• Umoja wa Mataifa waonya juu ya mgogoro wa njaa Gaza; misaada inaendelea kuzuiwa

    Umoja wa Mataifa waonya juu ya mgogoro wa njaa Gaza; misaada inaendelea kuzuiwa

    Jul 07, 2025 08:31

    Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeonya kwamba, mfumo wa chakula wa Gaza uko kwenye ukingo wa kuporomoka kabisa, huku hatua ya kuzuiwa msaada wa kibinadamu kuingia katika eneo hilo kukitishia maisha zaidi.

  • Hamas yakaribisha mwito wa BRICS wa kuondoka vikosi vya Israel huko Palestina

    Hamas yakaribisha mwito wa BRICS wa kuondoka vikosi vya Israel huko Palestina

    Jul 07, 2025 07:20

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekaribisha kwa mikono miwili wito wa kundi la nchi zinazoinukia kiuchumi BRICS kwa utawala haramu wa Israel, wa kukomesha vita vyake vya mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, na kuondokaa kikamilifu katika eneo hilo la pwani lililozingirwa, na ardhi zote za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Malaki waandamana Hague, Brussels kuonyesha mshikamano na Gaza

    Malaki waandamana Hague, Brussels kuonyesha mshikamano na Gaza

    Jun 16, 2025 06:52

    Makumi ya maelfu ya watu waliovalia mavazi mekundu wameandamana katika mitaa ya mji wa Hague nchini Uholanzi na mjini Brussels huko Ubelgiji kuonyesha mshikamano na Wapalestina wa Gaza sanjari na kushinikiza hatua zaidi kutoka kwa serikali zao dhidi ya mauaji ya kimbari katika eneo hilo la Palestina lililozingirwa.

  • Msalaba Mwekundu: Mfumo wa afya wa Gaza 'ni dhaifu mno'

    Msalaba Mwekundu: Mfumo wa afya wa Gaza 'ni dhaifu mno'

    Jun 09, 2025 07:58

    Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imeonya kuwa, mfumo wa huduma za afya katika Ukanda wa Gaza ni "dhaifu sana" wakati huu ambapo vita vya Israel vinaendelea katika eneo hilo lililozingirwa.

  • "Kuuawa viongozi wa Muqawama kunaimarisha irada ya Wapalestina"

    Jun 08, 2025 23:19

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imelaani vikali mauaji ya Israel dhidi ya afisa mashuhuri wa Muqawama na watu wengine 30 katika mji wa Gaza na kusisitiza kuwa, mauaji hayo yanayolenga viongozi wa mrengo wa mapambano kamwe hayatadhoofisha uthabiti na azma ya wananchi wa Palestina.

  • Hamas: Jinai za Israel Gaza zinashinda uhalifu wa Wanazi

    Hamas: Jinai za Israel Gaza zinashinda uhalifu wa Wanazi

    Jun 02, 2025 03:14

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amelaani shambulizi la karibuni la Israel dhidi ya wananchi wa Kipalestina wenye njaa waliouawa shahidi wakiendea chakula cha msaada kusini mwa Gaza, akibainisha kwamba mauaji haya yanatuma ujumbe wa wazi kwa ulimwengu wa Kiislamu kwamba wakati umefika wa kusimama dhidi ya wauaji.

  • Israel yaua Wapalestina 30 katika vituo vya misaada vya US, Gaza

    Israel yaua Wapalestina 30 katika vituo vya misaada vya US, Gaza

    Jun 01, 2025 03:45

    Vikosi vya utawala haramu wa Israel vimewamiminia risasi Wapalestina waliokuwa wamekusanyika katika vituo vya kusambaza misaada vinavyoendeshwa na kundi linaloungwa mkono na Marekani kusini na katikati mwa Gaza, na kuua shahidi takriban 30 miongoni mwao huko Rafah, huku Mpalestina mwingine akiuawa shahidi karibu na korido ya Netzarim.

  • Hamas yaafiki pendekezo la US la kuondoka askari wote wa Israel Gaza

    Hamas yaafiki pendekezo la US la kuondoka askari wote wa Israel Gaza

    May 29, 2025 02:37

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema imefikia makubaliano na Mjumbe Maalum wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, Steve Witkoff kuhusu "mfumo jumla" wa kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.

  • Mauaji Gaza; Majaji, mawakili 800 wa UK wataka Israel ifukuzwe UN

    Mauaji Gaza; Majaji, mawakili 800 wa UK wataka Israel ifukuzwe UN

    May 28, 2025 03:17

    Kundi la mawakili waandamizi, majaji wa zamani na wasomi wengine zaidi ya 800 wa Uingereza wameitaka serikali ya London kuuwekea vikwazo utawala wa Israel, na kushinikiza kusimamishwa uanachama wa Tel Aviv katika Umoja wa Mataifa.

  • Balozi wa Colombia: Dunia isifumbie macho mateso ya watu wa Gaza

    Balozi wa Colombia: Dunia isifumbie macho mateso ya watu wa Gaza

    May 27, 2025 03:08

    Jorge Ivan Ospina, balozi mpya wa Colombia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema "ulimwengu haupaswi kuwafumbia macho" raia wa Palestina wanaoteseka huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu.