Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • Wazayuni waendelea kufanya mauaji ya kinyama Ghaza, kutokea angani, ardhini na baharini

    Wazayuni waendelea kufanya mauaji ya kinyama Ghaza, kutokea angani, ardhini na baharini

    Dec 30, 2023 23:00

    Mashambulizi ya kinyama na kikatili ya utawala wa Kizayuni ya angani, ardhi na majini yanaendelea kwenye Ukanda wa Ghaza hasa katika maeneo ya katikati na kusini mwa ukanda huo.

  • WHO: Dunia ichukue hatua za dharura kuzuia maafa zaidi Gaza

    WHO: Dunia ichukue hatua za dharura kuzuia maafa zaidi Gaza

    Dec 28, 2023 03:09

    Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa mara nyingine tena limeeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya kutisha ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuchukua hatua za dharura za kukomesha 'maafa ya kibinadamu' yanayowakabili Wapalestina wa ukanda huo.

  • Wazayuni  wakiri kushindwa katika vita vya Gaza

    Wazayuni wakiri kushindwa katika vita vya Gaza

    Dec 28, 2023 00:51

    kuchukua muda mrefu vita vya Gaza kumewafanya, baadhi ya Wazayuni kukiri kushindwa utawala ghasibu wa Israel katika vita vyake vya jinai huko Gaza.

  • Israel yashambulia makao makuu ya Hilali Nyekundu Gaza

    Israel yashambulia makao makuu ya Hilali Nyekundu Gaza

    Dec 26, 2023 23:23

    Vikosi vya jeshi katili la utawala haramu wa Israel vimeshambulia kwa mabomu makao makuu ya Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Waislamu US wamlaani Biden kwa kuunga mkono maangamizi ya kizazi Gaza

    Waislamu US wamlaani Biden kwa kuunga mkono maangamizi ya kizazi Gaza

    Dec 25, 2023 08:18

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) limeijia juu serikali ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo kwa kile lilichokitaja kuwa ni 'mchango amilifu' wa Washington kwa mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Balozi wa Iran: Ulaya ichukue hatua za maana kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    Balozi wa Iran: Ulaya ichukue hatua za maana kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    Dec 25, 2023 07:12

    Balozi wa Iran nchini Iraq amesema nchi za Ulaya zinapasa kuchukua hatua za maana kwa ajili ya kukomesha jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Mbali na kuua watoto wachanga, Wazayuni wanafanya uporaji pia Ghaza

    Mbali na kuua watoto wachanga, Wazayuni wanafanya uporaji pia Ghaza

    Dec 23, 2023 23:09

    Mkuu wa Ofisi ya Upashaji Habari ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa mbali na jinai zao nyingine nyingine kama za kuua watoto wachanga, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wanafanya uporaji pia wa mali za Wapalestina wakati wanapoingia kwenye nyumba walizozivunja kwa mashambulizi ya kikatili na kinyama huko Ghaza.

  • Watumishi wa umma Uholanzi waandamana wakitaka kusitishwa vita Gaza

    Watumishi wa umma Uholanzi waandamana wakitaka kusitishwa vita Gaza

    Dec 22, 2023 22:57

    Makumi ya wafanyakazi wa umma nchini Uholanzi jana Ijumaa waliwashangaza wengi kwa kuingia mabarabarani kushiriki maandamano ya kutaka kutekelezwa usitishaji vita wa kudumu katika Ukanda wa Gaza.

  • Human Rights Watch: Meta inazuia sauti zinazowatetea Wapalestina kwenye Instagram na Facebook

    Human Rights Watch: Meta inazuia sauti zinazowatetea Wapalestina kwenye Instagram na Facebook

    Dec 21, 2023 23:36

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa sera za kamupini ya Meta zimezidi kuziba na kunyamazisha sauti zinazoiunga mkono Palestina kwenye mitandao ya kijamii ya Instagram na Facebook kutokana na vita vya Israel dhidi ya Gaza.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na waziri mwenzake wa Afrika Kusini, Ghaza maudhui kuu

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na waziri mwenzake wa Afrika Kusini, Ghaza maudhui kuu

    Dec 20, 2023 23:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Afrika Kusini na kujadiliana naye masuala mbalimbali muhimu ya pande mbili, ya kieneo na ya kimataifa na hasa vita vya Ghaza huko Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS