Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yaitangaza Machi 15 Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    UN yaitangaza Machi 15 Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Mar 16, 2022 04:02

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio la "Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamopohobia).

  • Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa UN alaani mauaji makubwa ya wafungwa Saudi Arabia

    Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa UN alaani mauaji makubwa ya wafungwa Saudi Arabia

    Mar 15, 2022 04:46

    Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet ametoa maoni yake kuhusu kunyongwa kwa watu 81 nchini Saudi Arabia.

  • UN: Hatuna taarifa za kuwepo silaha za biolojia nchini Ukraine

    UN: Hatuna taarifa za kuwepo silaha za biolojia nchini Ukraine

    Mar 12, 2022 03:28

    Naibu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na udhibiti wa kuenea kwa silaha duniani amesema, umoja huo hauna taarifa zozote kuhusu mipango ya uzalishaji silaha za vijidudu za kibiolojia nchini Ukraine.

  • UN: Raia 440 wameuawa katika mapigano nchini Sudan Kusini

    UN: Raia 440 wameuawa katika mapigano nchini Sudan Kusini

    Mar 02, 2022 10:20

    Umoja wa Mataifa umesema, raia wasiopungua 440 wameuawa katika mapigano makali kati ya pande hasimu kusini-magharibi ya Sudan Kusini ndani ya kipindi cha miezi michache katika mwaka uliopita.

  • Umoja wa Mataifa: Ni asilimia 12 tu ya fedha zinazohitajika kuisaidia Afghanistan ndizo zilizopatikana

    Umoja wa Mataifa: Ni asilimia 12 tu ya fedha zinazohitajika kuisaidia Afghanistan ndizo zilizopatikana

    Feb 27, 2022 00:47

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, ni asilimia 12 tu ya fedha zilizokuwa zikihitajiwa na umoja huo kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa Afghanistan ndizo zilizopatikana.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu kusitishwa misaada ya chakula kwa wananchi wa Yemen

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu kusitishwa misaada ya chakula kwa wananchi wa Yemen

    Feb 27, 2022 00:46

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha juu ya matokeo mabaya ya kusitishwa misaada ya chakula kwa wananchi wa Yemen.

  • Baada ya kulipa gharama za kuivamia kijeshi Kuwait, Iraq yaondolewa kwenye Sura ya 7 ya UN

    Baada ya kulipa gharama za kuivamia kijeshi Kuwait, Iraq yaondolewa kwenye Sura ya 7 ya UN

    Feb 23, 2022 23:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq ametangaza kuwa nchi hiyo imeondolewa kwenye orodha ya Sura ya 7 ya Hati ya Umoja wa Mataifa.

  • Mtaalamu wa UN awasili Sudan kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu baada ya mapinduzi ya jeshi

    Mtaalamu wa UN awasili Sudan kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu baada ya mapinduzi ya jeshi

    Feb 22, 2022 08:22

    Mtaalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa yuko nchini Sudan kuthibitisha madai ya wwa haki za binadamu baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini humo Oktoba mwaka jana ambayo yameitumbukiza nchi katika machafuko na kusababisha maandamano ya karibu kila siku dhidi ya utawala wa kijeshi.

  • UN yashtushwa na ongezeko la mashambulizi dhidi ya wakimbizi wa ndani Kongo DR

    UN yashtushwa na ongezeko la mashambulizi dhidi ya wakimbizi wa ndani Kongo DR

    Feb 21, 2022 03:51

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR na washirika wake wameeleza kushtushwa na ripoti za mashambulizi manane makubwa yaliyotokea katika siku 10 za mwanzo wa mwezi huu katika jimbo la Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN yaonya, vifo vya uchafuzi wa mazingira ni zaidi ya vifo vya corona

    UN yaonya, vifo vya uchafuzi wa mazingira ni zaidi ya vifo vya corona

    Feb 17, 2022 04:50

    Afisa wa Umoja wa Mataifa amesema vifo vinavyotokana na uchafuzi wa mazingira, kama vile uchafuzi wa hali ya hewa, vinazidi vile vinavyosababishwa na janga la corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS