Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Tuna wasiwasi CAR itatumbukia tena katika machafuko makubwa

    UN: Tuna wasiwasi CAR itatumbukia tena katika machafuko makubwa

    Jul 27, 2017 10:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuwa, yumkini Jamhuri ya Afrika ya Kati ikajikuta imetumbukia tena katika mgogoro mpana na machafuko makubwa ambayo yatavuruga jitihada za kurejesha amani na uthabiti katika nchi hiyo.

  • Mbabe wa kivita wa Kongo ajisalimisha kwa wanajeshi wa UN

    Mbabe wa kivita wa Kongo ajisalimisha kwa wanajeshi wa UN

    Jul 27, 2017 03:15

    Ntabo Ntaberi Sheka mmoja wa wababe hatari wa kivita waliokuwa wakisakwa kwa udi na uvumba wa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa jinai dhidi ya binadamu amejisalimisha kwa Umoja wa Mataifa.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya watoto milioni mbili wa Yemen

    UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya watoto milioni mbili wa Yemen

    Jul 26, 2017 09:32

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, watoto milioni mbili nchini Yemen wanakabiliwa na hali mbaya ya lishe duni, vita, umasikini na maradhi ya kipindupindu huku nchi hiyo ikakaribia kukabiliwa na ukame.

  • UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai

    UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai

    Jul 26, 2017 03:15

    Umoja wa Mataifa umelituhumu kwa njia isiyo ya moja kwa moja jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa limehusika na mauaji ya umati katika eneo la Kasai.

  • UN yatahadharisha kuhusu mgogoro wa Congo DR

    UN yatahadharisha kuhusu mgogoro wa Congo DR

    Jul 22, 2017 22:20

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya misaada ya kibinadamu ametahadharisha kuhusu mgogoro mkubwa unaisumbua Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • UN: Kuna uwezekano waasi na vyombo vya usalama viliwaua watumishi wetu

    UN: Kuna uwezekano waasi na vyombo vya usalama viliwaua watumishi wetu

    Jul 19, 2017 09:46

    Kundi moja la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwa, kuna uwezekano makundi ya wababe silaha na maafisa wa vyombo vya usalama nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, walihusika katika mauaji dhidi ya wataalamu wa umoja huo waliokuwa wakichunguza kuhusu makaburi ya umati nchini humo.

  • UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wafungwa Libya

    UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wafungwa Libya

    Jul 19, 2017 01:59

    Umoja wa Mataifa umelitaka Jeshi la Taifa la Libya linalodhibiti eneo la mashariki mwa nchi hiyo kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya papo na hapo ya wafungwa.

  • Sisitizo la mjumbe wa UN kwa ajili ya kufuatiliwa mipango ya kiadui dhidi ya Yemen

    Sisitizo la mjumbe wa UN kwa ajili ya kufuatiliwa mipango ya kiadui dhidi ya Yemen

    Jul 18, 2017 03:16

    Ismail Ould Sheikh Ahmed Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen jana alisema kuwa bandari ya al Hodeidah huko Yemen inapasa kusimamiwa na umoja huo.

  • Antonio Guterres aipongeza Iran kwa kufungamana kikamilifu na JCPOA

    Antonio Guterres aipongeza Iran kwa kufungamana kikamilifu na JCPOA

    Jul 15, 2017 08:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na kufungamana kwake kikamilifu na makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa juu ya udharura wa kuzuia kupelekwa magaidi nchini Syria

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa juu ya udharura wa kuzuia kupelekwa magaidi nchini Syria

    Jul 15, 2017 08:02

    Stephen de Mistura Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria amesisitiza katika mkutano na waandishi wa habari kuwa upelekeaji wa magaidi huko Syria unapasa kukomeshwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS