-
UN yataka kuongezwa muda askari wake wa Sahara Magharibi
Apr 20, 2016 03:20Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuongezewa muda wa kuhudumu askari wa kulinda amani wa umoja huo katika eneo la Sahara Magharibi MINURSO, akionya kuwa, iwapo vikosi hivyo vitaondolewa kikamilifu, eneo hilo litakuwa katika hatari ya kushuhudia migogoro zaidi.
-
Askari wa Umoja wa Mataifa auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Apr 19, 2016 03:20Askari wa kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa ameuawa katika hujuma ya waasi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Hali tete ya Libya
Apr 18, 2016 03:39Hali ya mambo nchini Libya inatajwa kuwa ni tete licha ya kuanza kazi serikali ya umoja wa kitaifa iliyoungwa mkono na kukaribishwa na jamii ya kimataifa.
-
Viongozi wa kisiasa wa Kongo watolewa wito wa kushiriki mazungumzo
Apr 17, 2016 10:50Mkuu wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amewatolea wito viongozi wa kisiasa wa nchi hiyo kushiriki mazungumzo ya kitaifa ya nchi hiyo.
-
Iran yajibu tuhuma za Saudia na Utawala wa Kizayuni
Apr 15, 2016 03:14Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa jibu kali kwa matamshi yasiyo na msingi ya mabalozi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudia dhidi ya Iran.
-
Mjumbe wa UN kuitembelea Tehran kuhusu mgogoro wa Syria
Apr 08, 2016 03:47Staffan de Mistura mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria anatazamiwa kuitembelea Iran karibuni hivi.
-
UN: serikali ya umoja wa kitaifa Libya inapasa kuchukua uongozi wa nchi haraka iwezekanavyo
Apr 06, 2016 23:10Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ametaka kukabidhiwa haraka na kikamilifu uongozi wa nchi kwa serikali ya umoja wa kitaifa.
-
Waziri wa Afya: Walioaga dunia kwa homa ya manjano Angola wamefikia 225
Apr 06, 2016 09:32Waziri wa Afya wa Angola ametangaza kuwa, idadi ya watu waliopoteza maisha yao nchini humo kwa homa ya manjano imeongezeka na kufikia 225.
-
UN yatahadharisha kuhusu maafa ya mabomu ya kutegwa ardhini duniani
Apr 04, 2016 12:03Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watu wasiopungua 10 hufariki dunia kila siku kutokana na kulipuka kwa mabomu ya kutengwa ardhi katika maeneo mbalimbali duniani.
-
Kuendelea kukimbilia Sudan raia wa Sudan Kusini kunatia wasiwasi
Mar 30, 2016 02:02Umoja wa Mataifa umesema kuwa kuendelea mzozo huko Sudan Kusini na raia wa nchi hiyo kukimbilia nchini Sudan kunatia wasiwasi.