-
UN yaipongeza Iran kwa kutoa huduma ziada kwa wakimbizi
Jun 21, 2017 23:12Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi UNHCR limeipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutoa huduma ziada kwa wakimbizi.
-
Qatar yawasilisha rasmi malalamiko UN kutokana na uhasama wa Saudia
Jun 19, 2017 22:02Serikali ya Qatar imewasilisha malalamiko yake rasmi kwa Umoja wa Mataifa kufuatia hatua ya Saudia, Bahrain, Misri na Imarat ya kuiwekea mzingiro wa kiuchumi na kisiasa, baada ya nchi hizo kudai kuwa, Doha inaunga mkono ugaidi.
-
UNHCR: Mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi duniani
Jun 19, 2017 10:58Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imetangaza kuwa, watu milioni 65 na laki sita walikuwa wakimbizi kote duniani hadi kufikia mwishoni mwa mwaka uliopita wa 2016.
-
UN yateua mjumbe mpya nchini Libya
Jun 17, 2017 23:22Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameteua mjumbe wake mpya wa kufuatilia masuala ya Libya.
-
UN yaonya kuhusu hali ya watu milioni 130 wanaokabiliwa na hali mbaya ulimwenguni
Jun 17, 2017 23:21Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watu milioni 130 katika maeneo mbalimbali duniani wanakabiliwa na mugogoro ya kibinadamu na ukimbizi.
-
Qatar yaomba msaada wa Umoja wa Mataifa
Jun 17, 2017 11:03Mkuu wa Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Qatar katika ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi ameuomba umoja huo uingilie kati na kutatua mgogoro ulioanzishwa na Saudia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya nchi yake.
-
UN: Hitilafu za Eritrea na Djibouti ni natija ya mgogoro wa Waarabu
Jun 17, 2017 10:01Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, hitilafu zilizopo hivi sasa kati ya Eritrea na na Djibouti ni matokeo ya mgogoro uliopo baina ya nchi kadhaa za Kiarabu na Qatar.
-
AU yaahidi kurejesha utulivu Somalia licha ya kuongezeka kwa mashambulio ya al-Shabab
Jun 16, 2017 03:04Umoja wa Afrika umetangaza kuwa, umeazimia kurejesha amani na utulivu nchini Somalia licha ya kuongezeka mashambulio ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabab katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
UN yalaani mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu wa Somalia
Jun 15, 2017 12:42Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia amelaani mashambulizi yaliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo.
-
UN yatetea shirika lake linalohudumia wakimbizi wa Palestina
Jun 13, 2017 09:32Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuunga mkono shirika la umoja huo linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina, baada ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutoa wito wa kuvunjwa taasisi hiyo ya kimataifa.