Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yataka waliofanya mauaji katikati mwa DRC wasakwe, wakamatwe

    UN yataka waliofanya mauaji katikati mwa DRC wasakwe, wakamatwe

    Jul 13, 2017 09:47

    Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametaka wale wote waliofanya machafuko na mauaji katikati mwa nchi hiyo, wasakwe na kutiwa mbaroni hata kama ni wakuu wa kijeshi na kisiasa.

  • WHO: Asilimia 60 ya watu duniani hawapati maji safi na salama

    WHO: Asilimia 60 ya watu duniani hawapati maji safi na salama

    Jul 13, 2017 00:01

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, asilimia 60 ya watu duniani hawapati maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya binadamu.

  • Iran yaunga mkono kikamilifu mkataba wa UN wa kupiga marufuku uundwaji silaha za nyuklia

    Iran yaunga mkono kikamilifu mkataba wa UN wa kupiga marufuku uundwaji silaha za nyuklia

    Jul 07, 2017 23:16

    Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki, IAEA, amesema Iran ambayo ni muathirika wa silaha za maangamizi ya umati, inaunga mkono kikamilifu mkataba mpya wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupigwa marufuku silaha za nyuklia.

  • Juhudi za Afrika za kuongezewa hisa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Juhudi za Afrika za kuongezewa hisa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Jul 03, 2017 08:40

    Naibu Mkuu wa Kamisheni ya Afrika (AU) amezitaka nchi za bara hilo kuungana na kuwa na sauti moja kwa ajili ya kuimarisha nafasi na uwakilishi wa bara hilo katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • UN yaafiki kupunguza bajeti ya wanajeshi walinda amani kwa mashinikizo ya USA

    UN yaafiki kupunguza bajeti ya wanajeshi walinda amani kwa mashinikizo ya USA

    Jul 01, 2017 03:02

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limekubali kupunguza kwa kiasi kikubwa bajeti ya operesheni za kulinda amani kufuatia mashinikizo ya Marekani.

  • Makaburi mengine ya umati yagunduliwa Kasai, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Makaburi mengine ya umati yagunduliwa Kasai, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Jun 26, 2017 23:25

    Serikali yai Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuwa, imegundua zaidi ya makaburi kumi ya umati katika mkoa wa Kasai, mahali ambapo vikosi vya serikali na makundi ya waasi yametuhumiwa kwa kufanya mauaji dhidi ya raia.

  • Katibu Mkuu UN: Sharti vita vimalizike Sudan Kusini ili kutatua mgogoro wa wakimbizi

    Katibu Mkuu UN: Sharti vita vimalizike Sudan Kusini ili kutatua mgogoro wa wakimbizi

    Jun 23, 2017 23:06

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema suluhu ya wimbi kubwa la wakimbizi barani Afrika tangu mauaji ya Kimbari ya Rwanda ni kumaliza mgogoro wa Sudan Kusini.

  • Askari wa Umoja wa Mataifa washindwa kurejesha amani CAR

    Askari wa Umoja wa Mataifa washindwa kurejesha amani CAR

    Jun 22, 2017 03:49

    Licha ya kupita miaka minne tokea kutumwa askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa huko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, lakini bado nchi hiyo inashuhudia machafuko ambayo yamepelekea mamia ya watu kuuawa.

  • Waziri wa zamani wa Lebanon, mjumbe mpya wa UN nchini Libya

    Waziri wa zamani wa Lebanon, mjumbe mpya wa UN nchini Libya

    Jun 22, 2017 03:30

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limemuidhinisha Ghassan Salame, raia wa Lebanon kuwa mjumbe maalumu wa umoja huo katika masuala ya Libya.

  • Tuhuma za Umoja wa Mataifa kwa viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Tuhuma za Umoja wa Mataifa kwa viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jun 21, 2017 23:51

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, amewatuhumu viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa wanayapa silaha baadhi ya makundi ya wanamgambo wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS