-
Fedheha ya ubaguzi wa rangi katika mchezo wa soka barani Ulaya
May 26, 2023 01:48Ubaguzi wa rangi ni silaha ya tangu na tangu, ambayo siku hizi, na licha ya kauli mbiu zote za kuwepo usawa baina ya watu wote na haki za binadamu kwa wote, ingali inatumiwa katika Ulimwengu wa Magharibi dhidi ya watu weusi na wasio Wazungu. Siku hizi katika nchi za Magharibi, watu wa rangi zingine hasa weusi, hawana hadhi sawa na weupe, licha ya wanavyojituma na michango mingi mno wanayotoa.
-
Kuongezeka pakubwa gharama za maisha barani Ulaya
May 22, 2023 02:47Kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbali za mahitaji na gharama za maisha kunaendelea kuzitesa nchi mbalimbali barani Ulaya.
-
Kuongezeka gharama za kijeshi za Ulaya baada ya Vita Baridi kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa
Apr 28, 2023 12:51Matumizi ya kijeshi barani Ulaya katika mwaka ulipoita wa 2022 yalipita kiwango hata cha kipindi zilipomalizika enzi za Vita Baridi.
-
Russia Today: Ulaya imekuwa koloni la Marekani katika kadhia ya Ukraine
Apr 26, 2023 02:02Chaneli ya televisheni ya Russia Today imeeleza katika ripoti yake ya uchambuzi kuhusu maandamano ya kupinga vita yaliyofanywa na watu kote barani Ulaya kwamba, Ulaya imekuwa koloni la Marekani katika kadhia ya Ukraine
-
Marekani imekithirisha uwekaji wa silaha zake za nyuklia katika bara la Ulaya
Apr 09, 2023 02:16Shirika la habari la Sputnik limetangaza kuwa Marekani imekithirisha uwekaji silaha zake za nyuklia barani Ulaya.
-
29 wafa maji, 11 waokolewa katika ajali ya boti pwani ya Tunisia
Mar 27, 2023 11:35Gadi ya Kitaifa ya Ulinzi wa Pwani ya Tunisia imetangaza habari ya kuaga dunia wahamiaji 29 kati ya 34 wa Kiafrika waliotoweka Ijumaa iliyopita baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuelekea Ulaya kuzama baharini karibu na pwani ya Tunisia.
-
Ulaya mwaka 2022 iliingiza silaha maradufu
Mar 14, 2023 02:08Taasisi ya kimataifa ya utafiti wa Amani imetangaza kuwa mwaka jana wa 2022 Ulaya ilipokea silaha maradufu; hatua inayoashiria kupatiwa Ukraine shehena kubwa ya silaha kwa kisingizio cha vita vinavyoendelea nchini humo.
-
Maelfu waandamana Italia, Ujerumani kupinga vita na kupewa silaha Ukraine
Feb 26, 2023 11:23Maelfu ya wananchi wa Italia wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulalamikia vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia, huku vita vya Ukraine vikiingia mwaka wake wa pili.
-
Hungary yailaumu Marekani kwa 'kuididimiza' Ulaya
Feb 24, 2023 03:06Waziri Mkuu wa Hungary, Viktor Orbán ameilaumu Marekani kwa kusababisha kudidimia na kupoteza ushawishi nchi za Ulaya.
-
Kashfa Katoliki; Watu karibu 5,000 wahanga wa unyanyasaji wa kingono Ureno
Feb 14, 2023 07:31Kwa mara nyingine tena Kanisa Katoliki limekumbwa na sakata jipya la ufuska; ambapo maelfu ya watu wameripotiwa kuwa wahanga wa udhalilishaji wa kingono wa kanisa hilo nchini Ureno.