Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Watoto 7500 wa Kiyemeni wameuawa au kupata ulemavu

    UN: Watoto 7500 wa Kiyemeni wameuawa au kupata ulemavu

    Jun 29, 2019 12:33

    Umoja wa Mataifa umeashiria hali mbaya ya kibinadamu inayoikabili Yemen hivi sasa na kueleza kuwa watoto zaidi ya 7,500 wameuawa au kujeruhiwa nchini humo.

  • UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi

    UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi

    Jun 24, 2019 22:47

    Kamishna Mkuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amewataka wanajeshi wa Sudan waache mara moja kuwakandamiza raia.

  • Katibu Mkuu wa UN: Iran ingali imefungamana na JCPOA

    Katibu Mkuu wa UN: Iran ingali imefungamana na JCPOA

    Jun 21, 2019 06:59

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • UN: Vita vimewafanya watu milioni 71 duniani kuwa wakimbizi

    UN: Vita vimewafanya watu milioni 71 duniani kuwa wakimbizi

    Jun 19, 2019 03:09

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema takriban watu milioni 71 wamelazimika kuwa wakimbizi kutokana na vita na mapigano katika kona mbalimbali za dunia.

  • Mtaalamu wa UN aondoka Comoro baada ya kuzuiwa kufanya kazi

    Mtaalamu wa UN aondoka Comoro baada ya kuzuiwa kufanya kazi

    Jun 18, 2019 22:09

    Mtaalamu maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu utesaji, Nils Melzer, amesitisha ziara yake aliyokuwa afanye Comoro, baada ya kukumbwa na vizuizi kadhaa.

  • UN: Raia 42 wameuawa katika mapigano nchini Libya

    UN: Raia 42 wameuawa katika mapigano nchini Libya

    Jun 15, 2019 08:01

    Umoja wa Mataifa umesema mapigano baina ya vikosi vya kamanda muasi wa Libya, Jenerali Khalifa Haftar na Fayez al-Sarraj, Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoungwa mkono na jamii ya kimataifa katika mji mkuu Tripoli yamesababisha vifo vya raia 42, huku wengine zaidi ya 120 wakijeruhiwa.

  • Guterres ataka uchunguzi huru wa kushambuliwa meli za mafuta Bahari ya Oman

    Guterres ataka uchunguzi huru wa kushambuliwa meli za mafuta Bahari ya Oman

    Jun 15, 2019 03:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa tukio la kushabuliwa meli za mafuta katika Bahari ya Oman.

  • UN: 60% ya wananchi wa Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa

    UN: 60% ya wananchi wa Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa

    Jun 15, 2019 03:28

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema jumla ya watu milioni 7 sawa na asilimia 60 ya jamii nzima ya Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa.

  • UN: Idadi ya waliouawa Darfur nchini Sudan ni watu 17

    UN: Idadi ya waliouawa Darfur nchini Sudan ni watu 17

    Jun 13, 2019 21:58

    Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa kwa akali watu 17 wameuawa katika kijiji cha Deleij katikati mwa jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan.

  • Tunisia na Niger zachaguliwa kuwa wanachama wa Baraza la Usalama

    Tunisia na Niger zachaguliwa kuwa wanachama wa Baraza la Usalama

    Jun 08, 2019 02:26

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Ijumaa lilizichagua nchi tano wanachama wa umoja huo kuwa wanachama wasio wa kudumu kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuanzia mwezi Januari mwakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS