Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Msemaji wa Ansarullah; vita vya Yemen ni soko la kuuzia silaha za Marekani na Ulaya

    Msemaji wa Ansarullah; vita vya Yemen ni soko la kuuzia silaha za Marekani na Ulaya

    Mar 25, 2021 08:00

    Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa vita vya Yemen ni soko la kuuzia silaha za kivita za Marekani na Ulaya.

  • Maandamano ya kupinga kufungwa nchi yafanyika katika nchi za Ulaya

    Maandamano ya kupinga kufungwa nchi yafanyika katika nchi za Ulaya

    Mar 21, 2021 07:40

    Maafisa wa polisi katika nchi kadhaa za Ulaya wamekosolewa kwa kutumia nguvu kupita kiasi kuzima maandamano ya wananchi wanaopinga maagizo mapya ya serikali za nchi hizo yaliyotangazwa kwa ajili kuzuia msambao wa wimbi la tatu la virusi vya Corona.

  • Nchi 6 za Ulaya zisimamisha matumizi ya chanjo ya AstraZeneca

    Nchi 6 za Ulaya zisimamisha matumizi ya chanjo ya AstraZeneca

    Mar 12, 2021 02:41

    Denmark imekuwa nchi ya sita ya Ulaya kusimamisha matumizi ya chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 ya AstraZeneca kutokana na madhara yake kwa damu za watu waliopigwa chanjo hiyo.

  • Kuanza kampeni kubwa ya vikwazo ya serikali ya Biden dhidi ya Russia

    Kuanza kampeni kubwa ya vikwazo ya serikali ya Biden dhidi ya Russia

    Mar 05, 2021 02:29

    Uhusiano wa Marekani na Russia katika serikali mpya ya Marekani na wakati huu wa uongozi wa Joe Biden umezidi kuwa mbaya. Serikali ya Biden mbali na kudhihirisha misimamo iliyodhidi ya Russia, hivi sasa imeanzisha kampeni kubwa ya vikwazo dhidi ya Moscow.

  • UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa ukatili dhidi ya wahajiri

    UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa ukatili dhidi ya wahajiri

    Feb 12, 2021 02:42

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limezitaka nchi za Ulaya zikomesha ukatikli dhidi ya wahamiaji.

  • Uamuzi wa Italia kupiga marufuku uuzaji wa silaha zake kwa muungano wa Saudia

    Uamuzi wa Italia kupiga marufuku uuzaji wa silaha zake kwa muungano wa Saudia

    Feb 01, 2021 02:39

    Muungano wa kivita wa Saudia unaendeleza vita vyake vya kichokozi dhidi ya watu wasio na hatua wa Yemen na hata katika kipindi hiki cha janga la COVID-19 vita hivyo vinaendelea jambo ambalo limeibua malalamiko makali kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu.

  • Russia yakaribisha pendekezo la Marekani la kurefusha muda wa Mkataba wa New Start

    Russia yakaribisha pendekezo la Marekani la kurefusha muda wa Mkataba wa New Start

    Jan 23, 2021 04:55

    Serikali ya Russia imeunga mkono pendekezo la Rais Joe Biden wa Marekani la kurefusha mkataba wa kupunguza silaha za kistratijia za nyuklia maarufu kwa jina la New START kwa miaka mitano.

  • Iran: Wanaozuia dawa kuwafikia watoto hawastahiki kudai kuwa watetezi wa haki za binadamu

    Iran: Wanaozuia dawa kuwafikia watoto hawastahiki kudai kuwa watetezi wa haki za binadamu

    Dec 19, 2020 05:16

    Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu na Mkuu wa Masuala ya Kimataifa katika Idara ya Mahakama ya Iran amesema: "Wale wanaowazuia watoto wasio na dhambi kupata dawa hawana ustahiki wa kuzungumzia hata haki za wanyama."

  • Kasi kubwa ya maambukizi ya COVID-19 yazusha taharuki barani Ulaya

    Kasi kubwa ya maambukizi ya COVID-19 yazusha taharuki barani Ulaya

    Nov 10, 2020 11:57

    Ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona na ugonjwa wa COVID-19 barani Ulaya na uhaba wa vifaa vya kukabiliana na maambukizi vilimezidisha taharuki katika nchi za bara hilo.

  • COVID-19 Ulaya: Sheria za udhibiti zaibua ghasia Uhispania, Uingereza yafungwa

    COVID-19 Ulaya: Sheria za udhibiti zaibua ghasia Uhispania, Uingereza yafungwa

    Nov 01, 2020 11:34

    Bara Ulaya sasa linakabiliana na wimbi la pili la maambukizi ya COVID-19 au corona huku hali ikitabiriwa kuendelea kuwa mbaya katika wiki kadhaa zijazo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS