-
Mjumbe wa UN apongeza misimamo ya Hamas kuhusu uchaguzi
Nov 05, 2019 11:00Mratibu Maalumu wa Amani wa Umoja wa Mataifa katika kanda ya Mashariki ya Kati amepongeza misimamo ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) kuhusu suala la kuitishwa uchaguzi mkuu huko Palestina.
-
UN: Rasimu ya katiba mpya ya Syria kuanza kuandikwa Jumatatu
Nov 03, 2019 04:27Umoja wa Mataifa umesema Kamati ya Katiba ya Syria itaanza kuandika rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo ya Kiarabu kesho Jumatatu.
-
UN: Majiji yanatumia thuluthi mbili ya nishati yote duniani
Oct 31, 2019 21:47Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema thuluthi mbili ya nishati yote duniani inatumika katika majiji, na hivyo kuzalisha asilimia 70 ya gesi hatari ya carbon dioxide.
-
Ansarullah: Chaguo la kijeshi haliwezi kuleta amani Yemen na katika eneo
Oct 29, 2019 03:51Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameonya kuhusu uvamizi na mashambulizi yanayofanywa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa, chaguo la kijeshi katu haliwezi kurejesha amani nchini Yemen na katika eneo.
-
Katibu Mkuu wa UN azitaka serikali zishughulikie matakwa ya wananchi wao
Oct 26, 2019 04:12Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuachwa vitendo vya utumiaji mabavu na machafuko katika mikusanyiko na maandamano, na kuzitaka serikali ziyashughulikie matatizo halisi waliyonayo wananachi wao.
-
UN: Rwanda imewapokea wakimbizi 189 kutoka Libya
Oct 12, 2019 04:27Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, Rwanda imewapokea wakimbizi 189 kutoka Libya kufikia sasa.
-
Kukosolewa ukwamishaji wa Marekani wa safari za wawakilishi wa nchi mbalimbali kuelekea Umoja wa Mataifa
Oct 10, 2019 03:02Kwa kuzingatia kuwa, makao makuu ya Umoja wa Mataifa yapo mjini New York, siku zote Marekani imekuwa ikilitumia suala la kutoa visa kwa jumbe na washiriki wa mikutano na vikao vya Umoja wa Mataifa kama wenzo wa kuzishinikiza nchi zinazoipinga na zisizokubaliana na siasa zake.
-
UN: Myanmar sio salama kwa Waislamu Warohingya kurejea
Oct 05, 2019 08:53Mchunguzi huru wa Umoja wa Mataifa kuhusu Myanmar amesema mamia ya maelfu ya Waislamu wa jamii ya Rohingya waliorejea mkoani Rakhine wakitokea Bangladesh wanakandamizwa na kuandamwa na kila aina ya dhuluma na kwa msingi huo, Myanmar sio salama kwa Warohingya zaidi kurejea.
-
Ukosoaji mkali wa Sergey Lavrov kuhusiana na miamala haribifu ya Marekani dhidi ya mapatano ya JCPO na Ghuba ya Uajemi
Sep 29, 2019 23:06Hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana na kisha kuiwekea Iran vikwazo vikali ambavyo vilikuwa havijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, na baada ya hapo kuzidisha uwepo wake wa kijeshi katika Ghuba ya Uajemi ambao umeshadidisha mizozo katika eneo hilo la kistratijia, ni mambo ambayo yameizidishia wasi wasi serikali ya Russia.
-
Rais Rouhani akosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusu ugaidi wa kiuchumi Marekani dhidi ya Iran
Sep 26, 2019 01:24Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na kukosoa kimya cha umoja huo mbele ya ugaidi wa kiuchumi wa serikali ya Marekani dhidi ya taifa la Iran.