Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Baraza la Usalama laitaka Sudan Kusini iache kukwamisha shughuli za kikosi cha UN

    Baraza la Usalama laitaka Sudan Kusini iache kukwamisha shughuli za kikosi cha UN

    Aug 25, 2017 09:15

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka serikali ya Sudan Kusini iache kukwamisha shughuli za kikosi cha askari wa kofia buluu wa Umoja wa Mataifa walioko katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Wahanga wa mashambulizi ya Boko Haram waongezeka nchini Niger

    Wahanga wa mashambulizi ya Boko Haram waongezeka nchini Niger

    Aug 24, 2017 23:51

    Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, tangu yalipoanza mashambulizi ya kwanza ya genge la kigaidi la Boko Haram nchini Niger mwezi Februari 2015, karibu watu 540 imma wameuawa au kujeruhiwa au kutekwa nyara na kundi hilo la wakufurishaji.

  • Koffi Annan: Haki za Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar ziheshimiwe

    Koffi Annan: Haki za Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar ziheshimiwe

    Aug 24, 2017 09:13

    Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar na kusisitiza kuwa, utumiaji wa mabavu na nguvu kupita kiasi dhidi yao hakuwezi kusaidia kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • UN yatiwa wasiwasi na hali za wanawake wa Kiiraqi katika miji inayokaliwa kwa mabavu na Daesh

    UN yatiwa wasiwasi na hali za wanawake wa Kiiraqi katika miji inayokaliwa kwa mabavu na Daesh

    Aug 22, 2017 23:17

    Ujumbe wa misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ulioko nchini Iraq na ofisi ya haki za binadamu ya umoja huo zimetoa ripoti na kutangaza kuwa wanawake na wasichana wa Kiiraqi wanaoishi kwenye miji inayokaliwa kwa mabavu na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanakabiliwa na ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Sudan Kusini yapiga marufuku ndege za walinda amani wa UN kutumia uwanja wa Juba

    Sudan Kusini yapiga marufuku ndege za walinda amani wa UN kutumia uwanja wa Juba

    Aug 22, 2017 10:57

    Serikali ya Sudan Kusini imepiga marufuku ndege za vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kuruka kutokea uwanja wa ndege wa mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.

  • Watoaji wa huduma za kibinadamu Sudan Kusini waendelea kushambuliwa

    Watoaji wa huduma za kibinadamu Sudan Kusini waendelea kushambuliwa

    Aug 19, 2017 23:54

    Mratibu wa masuala ya kibiadamu nchini Sudan Kusini amesema kuwa mashambulizi dhidi ya watoaji wa huduma za kibiandamu nchini humo yameongezeka.

  • Katibu Mkuu wa UN akerwa na vita vya maneno kati ya US na Korea Kaskazini

    Katibu Mkuu wa UN akerwa na vita vya maneno kati ya US na Korea Kaskazini

    Aug 17, 2017 03:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu kushtadi vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini na kusema kuwa, kuna haja ya pande mbili hizo kukumbatia diplomasia.

  • UN yaikosoa Marekani kwa kuwazuilia wahajiri na wanaotafuta hifadhi

    UN yaikosoa Marekani kwa kuwazuilia wahajiri na wanaotafuta hifadhi

    Aug 14, 2017 23:26

    Wataalamu wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamekosoa kitendo cha Marekani kuendelea kuwazuilia wahamiaji na raia wa kigeni wanaotafuta hifadhi nchini humo.

  • Hatimaye UN yavunja kimya chake, yaitaka Saudia iheshimu haki za binadamu

    Hatimaye UN yavunja kimya chake, yaitaka Saudia iheshimu haki za binadamu

    Aug 11, 2017 02:38

    Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia kukomesha jinai na mashambulio dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia mashariki mwa nchi hiyo.

  • UN: Tunafuatilia kwa karibu uchaguzi wa Kenya

    UN: Tunafuatilia kwa karibu uchaguzi wa Kenya

    Aug 08, 2017 03:21

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema umoja huo unafuatilia kwa karibu zoezi la uchaguzi mkuu linalofanyika hii leo nchini Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS