Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Umoja wa Ulaya walaani mauaji ya waandishi wa habari wa Al Jazeera yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni

    Umoja wa Ulaya walaani mauaji ya waandishi wa habari wa Al Jazeera yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni

    Aug 12, 2025 13:25

    Umoja wa Ulaya umelaani mauaji ya waandishi wa habari wa Televisheni ya Al Jazeera na utawala wa Kizayuni na kusisitiza kwamba waandishi wa habari hawapaswi kulengwa.

  • Takwimu za kutisha kuhusu hali ya umaskini barani Ulaya

    Takwimu za kutisha kuhusu hali ya umaskini barani Ulaya

    Jul 22, 2025 04:32

    Licha ya sura yake ya kumetameta kama kimbilio la ufanisi na hali bora, takwimu zenye kushtua zinaonyesha kwamba Ulaya inaficha hali tete na ya kutisha ya kijamii. Takwimu zinaonyesha kuwa, umaskini unaenea katika vitovu vya miji mikubwa na vitongoji vilivyosahaulika vya miji ya Ulaya, na nafasi ambazo hapo awali zilitoa utulivu kwa tabaka la kati zinazidi kupungua.

  • Vijana wa Ulaya hawana imani na demokrasia ya Magharibi

    Vijana wa Ulaya hawana imani na demokrasia ya Magharibi

    Jul 05, 2025 04:13

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa katika nchi za Ulaya umenyesha kuwa nusu tu ya vijana wa Ufaransa na Uhispania tu ndio wamesema wanaamini kuwa demokrasia ndiyo njia bora ya utawala.

  • Kwa nini Marekani inafuatilia suala la kuongeza bajeti za kijeshi za wanachama wa NATO?

    Kwa nini Marekani inafuatilia suala la kuongeza bajeti za kijeshi za wanachama wa NATO?

    May 22, 2025 06:47

    Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kufikia mkutano wa kilele wa NATO mwezi Juni mwaka huu, nchi zote wanachama wa muungano huo wa kijeshi zitakuwa zimekubaliana kutenga asilimia 5 ya pato lao la ndani kwa ajili ya ulinzi katika kipindi cha muongo mmoja ujao.

  • Kwa nini Uhispania imeongeza mashinikizo dhidi ya Israel?

    Kwa nini Uhispania imeongeza mashinikizo dhidi ya Israel?

    May 22, 2025 02:18

    Bunge la Uhispania limepitisha muswada unaoitaka serikali ya nchi hiyo kuacha kuuzia utawala ghasibu wa Israel zana zozote za kijeshi.

  • UK: Biashara na Ulaya ni muhimu zaidi kwetu kuliko Marekani

    UK: Biashara na Ulaya ni muhimu zaidi kwetu kuliko Marekani

    Apr 27, 2025 02:31

    Waziri wa Hazina wa Uingereza, Rachel Reeves amesemaa kuwa, biashara baina ya nchi yake na Umoja wa Ulaya ni muhimu zaidi kuliko uhusiano wa kiuchumi na Marekani.

  • Wasiwasi wa Ulaya uliotokana na mgeuko mkubwa katika sera za Marekani kuhusiana na washirika wake

    Wasiwasi wa Ulaya uliotokana na mgeuko mkubwa katika sera za Marekani kuhusiana na washirika wake

    Apr 19, 2025 02:25

    Kubadilika sera za nje za Marekani kumeanza kidogo kidogo kuwatoa mafichoni wanasiasa wa Ulaya kwa kuwafanya waeleze kinagaubaga na kwa uwazi zaidi wasiwasi walionao kuhusu sera za Donald Trump za kujichukulia hatua za upande mmoja.

  • Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

    Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

    Apr 13, 2025 02:18

    Rais Xi Jin Ping wa China amesisitiza katika mazungumzo na Pedro Sanchez, Waziri Mku wa Uhispania ulazima wa kuimarisha ushirikiano kati ya China na Umoja wa Ulaya ili kukabiliana na hatua za upande moja za Marekani.

  • Sera za ushuru za Trump na ukuruba wa China na Ulaya

    Sera za ushuru za Trump na ukuruba wa China na Ulaya

    Apr 10, 2025 10:44

    Sera za ushuru za Rais Donald Trump wa Marekani zimegeuka kuwa vita vya kibiashara kati ya Marekani na waitifaki, washirika na wapinzani wake wa kibiashara.

  • Ulaya inapoteza itibari ya kimaadili kwa kuitetea Israel

    Ulaya inapoteza itibari ya kimaadili kwa kuitetea Israel

    Apr 07, 2025 07:26

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Iran amesema bara Ulaya linapoteza itibari ya kimaadili kwa kuutetea utawala wa Kizayuni wa Israel na kwa msingi huo itajipata katika upande mbaya wa historia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS