Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Kuisusia ICC; muendelezo wa ushari wa Trump dhidi ya taasisi za kimataifa

    Kuisusia ICC; muendelezo wa ushari wa Trump dhidi ya taasisi za kimataifa

    Jun 12, 2020 22:35

    Rais wa Marekani, Donald Trump anaendeleza ushari wake wa kutojali, kuponda na kutoa vitisho dhidi ya taasisi za kimataifa. Hadi hivi sasa Trump ameshaitoa Marekani kwenye taasisi kadhaa za Umoja wa Mataifa kama vile UNESCO na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na hivi sasa ametishia kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC.

  • Umoja wa Mataifa wapatwa na wasiwasi kufuatia kugunduliwa makaburi ya umati Libya

    Umoja wa Mataifa wapatwa na wasiwasi kufuatia kugunduliwa makaburi ya umati Libya

    Jun 12, 2020 03:07

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini libya umeingiwa na wasiwasi mkubwa baada ya kugunduliwa makaburi ya umati magharibi mwa nchi hiyo.

  • UN yasisitiza ulazima wa kutatuliwa mgogoro wa Libya kwa njia za amani

    UN yasisitiza ulazima wa kutatuliwa mgogoro wa Libya kwa njia za amani

    Jun 09, 2020 03:04

    Uingiliaji kati wa nchi za kigeni katika mgogoro wa Libya umezidisha wasiwasi wa kimataifa kuhusu mgogoro huo. Katika mkondo huo Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusiana na hali ya Libya na umezitaka pande zote zinazohusika kuheshimu njia za kisiasa za kutatua mgogoro huo.

  • Ripoti ya UN: Wayemeni zaidi ya milioni 20 wanakabiliwa na hatari ya kupatwa na corona

    Ripoti ya UN: Wayemeni zaidi ya milioni 20 wanakabiliwa na hatari ya kupatwa na corona

    Jun 05, 2020 03:22

    Shirika la Programu na Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limetangaza kuwa, zaidi ya Wayemeni milioni 20 wanasumbuliwa na njaa ya muda mrefu na wamo katika hatari ya kupatwa na virusi vya corona.

  • UN yakanusha madai ya US kwamba inatumia corona kuhamasisha uaviaji mimba

    UN yakanusha madai ya US kwamba inatumia corona kuhamasisha uaviaji mimba

    May 22, 2020 03:27

    Umoja wa Mataifa umekanusha vikali madai ya Marekani kuwa taasisi hiyo ya kimataifa inatumia janga la corona kuhamasisha uaviaji mimba duniani.

  • Ombi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Ombi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    May 17, 2020 02:17

    Baada ya serikali ya Rais Donald Trump kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwaka 2018 katika fremu ya sera za mashinikizo ya juu kabisa na kisha kushadidisha vikwazo ambavyo havijawahi kushuhudiwa katika historia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na licha ya kuibuka ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran, lakini bado Trump anasisitiza kuendeleza vikwazo vyake vilivyo dhidi ya ubinadamu dhidi ya taifa hili.

  • Mwito wa UN wa kuanza tena mazungumzo ya amani Libya

    Mwito wa UN wa kuanza tena mazungumzo ya amani Libya

    May 04, 2020 01:52

    Mapigano nchini Libya yanaendelea katika hali ambayo Umoja wa Mataifa kwa muda mrefu sasa umekuwa ukihimiza kukomeshwa mapigano na kuunganishwa nguvu katika kukabiliana na ugonjwa hatari wa corona katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika iliyoiathiriwa vibaya na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

  • Msimamo wa Umoja wa Mataifa wa kukataa kuitambua serikali ya Libya aliyojitangazia Haftar

    Msimamo wa Umoja wa Mataifa wa kukataa kuitambua serikali ya Libya aliyojitangazia Haftar

    Apr 29, 2020 22:06

    Kufuatia hatua ya Jenerali muasi Khalifa Haftar ya kukiuka mapatano ya Skhirat na kujitangazia serikali nchini Libya, Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa unaitambua rasmi tu Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa (GNA) yenye makao yake Tripoli.

  • Msimamo mmoja wa dunia dhidi ya mpango wa utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani kwa mpango huo

    Msimamo mmoja wa dunia dhidi ya mpango wa utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani kwa mpango huo

    Apr 26, 2020 20:10

    Serikali ya Rais Donald Trump imekuwa ikichukua hatua zisizo za kawaida katika kuunga mkono utawala haramu wa Kizayuni ambapo kati ya hatua hizo ni kuafiki rasmi suala la kuunganishwa maeneo ya Ukingo wa Magharibi na maeneo mengine yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo bandia.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yapinga mpango wa EU wa kuzuia kuingizwa silaha nchini humo

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yapinga mpango wa EU wa kuzuia kuingizwa silaha nchini humo

    Apr 25, 2020 08:43

    Vita vya ndani nchini Libya vilivyoanza baada ya kung'olewa madarakati dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Muammar Gaddafi vimeshika mwelekeo unaotia wasiwasi mkubwa zaidi tangu Aprili mwaka jana 2019 kufuatilia mashambulizi ya wapiganaji wa linalojiita jeshi la taifa la Libya chini ya uongozi wa Khalifa Haftar, lengo likiwa ni kuudhibiti mji mkuu, Tripoli na kuing'oa madarakani Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS