• Israel yafanya hujuma mpya za anga Ukanda wa Gaza

    Israel yafanya hujuma mpya za anga Ukanda wa Gaza

    Feb 28, 2017 04:22

    Jeshi la utawala katili wa Israel limefanya mashambulizi mapya ya anga katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi watu kadhaa.

  • Hujuma ya anga ya Israel huko Gaza yaua, kujeruhi Wapalestina 7

    Hujuma ya anga ya Israel huko Gaza yaua, kujeruhi Wapalestina 7

    Feb 09, 2017 03:43

    Kwa akali Wapalestina wawili wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya watano wakijeruhiwa baada ya ndege ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutekeleza hujuma ya anga katika mji wa Rafah, Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Umaskini waongezeka sana Ukanda wa Ghaza

    Umaskini waongezeka sana Ukanda wa Ghaza

    Jan 08, 2017 10:13

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Palestina kimetangaza habari ya kuongezeka umaskini kwa asilimia 65 katika eneo la Ukanda wa Ghaza kutokana na kuendelea kuzingirwa kiuchumi kikamilifu eneo hilo na utawala wa Kizayuni.

  • Hatua ya Israel ya kuuzuia ujumbe wa ICC kuingia Ukanda wa Gaza

    Hatua ya Israel ya kuuzuia ujumbe wa ICC kuingia Ukanda wa Gaza

    Oct 10, 2016 04:06

    Ujumbe kutoka ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) siku ya Jumamosi uliwasili katika ardhi za Palestina zilizovamiwa na kuanza kukaliwa kwa mabavu mwaka 1948 (Israel). Ujumbe huo umepangiwa kutembelea pia eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, lakini hautofika Ukanda wa Gaza baada ya Israel kuuzuia kufanya hivyo.

  • Israel yawateka nyara wanaharakati wanawake wakielekea Gaza

    Israel yawateka nyara wanaharakati wanawake wakielekea Gaza

    Oct 06, 2016 12:16

    Jeshi la majini la utawala wa Kizayuni wa Israel limewateka nyara wanaharakati wanawake wa Marekani akiwemo Ann Wright, mwanadiplomasia mashuhuri na mtetezi wa haki za binadamu, wakiwa kwenye boti wakielekea katika Ukanda wa Gaza.

  • Misri yafungua tena kivuko cha Rafah kwa muda

    Misri yafungua tena kivuko cha Rafah kwa muda

    Jun 29, 2016 09:12

    Misri imefungua tena kivuko cha Rafah, njia pekee inayotumiwa kufikishia misaada ya dharura kwa Wapalestina karibu milioni mbili walio chini ya mzingiro huko Ukanda Gaza tangu mwaka 2007 na kusema kuwa eneo hilo la mpakani litasalia wazi hadi Julai 4.

  • Ban: Israel inawaumiza Wapalestina kwa mzingiro wake Ghaza

    Ban: Israel inawaumiza Wapalestina kwa mzingiro wake Ghaza

    Jun 28, 2016 23:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amelaani mzingiro wa Israel huko Ukanda wa Ghaza na kusema unawaumiza Wapalestina na kuharibu uchumi wao.

  • Mzingiro wa Israel wawafanya watoto Gaza waache masomo na kulazimika kufanya kazi

    Mzingiro wa Israel wawafanya watoto Gaza waache masomo na kulazimika kufanya kazi

    Jun 12, 2016 03:13

    Idadi kubwa ya watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza wamelazimika kuacha masomo na kufanya kazi ili kuzisaidia familia zao kimaisha kutokana na dhiki iliyosababishwa na mzingiro na mashambulio ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya eneo hilo.

  • Wiki ya kimataifa ya kuondoa mzingiro wa Ukanda wa Gaza

    Wiki ya kimataifa ya kuondoa mzingiro wa Ukanda wa Gaza

    Jun 06, 2016 06:44

    Wakati maadhimisho ya kimataifa ya kuondoa mzingiro uliowekewa Ukanda wa Gaza yakiwa yanakaribia, A'laa al-Batt'ah, mratibu wa harakati za kitaifa za kuondoa mzingiro wa Gaza ametoa wito kwa Wapalestina na watetezi wa uhuru duniani kote kushiriki katika shughuli na harakati za wiki ya kimataifa ya kuondolewa mzingiro wa Gaza ambayo inatazamiwa kuanza katika wiki ya mwisho ya mwezi huu wa Juni.

  • Asilimia 97 ya maji ya Ukanda wa Gaza si safi na si salama

    Asilimia 97 ya maji ya Ukanda wa Gaza si safi na si salama

    May 18, 2016 03:30

    Idara ya Maji ya Palestina imetangaza kuwa zaidi ya asilimia 97 ya maji ya Ukanda wa Gaza hayafai kutumiwa kwa kunywa.