili ya kulipa fidia ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na wakoloni wa Kijerumani dhidi ya watu wa Namibia. Kambi hiyo ya upinzani ya Namibia imetoa wito wa kufanyika tena mazungumzo kuhusu suala hilo la fidia.

  • Wagombea 3 wa ukansela wa Ujerumani watuhumiwa kuiba tafiti za kisayansi

    Wagombea 3 wa ukansela wa Ujerumani watuhumiwa kuiba tafiti za kisayansi

    Sep 14, 2021 22:03

    Mjadala wa wizii wa tafiti za kisayansi katika vitabu vilivyoandikwa na wagombea watatu wa Ukansela wa Ujerumani umepamba moto katika siku hizi za mwishoni mwa kampeni za uchaguzi nchini humo.

  • Ujerumani yafungua tena ubalozi wake huko Tripoli, Libya

    Ujerumani yafungua tena ubalozi wake huko Tripoli, Libya

    Sep 09, 2021 22:16

    Ujerumani imefungua tena ubalozi wake huko Libya baada ya kufungwa kwa miaka minane.

  • Merkel aitaka jamii ya kimataifa kuzungumza na Taliban

    Merkel aitaka jamii ya kimataifa kuzungumza na Taliban

    Aug 25, 2021 23:14

    Kinyume kabisa na msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu kundi la wanamgambo wa Taliban la Afghanistan, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameitolea mwito jamii ya kimataifa kufanya mazungumzo na kundi hilo.

  • Sisitizo la viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na China la udharura wa kuhuishwa JCPOA

    Sisitizo la viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na China la udharura wa kuhuishwa JCPOA

    Jul 06, 2021 21:51

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, na Rais Xi Jinping wa China wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kutoa wito kwa pande zinazofanya mazungumzo huko Vienna kwa ajili ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutumia vyema fursa iliyopo ya "Dirisha la Fursa" kwa ajili ya kufikia makubaliano kuhusiana na kadhia hiyo.

  • Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?

    Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?

    Jun 30, 2021 06:40

    Ujerumani imetangaza kuwa imemaliza mchakato wa kuwaondoa wanajeshi wake huko Afghanistan, huku Marekani ikiripotiwa kuwa inapanga kuwaacha mamia ya wanajeshi wake nchini humo.

  • Ujerumani: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika hatua za mwisho

    Ujerumani: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika hatua za mwisho

    Jun 07, 2021 22:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema mazungumzo kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanayoendelea huko Vienna, Austria yapo katika kipindi cha lala salama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS