-
Katibu Mkuu wa UN awasili Congo DR kujadili njia za kukabiliana na Ebola + Sauti
Aug 31, 2019 08:48Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili katika mji wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wa Goma kwa shabaha ya kutathmini na kuchunguza njia za kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola.
-
UN: Wakimbizi wa Rohingya wapewe uhuru wa kurejea Myanmar kwa hiari yao
Aug 22, 2019 21:55Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kurejea wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar kunapaswa kufanyika kwa hiari yao wenyewe na bila ya kulazimishwa.
-
Makumi wauawa na mamia wajeruhiwa katika mapigano kusini mwa Yemen
Aug 11, 2019 10:17Ofisi ya Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen imetangaza kuwa, makumi ya watu wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa kwenye mapigano ya karibuni katika mji wa Aden kusini mwa nchi hiyo.
-
UN: Kila wiki mbili, lugha moja ya asili inapotea duniani
Aug 10, 2019 03:14Uchunguzi wa Umoja wa Mataifa umebaini kuwa, kila wiki mbili, lugha moja ya asili hupotea.
-
Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mapigano huko Libya
Aug 09, 2019 07:39Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya umetoa wito wa kusitishwa mapigano kwa sababu za kibinadamu huko Tripoli mji mkuu wa Libya.
-
Umoja wa Mataifa: Vita vimeirejesha nyuma Yemen miaka 20
Jul 31, 2019 03:49Mkurugenzi wa Ustawi wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa vita vya uharibifu huko Yemen vimeirejesha nchi hiyo miaka 20 nyuma katika upande wa ustawi na kupatikana huduma za kielimu na mafunzo.
-
UN: Magaidi elfu 30 wa kundi la Daesh wangali hai
Jul 30, 2019 06:34Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh elfu 30 wangali hai.
-
Russia yawasilisha mpango wa usalama wa Ghuba ya Uajemi kwa Umoja wa Mataifa
Jul 30, 2019 06:24Uwepo wa kijeshi wa nchi za kigeni katika eneo la Ghuba ya Uajemi na taathira zake mbaya ambazo zimepelekea kuongezeka mivutano ya kisiasa na kijeshi katika eneo, umeipelekea Russia kuwasilisha mpango wa usalama wa eneo hili la kistratijia kwa Umoja wa Mataifa.
-
Ansarullah ya Yemen: Marekani na Umoja wa Mataifa zinachangia jinai za Saudi Arabia
Jul 30, 2019 02:46Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza kuwa, serikali ya Marekani na Umoja wa Mataifa zinabeba jukumu la jinai zinazofanywa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.
-
Al-Sarraj na UN wasisitiza udharura wa kuanza tena mchakato wa kisiasa Libya
Jul 28, 2019 23:48Waziri Mkuu wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya na mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya wametilia mkazo udharura wa kuanzishwa tena mchakato wa kisiasa nchini humo.