-
UN yataka waliofanya mauaji katikati mwa DRC wasakwe, wakamatwe
Jul 13, 2017 09:47Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametaka wale wote waliofanya machafuko na mauaji katikati mwa nchi hiyo, wasakwe na kutiwa mbaroni hata kama ni wakuu wa kijeshi na kisiasa.
-
WHO: Asilimia 60 ya watu duniani hawapati maji safi na salama
Jul 13, 2017 00:01Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, asilimia 60 ya watu duniani hawapati maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya binadamu.
-
Iran yaunga mkono kikamilifu mkataba wa UN wa kupiga marufuku uundwaji silaha za nyuklia
Jul 07, 2017 23:16Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki, IAEA, amesema Iran ambayo ni muathirika wa silaha za maangamizi ya umati, inaunga mkono kikamilifu mkataba mpya wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupigwa marufuku silaha za nyuklia.
-
Juhudi za Afrika za kuongezewa hisa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
Jul 03, 2017 08:40Naibu Mkuu wa Kamisheni ya Afrika (AU) amezitaka nchi za bara hilo kuungana na kuwa na sauti moja kwa ajili ya kuimarisha nafasi na uwakilishi wa bara hilo katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
UN yaafiki kupunguza bajeti ya wanajeshi walinda amani kwa mashinikizo ya USA
Jul 01, 2017 03:02Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limekubali kupunguza kwa kiasi kikubwa bajeti ya operesheni za kulinda amani kufuatia mashinikizo ya Marekani.
-
Makaburi mengine ya umati yagunduliwa Kasai, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Jun 26, 2017 23:25Serikali yai Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuwa, imegundua zaidi ya makaburi kumi ya umati katika mkoa wa Kasai, mahali ambapo vikosi vya serikali na makundi ya waasi yametuhumiwa kwa kufanya mauaji dhidi ya raia.
-
Katibu Mkuu UN: Sharti vita vimalizike Sudan Kusini ili kutatua mgogoro wa wakimbizi
Jun 23, 2017 23:06Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema suluhu ya wimbi kubwa la wakimbizi barani Afrika tangu mauaji ya Kimbari ya Rwanda ni kumaliza mgogoro wa Sudan Kusini.
-
Askari wa Umoja wa Mataifa washindwa kurejesha amani CAR
Jun 22, 2017 03:49Licha ya kupita miaka minne tokea kutumwa askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa huko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, lakini bado nchi hiyo inashuhudia machafuko ambayo yamepelekea mamia ya watu kuuawa.
-
Waziri wa zamani wa Lebanon, mjumbe mpya wa UN nchini Libya
Jun 22, 2017 03:30Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limemuidhinisha Ghassan Salame, raia wa Lebanon kuwa mjumbe maalumu wa umoja huo katika masuala ya Libya.
-
Tuhuma za Umoja wa Mataifa kwa viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jun 21, 2017 23:51Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, amewatuhumu viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa wanayapa silaha baadhi ya makundi ya wanamgambo wa nchi hiyo.