-
Israel yalegeza msimamo baada ya majibu makali ya wanamapambano wa Palestina
May 31, 2018 10:18Baada ya wanamapambano wa Palestina kutoa majibu makali dhidi ya mashambulizi ya kivamizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni, hatimaye baraza la masuala ya usalama la Israel limesema kuwa, utawala huo hauna nia yoyote ya kuukalia tena kwa mabavu Ukanda wa Ghaza.
-
Marekani yawalaumu Wapalestina kwa kuuawa na askari wa Israel, Gaza
May 15, 2018 22:11Ikulu ya Marekani White House imejitokeza kuutetea hadharani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaua shahidi Wapalestina wasiopungua 54 waliokuwa wakishiriki maandamano katika Ukanda wa Gaza siku ya Jumatatu.
-
Mlipuko waua Wapalestina 6 Ukanda wa Gaza, Israel yalaumiwa
May 06, 2018 02:55Wapalestina wasiopungua sita wanachama wa harakakati ya muqawama ya Palestina Hamas wameuawa katika mripuko wa bomu ulioukumba Ukanda wa Gaza jana Jumamosi.
-
UN: Asilimia 72 ya wakazi wa Ghaza hawana usalama wa chakula
Mar 18, 2018 04:49Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa huko Palestina (OCHA) imetangaza kuwa asilimia 72 ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza hawana usalama wa chakula.
-
Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza
Mar 14, 2018 10:47Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kushiriki mkutano uliofanyika katika Ikulu ya Marekani ya White House, na kuwaleta pamoja viongozi wa nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Msafara wa kuushinikiza utawala wa Israel uondoe mzingiro dhidi ya Wapalestina Ghaza
Mar 10, 2018 23:57Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Kuvunja Mzingiro wa Ukanda wa Ghaza amesema taasisi za kuunga mkono Palestina zitatuma misafara ya kuvunja mzingiro wa Ghaza pasina kujali vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Watoto wachanga wafariki Ghaza kutokana na mzingiro wa kinyama wa Israel
Feb 20, 2018 12:14Kituo cha kutetea haki za binadamu Palestina kimetoa taarifa na kusema watoto sita wachanga wameaga dunia katika hospitali za Ukanda wa Ghaza kutokana na mzingiro wa kinyama uliowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel na hivyo kupelekea hospitali kukosa dawa za dharura.
-
Jeshi la Israel lashambulia ngome za Hamas Ukanda wa Gaza
Oct 09, 2017 04:30Vikosi vya Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel vimeshambulia kile vinachodai kuwa ni ngome za Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas, katika Ukanda wa Gaza.
-
UN yaitaka Israel iondoe mzingiro wa kibaguzi Ukanda wa Gaza
Aug 30, 2017 10:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mzingiro wa kibaguzi wa karibu muongo mmoja dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Wapalestina wa Gaza wasusia kula kuwaunga mkono wafungwa wa Kipalestina
Apr 28, 2017 03:22Wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza wamesusia kula chakula ili kuonyesha uungaji mkono wao kwa wafungwa wa Kipalestina ambao wanadhalilishwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.