-
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu dalili za mauaji ya kimbari CAR
Aug 08, 2017 03:18Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa kutokea mauji ya kimbari huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
UN yapeleka Yemen dawa ambazo muda wake wa matumizi umepita kutibu wagonjwa wa kipindupindu
Aug 06, 2017 23:14Mwakilishi wa Wizara ya Afya ya Yemen amesema, kwa mujibu wa taarifa za kuaminika, Umoja wa Mataifa unaepeleka nchini humo dawa ambazo muda wake wa matumizi umepita ili kutibu wagonjwa wa kipindupindu.
-
Umoja wa Mataifa wagundua makaburi ya umati kaskazini mwa Mali
Aug 06, 2017 02:31Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali (MINUSMA) kimegundua makaburi ya umati kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Mbabe wa kivita wa DRC akabidhiwa kwa serikali ya Kinshasa
Aug 05, 2017 03:36Mbabe wa kivita Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye amekuwa akisakwa kwa udi na uvumba kutokana na jinai dhidi ya binadamu alizofanya amekabidhiwa na Umoja wa Mataifa kwa vyombo vya dola vya Kinshasa.
-
UN: Mamia ya watu wameuawa katikati mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Aug 04, 2017 10:34Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mamia ya watu wameuawa katika mji wa Kasai ulioko katikati mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia machafuko ya miezi kadhaa katika mji huo.
-
Umoja wa Mataifa: Wayemeni milioni 7 wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa
Aug 04, 2017 10:31Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, raia milioni saba nchini Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa huku hali ya kibinadamu nchini humo ikiripotiwa kuzidi kuwa mbaya siku baada ya siku.
-
Pongezi za UN kwa Hashdu sha'abi kwa mchango wake katika kupambana na magaidi wa Daesh
Aug 02, 2017 09:33Yan Kubish Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Iraq amepongeza nafasi ya harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi katika kufanikisha kukombolewa miji tofauti ya Iraq na kulinda maisha ya raia katika vita dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).
-
UN yaipongeza al Hashdu sh-Sha'abi kwa mapambano yake dhidi ya Daesh
Aug 01, 2017 22:21Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Iraq amepongeza nafasi ya harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi katika kufanikisha ukombozi wa miji mbalimbali ya Iraq na kulinda maisha ya raia katika vita dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.
-
Wakaazi wa Al-Awamiyyah, Saudia waomba msaada wa UN kukabiliana na jinai za Aal Saud
Jul 31, 2017 08:21Wakaazi wa eneo la al-Awamiyyah mashariki mwa Saudi Arabia wameuomba Umoja wa Mataifa uchukue hatua kukomesha jinai na mashambulio ya utawala wa Aal Saud dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.
-
Mtaalamu wa UN: Israel haifai kufanya maamuzi ya upande mmoja kuhusu al-Aqsa
Jul 27, 2017 11:28Mtaalamu wa masuala ya haki wa Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Israel hauna mamlaka na uwezo wa kufanya maamuzi ya upande mmoja kuhusu usimamizi wa Msikiti wa al-Aqsa ulioko Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu.