Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC

    Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC

    Nov 24, 2019 23:22

    Jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimepinga uteuzi uliofanywa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na kumtangaza Ghada Wali, Waziri wa Ustawi za Jamii wa Misri kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Mihadarati na Jinai (UNODC).

  • Wanachama wa Baraza la Usalama waikosoa vikali Marekani

    Wanachama wa Baraza la Usalama waikosoa vikali Marekani

    Nov 22, 2019 23:08

    Rais Donald Trump wa Marekani amechukua msimamo wa kuunga mkono kwa hali na mali na bila ya masharti yoyote utawala haramu wa Israel na licha ya maazimio kadhaa ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa yanayopiga marufuku kuunganishwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo tokea mwaka 1967, ikiwemo miinuka ya Golan ya Syria, lakini bado serikali ya Washington inauchukulia ukaliaji mabavu huo wa utawala wa Kizayuni kuwa ni jambo halali na linaloruhusiwa.

  • UN: Nusu ya waathriwa wa vita vya Yemen ni wanawake na watoto

    UN: Nusu ya waathriwa wa vita vya Yemen ni wanawake na watoto

    Nov 21, 2019 00:11

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu nchini Yemen imetangaza kupitia taarifa kwamba, nusu ya waathiriwa wa vita vya nchi hiyo ni wanawake ni watoto.

  • UN: Watoto milioni 7 wapo kizuizini, Marekani yaongoza

    UN: Watoto milioni 7 wapo kizuizini, Marekani yaongoza

    Nov 20, 2019 04:09

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imebainisha kuwa, watoto zaidi ya milioni saba wanashikiliwa katika jela na vituo mbalimbali duniani, huku Marekani ikiongoza katika orodha hiyo.

  • Zarif: EU haijachukua hatua yoyote ya maana ya kulinda JCPOA

    Zarif: EU haijachukua hatua yoyote ya maana ya kulinda JCPOA

    Nov 12, 2019 04:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezikosoa nchi za Ulaya kwa kuakhirisha ahadi zao na kufeli kufungamana na mapatano ya nyuklia ya JCPOA, huku zikiitaka Tehran ifungamane kikamilifu na makubaliano hayo.

  • UN yakaribisha kuongezwa muda wa kipindi cha mpito Sudan Kusini

    UN yakaribisha kuongezwa muda wa kipindi cha mpito Sudan Kusini

    Nov 12, 2019 04:31

    Umoja wa Mataifa umekaribisha uamuzi wa Shirika la Kiserikali la Ustawi wa nchi za Mashariki mwa Afrika (IGAD) wa kurefusha kwa siku 100 kipindi cha mpito nchini Sudan Kusini.

  • Gambia yafungua faili la mauaji ya Warohingya katika mahakama ya ICJ

    Gambia yafungua faili la mauaji ya Warohingya katika mahakama ya ICJ

    Nov 11, 2019 08:05

    Gambia imewasilisha faili la kesi ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Warohingya katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ).

  • Pande zote nchini Yemen zatakiwa kuheshimu makubaliano ya Stockholm

    Pande zote nchini Yemen zatakiwa kuheshimu makubaliano ya Stockholm

    Nov 10, 2019 08:44

    Mkuu wa Timu ya Wasimamizi wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen amesisitizia udharura wa pande zote nchini Yemen kuheshimu makubaliano ya Stockholm, Sweden.

  • UN: Imarati, Sudan na Jordan ziliwapa wapiganaji wa Haftar silaha

    UN: Imarati, Sudan na Jordan ziliwapa wapiganaji wa Haftar silaha

    Nov 10, 2019 04:01

    Rasimu ya ripoti ya Umoja wa Mataifa imefichua kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu, Sudan na Jordan zimekiuka vikwazo vya silaha vya umoja huo kwa kulipa silaha kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya linaloongozwa na Jenerali mstaafu Khalifa Haftar.

  • Imarati yatuhumiwa kuhusika na shambulizi la anga lililoua wahajiri 53 Libya

    Imarati yatuhumiwa kuhusika na shambulizi la anga lililoua wahajiri 53 Libya

    Nov 06, 2019 21:43

    Nyaraka za siri za Umoja wa Mataifa zinaonesha kuwa, ndege ya kivita ya nchi ajinabi ndiyo iliyotekeleza shambulizi la anga lililolenga kituo cha kuwazuilia wahajiri haramu mashariki mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli na kuua makumi miongoni mwao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS