Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Umoja wa Mataifa wapongeza hatua ya Machar kurejea Juba

    Umoja wa Mataifa wapongeza hatua ya Machar kurejea Juba

    Apr 27, 2016 10:06

    Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Riek Machar, kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini kurejea katika mji mkuu wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika na kuunda serikali na Rais Salva Kiir.

  • Mfuko wa UN wa kuwasaidia wakimbizi wa Sudan Kusini wakauka

    Mfuko wa UN wa kuwasaidia wakimbizi wa Sudan Kusini wakauka

    Apr 26, 2016 03:49

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa unakabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha za kuwasaidia maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini na haswa ambao wamekimbilia nchi jirani ya Sudan.

  • UN yatiwa wasi wasi na ongezeko la taharuki ya kisiasa Kongo DR

    UN yatiwa wasi wasi na ongezeko la taharuki ya kisiasa Kongo DR

    Apr 26, 2016 03:46

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasi wasi wake kuhusu kuongezeka taharuki na uhasama wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Rais Joseph Kabila wa DRC aonana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Rais Joseph Kabila wa DRC aonana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Apr 24, 2016 10:19

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameonana na Ban Ki mooon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kujadiliana naye hali ya kisiasa na kiusalama ya nchi hiyo.

  • Machar: Nisilaumiwe, serikali ya Juba imenizuia kuingia nchini, yumkini nitasafiri Jumatatu

    Machar: Nisilaumiwe, serikali ya Juba imenizuia kuingia nchini, yumkini nitasafiri Jumatatu

    Apr 24, 2016 03:00

    Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini Riek Machar amesema binafsi anatamani kusafiri kwenda mji mkuu wa nchi hiyo Juba lakini serikali ya Rais Salva Kiir ndio imemnyima kibali cha kuingia mjini humo.

  • UN yazitaka pande hasimu Yemen kuzungumza kwa nia njema

    UN yazitaka pande hasimu Yemen kuzungumza kwa nia njema

    Apr 21, 2016 03:31

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amezitaka pande zinazozozana katika mgogoro wa Yemen kuketi kwenye meza ya mazungumzo ya Kuwait kwa nia njema.

  • UN yathibitisha, mamia ya wahajiri wameghariki pwani ya Libya

    UN yathibitisha, mamia ya wahajiri wameghariki pwani ya Libya

    Apr 21, 2016 02:44

    Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa, mamia ya wahamiaji haramu wamezama katika maji ya ya Libya baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama baharini.

  • UN yataka kuongezwa muda askari wake wa Sahara Magharibi

    UN yataka kuongezwa muda askari wake wa Sahara Magharibi

    Apr 20, 2016 03:20

    Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuongezewa muda wa kuhudumu askari wa kulinda amani wa umoja huo katika eneo la Sahara Magharibi MINURSO, akionya kuwa, iwapo vikosi hivyo vitaondolewa kikamilifu, eneo hilo litakuwa katika hatari ya kushuhudia migogoro zaidi.

  • Askari wa Umoja wa Mataifa auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Askari wa Umoja wa Mataifa auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 19, 2016 03:20

    Askari wa kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa ameuawa katika hujuma ya waasi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Hali tete ya Libya

    Hali tete ya Libya

    Apr 18, 2016 03:39

    Hali ya mambo nchini Libya inatajwa kuwa ni tete licha ya kuanza kazi serikali ya umoja wa kitaifa iliyoungwa mkono na kukaribishwa na jamii ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS