Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yaipongeza Iran kwa kutoa huduma ziada kwa wakimbizi

    UN yaipongeza Iran kwa kutoa huduma ziada kwa wakimbizi

    Jun 21, 2017 23:12

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi UNHCR limeipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutoa huduma ziada kwa wakimbizi.

  • Qatar yawasilisha rasmi malalamiko UN kutokana na uhasama wa Saudia

    Qatar yawasilisha rasmi malalamiko UN kutokana na uhasama wa Saudia

    Jun 19, 2017 22:02

    Serikali ya Qatar imewasilisha malalamiko yake rasmi kwa Umoja wa Mataifa kufuatia hatua ya Saudia, Bahrain, Misri na Imarat ya kuiwekea mzingiro wa kiuchumi na kisiasa, baada ya nchi hizo kudai kuwa, Doha inaunga mkono ugaidi.

  • UNHCR: Mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi duniani

    UNHCR: Mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi duniani

    Jun 19, 2017 10:58

    Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imetangaza kuwa, watu milioni 65 na laki sita walikuwa wakimbizi kote duniani hadi kufikia mwishoni mwa mwaka uliopita wa 2016.

  • UN yateua mjumbe mpya nchini Libya

    UN yateua mjumbe mpya nchini Libya

    Jun 17, 2017 23:22

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameteua mjumbe wake mpya wa kufuatilia masuala ya Libya.

  • UN yaonya kuhusu hali ya watu milioni 130 wanaokabiliwa na hali mbaya ulimwenguni

    UN yaonya kuhusu hali ya watu milioni 130 wanaokabiliwa na hali mbaya ulimwenguni

    Jun 17, 2017 23:21

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watu milioni 130 katika maeneo mbalimbali duniani wanakabiliwa na mugogoro ya kibinadamu na ukimbizi.

  • Qatar yaomba msaada wa Umoja wa Mataifa

    Qatar yaomba msaada wa Umoja wa Mataifa

    Jun 17, 2017 11:03

    Mkuu wa Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Qatar katika ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi ameuomba umoja huo uingilie kati na kutatua mgogoro ulioanzishwa na Saudia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya nchi yake.

  • UN: Hitilafu za Eritrea na Djibouti ni natija ya mgogoro wa Waarabu

    UN: Hitilafu za Eritrea na Djibouti ni natija ya mgogoro wa Waarabu

    Jun 17, 2017 10:01

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, hitilafu zilizopo hivi sasa kati ya Eritrea na na Djibouti ni matokeo ya mgogoro uliopo baina ya nchi kadhaa za Kiarabu na Qatar.

  •  AU yaahidi kurejesha utulivu Somalia licha ya kuongezeka kwa mashambulio ya al-Shabab

    AU yaahidi kurejesha utulivu Somalia licha ya kuongezeka kwa mashambulio ya al-Shabab

    Jun 16, 2017 03:04

    Umoja wa Afrika umetangaza kuwa, umeazimia kurejesha amani na utulivu nchini Somalia licha ya kuongezeka mashambulio ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabab katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • UN yalaani mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu wa Somalia

    UN yalaani mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu wa Somalia

    Jun 15, 2017 12:42

    Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia amelaani mashambulizi yaliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo.

  • UN yatetea shirika lake linalohudumia wakimbizi wa Palestina

    UN yatetea shirika lake linalohudumia wakimbizi wa Palestina

    Jun 13, 2017 09:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuunga mkono shirika la umoja huo linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina, baada ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutoa wito wa kuvunjwa taasisi hiyo ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS