Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Katibu Mkuu wa UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina si halali kisheria

    Katibu Mkuu wa UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina si halali kisheria

    Jul 26, 2019 02:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, anatiwa wasiwasi na ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na utawala wa Kizayuni na kusisitiza kuwa, sera za Israel za kuharibu na kuteketeza mali za Wapalestina haziendani na sheria za kimataifa.

  • UN yakosoa vizingiti vya utawala wa Trump dhidi ya Zarif

    UN yakosoa vizingiti vya utawala wa Trump dhidi ya Zarif

    Jul 16, 2019 03:19

    Umoja wa Mataifa umekosoa vikali hatua ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani ya kumwekea vizingiti Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif.

  • UN: Watu milioni 821 wanakabiliwa na njaa duniani

    UN: Watu milioni 821 wanakabiliwa na njaa duniani

    Jul 16, 2019 02:48

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya milioni 821 katika pembe mbalimbali za dunia wanakabiliwa na baa la njaa; mwaka jana 2018 ukiwa mwaka wa tatu mfululizo kwa idadi hiyo kuongezeka kwa kiwango cha kutisha.

  • Hofu ya UN kuhusu kushtadi migogoro katika majimbo ya Somalia

    Hofu ya UN kuhusu kushtadi migogoro katika majimbo ya Somalia

    Jul 09, 2019 03:52

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake kuhusu kuongezeka migogoro na mivutano baina ya majimbo yenye mamlaka ya ndani nchini Somalia kwa upande mmoja, na majimbo hayo na serikali kuu ya Mogadishu kwa upande mwingine.

  • Jeshi la Sudan Kusini lakanusha madai ya UN kuwa limeua raia

    Jeshi la Sudan Kusini lakanusha madai ya UN kuwa limeua raia

    Jul 04, 2019 21:56

    Jeshi la Sudan Kusini limekanusha vikali madai ya Umoja wa Mataifa kwamba limeua makumi ya raia wa nchi hiyo katika eneo la Central Equatoria.

  • Marekani yakwamisha azimio la Baraza la Usalama kuhusu mauaji ya wahajiri Libya

    Marekani yakwamisha azimio la Baraza la Usalama kuhusu mauaji ya wahajiri Libya

    Jul 04, 2019 03:02

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilimaliza kikao chake cha faragha jana jioni kwa wakati wa New York kuhusiana na Libya bila ya kuafikiana mwafaka kuhusu shambulizi la anga lililolenga makazi ya wahajiri katika eneo la Tajoura huko mashariki mwa Tripoli ambalo limeua wakimbizi 60 na kujeruhi wengine zaidi ya 130.

  • UN: Mkutano ujao wa G20 usifanyike Saudia kutokana na mauaji ya Khashoggi

    UN: Mkutano ujao wa G20 usifanyike Saudia kutokana na mauaji ya Khashoggi

    Jul 03, 2019 03:06

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa ameyataka madola yenye nguvu kuangalia upya suala la Saudi Arabia kuwa mwenyeji wa mkutano ujao wa Kundi G20.

  • Lavrov na afisa wa UN wasisitiza ulazima wa kuhitimishwa mzozo wa Yemen

    Lavrov na afisa wa UN wasisitiza ulazima wa kuhitimishwa mzozo wa Yemen

    Jul 02, 2019 07:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen wamesisitiza ulazima wa kufanyika juhudi ili kuhitimisha hali ya mgogoro huko Yemen..

  • Syria yaushtaki utawala wa Kizayuni wa Israel Umoja wa Mataifa

    Syria yaushtaki utawala wa Kizayuni wa Israel Umoja wa Mataifa

    Jul 02, 2019 03:14

    Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Baraza la Usalama la Umoja huo ikilaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi hiyo na kusema uchokozi huo ni sehemu ya njama za Tel Aviv za kutaka kurefusha mgogoro nchini Syria.

  • Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu UN: Muamala wa Karne utashindwa na kugonga ukuta

    Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu UN: Muamala wa Karne utashindwa na kugonga ukuta

    Jun 29, 2019 23:46

    Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema kuwa, mpango wa Kimarekani-Kizayuni wa "Muamala wa Karne" utashindwa na kugonga ukuta.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS