Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulimwengu wa Michezo

  • Refa aweka historia kwa kutoa 'kadi nyeupe' katika mechi ya soka ya ligi ya Ureno

    Refa aweka historia kwa kutoa 'kadi nyeupe' katika mechi ya soka ya ligi ya Ureno

    Jan 23, 2023 13:09

    Historia ya soka iliwekwa siku ya Jumamosi, wakati kadi nyeupe, ambayo inatumika kuthamini moyo wa kimichezo ilipoonyeshwa kwa mara ya kwanza katika mechi ya ligi nchini Ureno.

  • Iran na Zimbabwe zaazimia kupanua ushirikiano wa kimichezo

    Iran na Zimbabwe zaazimia kupanua ushirikiano wa kimichezo

    Jan 16, 2023 12:32

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimeazimia kupanua zaidi ushirikiano wao katikka nyanja mbalimbalii ukiwemo uga wa michezo.

  • Mjukuu wa Mandela atumia mashindano ya CHAN kutangaza kupigania ukombozi wa Palestina

    Mjukuu wa Mandela atumia mashindano ya CHAN kutangaza kupigania ukombozi wa Palestina

    Jan 16, 2023 05:55

    Mjukuu wa shujaa wa ukombozi, Nelson Mandela amesisitizia ulazima wa kupigania ukombozi wa Palestina na kupaza sauti za kuungwa mkono taifa hilo madhlumu.

  • Baada ya Kombe la Dunia, wito wa kukombolewa Palestina sasa wasikika katika michuano ya CHAN

    Baada ya Kombe la Dunia, wito wa kukombolewa Palestina sasa wasikika katika michuano ya CHAN

    Jan 14, 2023 13:02

    Duru ya saba ya mashindano ya soka ya Mataifa ya Afrika (CHAN) kwa wachezaji wa ligi za ndani barani humo yalifungua pazia lake jana Ijumaa kwa mchuano baina ya wenyeji Algeria na Libya.

  • Wairani walalamikia ujumbe wa Twitter wa rais wa FIFA

    Wairani walalamikia ujumbe wa Twitter wa rais wa FIFA

    Jan 08, 2023 05:34

    Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka Duniani (FIFA) amekosolewa vikali na watumizi wa mitandao ya kijamii wa Iran kwa kutumia neno bandia wakati wa kutaja Ghuba ya Uajemi.

  • Hatimaye Ronaldo ajiunga na timu ya Al Nassr ya Saudi Arabia

    Hatimaye Ronaldo ajiunga na timu ya Al Nassr ya Saudi Arabia

    Dec 31, 2022 05:39

    Mchezaji mahiri wa soka Cristiano Ronaldo amejiunga na klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia kwa mkataba utakaodumu hadi 2025.

  • Rais Samia amlilia Pele, atuma salamu za pole Brazil

    Rais Samia amlilia Pele, atuma salamu za pole Brazil

    Dec 31, 2022 05:17

    Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameungana wanasiasa na wanasoka kote duniani kuomboleza kifo cha Pele.

  • CAF: Pele atakumbukwa daima barani Afrika

    CAF: Pele atakumbukwa daima barani Afrika

    Dec 31, 2022 05:14

    Patrice Motsepe, Rais wa Shirikisho la Kandanda barani Afrika (CAF) amesema kuwa, nyota wa kandanda Pele, alikuwa na ''msukumo wa kipekee'' kwa bara la Afrika ambao utaishi milele kwenye mioyo ya wapenzi wa mpira wa miguu.

  • Dunia yaendelea kumuomboleza Pele, akumbukwa kwa wema

    Dunia yaendelea kumuomboleza Pele, akumbukwa kwa wema

    Dec 30, 2022 08:03

    Vigogo wa soka na watu mbali mbali duniani wanaendelea kutuma salamu za rambirambi na pole kufuatia kifo cha Pele, mchezaji mashuhuri wa soka wa Brazil ambaye anatajwa kuwa mwanasoka bora zaidi katika historia.

  • Gwiji wa soka duniani, Pele, afariki akiwa na umri wa miaka 82

    Gwiji wa soka duniani, Pele, afariki akiwa na umri wa miaka 82

    Dec 30, 2022 03:02

    Pele, mchezaji mashuhuri wa soka wa Brazil ambaye anatajwa kuwa mwanasoka bora zaidi katika historia, ameaga dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS