-
Msemaji wa Ansarullah; vita vya Yemen ni soko la kuuzia silaha za Marekani na Ulaya
Mar 25, 2021 08:00Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa vita vya Yemen ni soko la kuuzia silaha za kivita za Marekani na Ulaya.
-
Maandamano ya kupinga kufungwa nchi yafanyika katika nchi za Ulaya
Mar 21, 2021 07:40Maafisa wa polisi katika nchi kadhaa za Ulaya wamekosolewa kwa kutumia nguvu kupita kiasi kuzima maandamano ya wananchi wanaopinga maagizo mapya ya serikali za nchi hizo yaliyotangazwa kwa ajili kuzuia msambao wa wimbi la tatu la virusi vya Corona.
-
Nchi 6 za Ulaya zisimamisha matumizi ya chanjo ya AstraZeneca
Mar 12, 2021 02:41Denmark imekuwa nchi ya sita ya Ulaya kusimamisha matumizi ya chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 ya AstraZeneca kutokana na madhara yake kwa damu za watu waliopigwa chanjo hiyo.
-
Kuanza kampeni kubwa ya vikwazo ya serikali ya Biden dhidi ya Russia
Mar 05, 2021 02:29Uhusiano wa Marekani na Russia katika serikali mpya ya Marekani na wakati huu wa uongozi wa Joe Biden umezidi kuwa mbaya. Serikali ya Biden mbali na kudhihirisha misimamo iliyodhidi ya Russia, hivi sasa imeanzisha kampeni kubwa ya vikwazo dhidi ya Moscow.
-
UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa ukatili dhidi ya wahajiri
Feb 12, 2021 02:42Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limezitaka nchi za Ulaya zikomesha ukatikli dhidi ya wahamiaji.
-
Uamuzi wa Italia kupiga marufuku uuzaji wa silaha zake kwa muungano wa Saudia
Feb 01, 2021 02:39Muungano wa kivita wa Saudia unaendeleza vita vyake vya kichokozi dhidi ya watu wasio na hatua wa Yemen na hata katika kipindi hiki cha janga la COVID-19 vita hivyo vinaendelea jambo ambalo limeibua malalamiko makali kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu.
-
Russia yakaribisha pendekezo la Marekani la kurefusha muda wa Mkataba wa New Start
Jan 23, 2021 04:55Serikali ya Russia imeunga mkono pendekezo la Rais Joe Biden wa Marekani la kurefusha mkataba wa kupunguza silaha za kistratijia za nyuklia maarufu kwa jina la New START kwa miaka mitano.
-
Iran: Wanaozuia dawa kuwafikia watoto hawastahiki kudai kuwa watetezi wa haki za binadamu
Dec 19, 2020 05:16Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu na Mkuu wa Masuala ya Kimataifa katika Idara ya Mahakama ya Iran amesema: "Wale wanaowazuia watoto wasio na dhambi kupata dawa hawana ustahiki wa kuzungumzia hata haki za wanyama."
-
Kasi kubwa ya maambukizi ya COVID-19 yazusha taharuki barani Ulaya
Nov 10, 2020 11:57Ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona na ugonjwa wa COVID-19 barani Ulaya na uhaba wa vifaa vya kukabiliana na maambukizi vilimezidisha taharuki katika nchi za bara hilo.
-
COVID-19 Ulaya: Sheria za udhibiti zaibua ghasia Uhispania, Uingereza yafungwa
Nov 01, 2020 11:34Bara Ulaya sasa linakabiliana na wimbi la pili la maambukizi ya COVID-19 au corona huku hali ikitabiriwa kuendelea kuwa mbaya katika wiki kadhaa zijazo.