Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • Ban: Israel inawaumiza Wapalestina kwa mzingiro wake Ghaza

    Ban: Israel inawaumiza Wapalestina kwa mzingiro wake Ghaza

    Jun 28, 2016 23:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amelaani mzingiro wa Israel huko Ukanda wa Ghaza na kusema unawaumiza Wapalestina na kuharibu uchumi wao.

  • Mzingiro wa Israel wawafanya watoto Gaza waache masomo na kulazimika kufanya kazi

    Mzingiro wa Israel wawafanya watoto Gaza waache masomo na kulazimika kufanya kazi

    Jun 12, 2016 03:13

    Idadi kubwa ya watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza wamelazimika kuacha masomo na kufanya kazi ili kuzisaidia familia zao kimaisha kutokana na dhiki iliyosababishwa na mzingiro na mashambulio ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya eneo hilo.

  • Wiki ya kimataifa ya kuondoa mzingiro wa Ukanda wa Gaza

    Wiki ya kimataifa ya kuondoa mzingiro wa Ukanda wa Gaza

    Jun 06, 2016 06:44

    Wakati maadhimisho ya kimataifa ya kuondoa mzingiro uliowekewa Ukanda wa Gaza yakiwa yanakaribia, A'laa al-Batt'ah, mratibu wa harakati za kitaifa za kuondoa mzingiro wa Gaza ametoa wito kwa Wapalestina na watetezi wa uhuru duniani kote kushiriki katika shughuli na harakati za wiki ya kimataifa ya kuondolewa mzingiro wa Gaza ambayo inatazamiwa kuanza katika wiki ya mwisho ya mwezi huu wa Juni.

  • Asilimia 97 ya maji ya Ukanda wa Gaza si safi na si salama

    Asilimia 97 ya maji ya Ukanda wa Gaza si safi na si salama

    May 18, 2016 03:30

    Idara ya Maji ya Palestina imetangaza kuwa zaidi ya asilimia 97 ya maji ya Ukanda wa Gaza hayafai kutumiwa kwa kunywa.

  • Hamas: Hujuma mpya ya Israel Ukanda wa Gaza itapata jibu kali

    Hamas: Hujuma mpya ya Israel Ukanda wa Gaza itapata jibu kali

    May 06, 2016 23:50

    Naibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuonya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mashambulizi yake mapya katika Ukanda wa Gaza huku uvamizi huo mpya wa Tel Aviv katika eneo hilo ukiingia siku yake ya nne Jumamosi.

  • Jeshi la Israel laanzisha mashambulizi dhidi ya kambi za Hamas, Gaza

    Jeshi la Israel laanzisha mashambulizi dhidi ya kambi za Hamas, Gaza

    May 04, 2016 22:14

    Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limeshambulia kwa makombora minara ya kijeshi inayomilikiwa na harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas katika Ukanda wa Gaza.

  • Mwangwi wa mgogoro wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza

    Mwangwi wa mgogoro wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza

    Apr 28, 2016 23:37

    Ripoti mbalimbali kutoka Ukanda wa Gaza huko Palestina zinasema kuwa, hali ya mambo katika eneo hilo imezidisha wasiwasi wa fikra za waliowengi duniani na inaakisi mgogoro mkubwa wa kibinadamu katika eneo hilo linalozingirwa na Wazayuni maghasibu.

  • Majasusi 5 wa Israel wahukumiwa kifo Gaza

    Majasusi 5 wa Israel wahukumiwa kifo Gaza

    Apr 19, 2016 22:20

    Majasusi watano wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamehukumiwa adhabu ya kifo katika Ukanda wa Gaza.

  • Maandamano ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Maandamano ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Apr 15, 2016 23:42

    Wapalestina wa maeneo tofauti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wamefanya maandamano makubwa ya kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na hali ngumu na ya kusikitisha ya Wapalestina wa Gaza

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na hali ngumu na ya kusikitisha ya Wapalestina wa Gaza

    Apr 15, 2016 03:10

    Baada ya kupita miaka 10, eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu lingali limewekewa mzingiro na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel; na kutokana na kuendelea kukumbwa na mashambulio ya ndege za utawala huo ghasibu, fursa la kulikarabati na kulijenga upya eneo hilo imebaki kuwa ndoto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS