Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yatiwa wasiwasi na hali ya kiafya na kimatibabu ya Ukanda wa Gaza

    UN yatiwa wasiwasi na hali ya kiafya na kimatibabu ya Ukanda wa Gaza

    Jan 03, 2025 12:04

    Wataalamu hao wa Umoja wa Mataifa wataka kukomeshwa upuuaji wa waziwazi' haki ya haki ya kiafya huko Gaza baada ya utawala wa Kizayuni wiki iliyopita kuishambulia Hospitali ya Kamal Adwan katika eneo hilo na kumtia nguvuni kihilela na kumuweka kizuizini Mkurugenzi wa hospitali hiyo Dakta Hussam Abu Safiya.

  • Katika salamu za mwaka mpya, Katibu Mkuu wa UN asema: Tunaweza kuifanya 2025 kuwa mwanzo mpya

    Katika salamu za mwaka mpya, Katibu Mkuu wa UN asema: Tunaweza kuifanya 2025 kuwa mwanzo mpya

    Dec 31, 2024 03:37

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, ilikuwa vigumu sana kupata matumaini mwaka 2024, lakini akaongeza kuwa, tunaweza kuugeuza mwaka 2025 kuwa mwanzo mpya si wa ulimwengu usio na usawa na uliogawanyika, lakini ulimwengu ambao ndani yake mataifa yameungana pamoja.

  • Afghanistan: Pakistan imefanya mashambulio ya anga, yameua na kujeruhi raia wengi wakiwemo watoto

    Afghanistan: Pakistan imefanya mashambulio ya anga, yameua na kujeruhi raia wengi wakiwemo watoto

    Dec 25, 2024 06:53

    Afghanistan imetangaza kuwa jeshi la Pakistan limefanya mashambulizi ya anga katika jimbo la Paktika mashariki, na kuua na kuwajeruhi raia kadhaa, "wengi wao wakiwa wakimbizi kutoka Waziristan."

  • Afisa wa UN: Ni vigumu kupeleka misaada Gaza

    Afisa wa UN: Ni vigumu kupeleka misaada Gaza

    Dec 25, 2024 03:35

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa imekuwa vigumu kufikisha hata msaada mdogo kwa raia wa Palestina huko Ukanda wa Gaza.

  • Mkutano wa UN kuhusu kuenea majangwa duniani umeanza Riyadh, Saudi Arabia

    Mkutano wa UN kuhusu kuenea majangwa duniani umeanza Riyadh, Saudi Arabia

    Dec 03, 2024 12:21

    Wazungumzaji katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa kupambana na kuenea majangwa duniani COP16 unaoendelea nchini Saudi Arabia wametahadharisha kuwa hatua zinapasa kuchukuliwa ili kulinda uhai duniani.

  • Libya yataka kufutwa uanachama wa utawala wa Israel katika Umoja wa Mataifa

    Libya yataka kufutwa uanachama wa utawala wa Israel katika Umoja wa Mataifa

    Dec 03, 2024 12:15

    Libya imetaka kufutwa uanachama wa utawala wa Kizayuni katika Umoja wa Mataifa na kuhuishwa sura ya saba ya Hati ya Baraza la Usalama dhidi ya utawala huo unaotekeleza mauaji ya kimbari.

  • Australia yaweka historia, yapitisha sheria ya marufuku kwa watoto kutumia mitandao ya kijamii

    Australia yaweka historia, yapitisha sheria ya marufuku kwa watoto kutumia mitandao ya kijamii

    Nov 30, 2024 02:48

    Seneti ya Australia imepitisha sheria za kupiga marufuku watoto na vijana wadogo kutumia mitandao ya kijamii, ukiwa ni uamuzi wa kwanza wa aina yake kuchukuliwa na serikali yoyote ulimwenguni.

  • Iran: Ni muhimu kuwepo mshikamano wa kimataifa kwa ajili ya kuwahami wanawake na watoto wa Gaza na Lebanon

    Iran: Ni muhimu kuwepo mshikamano wa kimataifa kwa ajili ya kuwahami wanawake na watoto wa Gaza na Lebanon

    Nov 20, 2024 11:43

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya wanawake na familia amesisitiza umuhimu wa mshikamano wa kimataifa kwa ajili ya kuwahami na kuwasaidia wanawake na watoto wa Gaza na Lebanon.

  • UNRWA: Hakuna taasisi yoyote inayoweza kujaza nafasi yetu Ghaza

    UNRWA: Hakuna taasisi yoyote inayoweza kujaza nafasi yetu Ghaza

    Nov 19, 2024 11:10

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) amesema kuwa, hakuna taasisi yoyote inayoweza kujaza nafasi ya shirika hilo katika kuwahudumia na kuwafikishia misaada wakazi wa Ghaza.

  • Kupasishwa azimio jipya la Umoja wa Mataifa la kuwaunga mkono Wapalestina

    Kupasishwa azimio jipya la Umoja wa Mataifa la kuwaunga mkono Wapalestina

    Nov 16, 2024 12:00

    Kamati ya Haki za Binadamu na Masuala ya Kibinadamu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepasisha azimio na kusisitiza kuwa wananchi wa Palestina wana haki ya kujiainishia mustakbali wao katika ardhi za Palestina, na kwamba wana haki ya kuwa huru, kujitawala na kujikomboa haraka kutoka katika makucha ya ukaliaji mabavu wa utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS