-
Mtazamo unaogongana wa Ulaya kuhusiana na JCPOA
Sep 10, 2019 02:44Licha ya kuwa Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya ( Ujerumani, Ufaransa na Uingrereza) zikiwa wanachama wa kundi la 4+1 zimekuwa zikisisitiza mara kwa mara udharura wa kulindwa mapatano ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), lakini hazijaweza kuwasilisha rekodi nzuri ya utendaji wao katika uwanja huo.
-
Mahmoud Abbas: Marekani haisaidii juhudi za kurejesha amani Mashariki ya Kati
Aug 30, 2019 22:14Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa Marekani haisaidii juhudi za kurejesha amani na usalama katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Sisitizo la Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia na Ujerumani juu ya kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Aug 23, 2019 02:50Baada ya Marekani kujiondoa kinyamela katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) Mei mwaka jana, kinyume na matarajio ya Washington ambayo ilitaka nchi zingine wanachama wa kundi la 5+1 nazo zichukue uamuzi kama wake, mataifa hayo ikiwemo Russia na Ujerumani yalisisitiza juu ya kuendelea kubakishwa makubaliano hayo ya kimataifa yaliyokuwa yamepata baraka kamili za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Mkuu wa Instex ajiuzulu, sababu, kuikosoa Israel
Aug 09, 2019 02:29Gazeti la Bild linalochapishwa nchini Ujerumani limeripoti kuwa mkuu wa mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya, kwa kifupi INSTEX, Bernd Erbel amejiuzulu wadhifa huo.
-
Ujerumani yapinga kujiunga na muungano wa baharini wa Marekani katika Ghuba ya Ujemi
Jul 31, 2019 06:39Kudhihiri mivutano katika eneo la Ghuba ya Ujemi kutokana na kuongezeka uwepo wa kijeshi wa Marekani katika eneo hili lenye umuhimu wa kistratijia na vilevile kukamatwa meli ya Uingereza na wanajeshi wa Iran kutokana na kukiuka kwake wazi wazi sheria za usafiri wa baharini, kumezipelekea Washington na London kujaribu kubuni muungano wa baharini kwa madai ya kulinda usalama wa safari za meli katika eneo hilo.
-
Heiko Maas asisitiza udharura wa kufanya mazungumzo na Iran
Jul 27, 2019 02:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa kuna udharura wa kufanya mazungumzo na Iran. Maas ameyasema hayo katika mazungumzo kwa njia ya simu na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani Mike Pompeo.
-
Ujerumani yahimiza kuundwa umoja wa nchi za Ulaya wa kuwaokoa wakimbizi
Jul 13, 2019 21:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amesema kuwa kuna ulazima wa kuundwa umoja wa nchi za Ulaya kwa ajili ya kuwaokoa wakimbizi na kutoa mchango wa kimsingi Berlin katika jukumu hilo.
-
Kansela wa Ujerumani asisitizia ulazima wa kuacha kuiuzia silaha Libya
Jul 10, 2019 23:31Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesisitiza kupatikana njia ya kidiplomasia kwa ajili ya kuutatua mgogoro wa Libya na kuitolea wito jamii ya kimataifa kuacha kuiuzia silaha nchi hiyo.
-
Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kutuma askari Syria
Jul 09, 2019 03:48Rais Donald Trump wa Marekani Disemba mwaka 2018 aliwaahidi Wamarekani kwamba ataliondoa jeshi la nchi hiyo huko Syria. Trump alitoa ahadi hiyo katika kile kinachoaminika kuwa ni sehemu ya kutekeleza kampeni yakee ya kubakia ikulu ya White House.
-
Kansela wa zamani wa Ujerumani akosoa vikali siasa za uharibifu za Trump
Jul 07, 2019 02:55Kansela wa zamani wa Ujerumani amekosoa siasa zinazotekelezwa na Rais wa Marekani na kuituhumu Washington kuwa inafanya juhudi za kusambaratisha mfumo wa uchumi duniani.