Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Mjumbe wa UN apongeza misimamo ya Hamas kuhusu uchaguzi

    Mjumbe wa UN apongeza misimamo ya Hamas kuhusu uchaguzi

    Nov 05, 2019 11:00

    Mratibu Maalumu wa Amani wa Umoja wa Mataifa katika kanda ya Mashariki ya Kati amepongeza misimamo ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) kuhusu suala la kuitishwa uchaguzi mkuu huko Palestina.

  • UN: Rasimu ya katiba mpya ya Syria kuanza kuandikwa Jumatatu

    UN: Rasimu ya katiba mpya ya Syria kuanza kuandikwa Jumatatu

    Nov 03, 2019 04:27

    Umoja wa Mataifa umesema Kamati ya Katiba ya Syria itaanza kuandika rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo ya Kiarabu kesho Jumatatu.

  • UN: Majiji yanatumia thuluthi mbili ya nishati yote duniani

    UN: Majiji yanatumia thuluthi mbili ya nishati yote duniani

    Oct 31, 2019 21:47

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema thuluthi mbili ya nishati yote duniani inatumika katika majiji, na hivyo kuzalisha asilimia 70 ya gesi hatari ya carbon dioxide.

  • Ansarullah: Chaguo la kijeshi haliwezi kuleta amani Yemen na katika eneo

    Ansarullah: Chaguo la kijeshi haliwezi kuleta amani Yemen na katika eneo

    Oct 29, 2019 03:51

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameonya kuhusu uvamizi na mashambulizi yanayofanywa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa, chaguo la kijeshi katu haliwezi kurejesha amani nchini Yemen na katika eneo.

  • Katibu Mkuu wa UN azitaka serikali zishughulikie matakwa ya wananchi wao

    Katibu Mkuu wa UN azitaka serikali zishughulikie matakwa ya wananchi wao

    Oct 26, 2019 04:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuachwa vitendo vya utumiaji mabavu na machafuko katika mikusanyiko na maandamano, na kuzitaka serikali ziyashughulikie matatizo halisi waliyonayo wananachi wao.

  • UN: Rwanda imewapokea wakimbizi 189 kutoka Libya

    UN: Rwanda imewapokea wakimbizi 189 kutoka Libya

    Oct 12, 2019 04:27

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, Rwanda imewapokea wakimbizi 189 kutoka Libya kufikia sasa.

  • Kukosolewa ukwamishaji wa Marekani wa safari za wawakilishi wa nchi mbalimbali kuelekea Umoja wa Mataifa

    Kukosolewa ukwamishaji wa Marekani wa safari za wawakilishi wa nchi mbalimbali kuelekea Umoja wa Mataifa

    Oct 10, 2019 03:02

    Kwa kuzingatia kuwa, makao makuu ya Umoja wa Mataifa yapo mjini New York, siku zote Marekani imekuwa ikilitumia suala la kutoa visa kwa jumbe na washiriki wa mikutano na vikao vya Umoja wa Mataifa kama wenzo wa kuzishinikiza nchi zinazoipinga na zisizokubaliana na siasa zake.

  • UN: Myanmar sio salama kwa Waislamu Warohingya kurejea

    UN: Myanmar sio salama kwa Waislamu Warohingya kurejea

    Oct 05, 2019 08:53

    Mchunguzi huru wa Umoja wa Mataifa kuhusu Myanmar amesema mamia ya maelfu ya Waislamu wa jamii ya Rohingya waliorejea mkoani Rakhine wakitokea Bangladesh wanakandamizwa na kuandamwa na kila aina ya dhuluma na kwa msingi huo, Myanmar sio salama kwa Warohingya zaidi kurejea.

  • Ukosoaji mkali wa Sergey Lavrov kuhusiana na miamala haribifu ya Marekani dhidi ya mapatano ya JCPO na Ghuba ya Uajemi

    Ukosoaji mkali wa Sergey Lavrov kuhusiana na miamala haribifu ya Marekani dhidi ya mapatano ya JCPO na Ghuba ya Uajemi

    Sep 29, 2019 23:06

    Hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana na kisha kuiwekea Iran vikwazo vikali ambavyo vilikuwa havijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, na baada ya hapo kuzidisha uwepo wake wa kijeshi katika Ghuba ya Uajemi ambao umeshadidisha mizozo katika eneo hilo la kistratijia, ni mambo ambayo yameizidishia wasi wasi serikali ya Russia.

  • Rais Rouhani akosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusu ugaidi wa kiuchumi Marekani dhidi ya Iran

    Rais Rouhani akosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusu ugaidi wa kiuchumi Marekani dhidi ya Iran

    Sep 26, 2019 01:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na kukosoa kimya cha umoja huo mbele ya ugaidi wa kiuchumi wa serikali ya Marekani dhidi ya taifa la Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS