-
EuroMed Rights yakosoa chuki na uhasama Wa viongozi wa Ufaransa dhidi ya Waislamu
Oct 29, 2020 02:55Kituo cha Haki za Binadamu Ulaya na Mediterania (EuroMed Rights) kimeItaja hatua ya viongozi wa Ufaransa ya kueneza chuki na uhasama dhidi ya Waislamu kuwa ni hatari kubwa.
-
Watu wanaofariki dunia kwa Covid-19 barani Ulaya wanazidi kuongezeka
Oct 20, 2020 12:08Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na maambukizi ya virusi vya corona barani Ulaya imefika zaidi ya 250,000 licha ya kutekelezwa vizuizihatua mbalimbali za kudhibiti maambukizi.
-
Wimbi la maambukizo ya corona lazidi kuwa kubwa barani Ulaya
Oct 05, 2020 08:04Nchi za Ulaya zimeamua kurejesha sheria kali za kukabiliana na maambukizi ya kirusi cha corona kutokana na wimbi la wagonjwa wa COVID-19 kuwa kubwa tena barani humo.
-
Shirika la kutetea haki za binadamu la Ulaya na Mediterania lakosoa jinai za utawala wa Kizayuni
Oct 02, 2020 03:42Shirika la kutetea haki za binadamu la Ulaya na Mediterania (Euro-Med Human Rights Monitor) limekosoa jinai zinazofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel za kukiuka haki za binadamu za Wapalestina.
-
Save the Children yaikosoa Ulaya kwa kuwapuuza watoto wadogo wakimbizi
Sep 02, 2020 14:58Shirika la Save the Children limezikosoa nchi za Ulaya kutokana na zinavyowapuuza watoto wadogo wakimbizi.
-
Upinzani wa Marekani kwa azimio la Baraza la Usalama kuhusu matakfiri; kutengwa zaidi Washington
Sep 02, 2020 02:42Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kuibuka na kuenea makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la kigaidi la Daesh tangu kuanza mgogoro nchini Syria mwaka 2011.
-
Iran: Magaidi wa MKO wanapewa hifadhi na US na EU licha ya kuua maelfu ya Wairani
Aug 30, 2020 11:02Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema nchi za Ulaya na Marekani zinawapa hifadhi wanachama wa kundi la kigaidi la Munafikin (MKO) licha ya genge hilo kuua kikatili maelfu ya Wairani.
-
Juhudi za Pempeo kuiarifisha China kama tishio kwa nchi za Ulaya
Aug 14, 2020 02:51Tokea aingie madarakani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitekeleza siasa kali na za uhasama dhidi ya China ambapo amekuwa akiendesha vita vya kisiasa, kibiashara na kiusalama dhidi ya nchi hiyo muhimu ya Asia.
-
Mlipuko mpya wa corona wapiga kengele barani Ulaya
Jul 27, 2020 09:33Mlipuko mpya wa virusi vya corona barani Ulaya umepiga kengele ya hatiri kwa watu wa bara hilo huku viongozi wa nchi mbalimbali wakisisitiza udharura wa kuchungwa na kufuata protokali za masuala ya afya.
-
Zarif: Mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Srebrenica yalitokana na Ulaya kufeli kutekeleza wajibu wake
Jul 12, 2020 03:37Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mauaji ya kimbari ya maelfu ya Waislamu wa Srebrenica yalifanyika kutokana na Ulaya kufeli kutekeleza majukumu yake ya msingi.