-
UN: Watoto 7500 wa Kiyemeni wameuawa au kupata ulemavu
Jun 29, 2019 12:33Umoja wa Mataifa umeashiria hali mbaya ya kibinadamu inayoikabili Yemen hivi sasa na kueleza kuwa watoto zaidi ya 7,500 wameuawa au kujeruhiwa nchini humo.
-
UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi
Jun 24, 2019 22:47Kamishna Mkuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amewataka wanajeshi wa Sudan waache mara moja kuwakandamiza raia.
-
Katibu Mkuu wa UN: Iran ingali imefungamana na JCPOA
Jun 21, 2019 06:59Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
UN: Vita vimewafanya watu milioni 71 duniani kuwa wakimbizi
Jun 19, 2019 03:09Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema takriban watu milioni 71 wamelazimika kuwa wakimbizi kutokana na vita na mapigano katika kona mbalimbali za dunia.
-
Mtaalamu wa UN aondoka Comoro baada ya kuzuiwa kufanya kazi
Jun 18, 2019 22:09Mtaalamu maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu utesaji, Nils Melzer, amesitisha ziara yake aliyokuwa afanye Comoro, baada ya kukumbwa na vizuizi kadhaa.
-
UN: Raia 42 wameuawa katika mapigano nchini Libya
Jun 15, 2019 08:01Umoja wa Mataifa umesema mapigano baina ya vikosi vya kamanda muasi wa Libya, Jenerali Khalifa Haftar na Fayez al-Sarraj, Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoungwa mkono na jamii ya kimataifa katika mji mkuu Tripoli yamesababisha vifo vya raia 42, huku wengine zaidi ya 120 wakijeruhiwa.
-
Guterres ataka uchunguzi huru wa kushambuliwa meli za mafuta Bahari ya Oman
Jun 15, 2019 03:45Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa tukio la kushabuliwa meli za mafuta katika Bahari ya Oman.
-
UN: 60% ya wananchi wa Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa
Jun 15, 2019 03:28Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema jumla ya watu milioni 7 sawa na asilimia 60 ya jamii nzima ya Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa.
-
UN: Idadi ya waliouawa Darfur nchini Sudan ni watu 17
Jun 13, 2019 21:58Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa kwa akali watu 17 wameuawa katika kijiji cha Deleij katikati mwa jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan.
-
Tunisia na Niger zachaguliwa kuwa wanachama wa Baraza la Usalama
Jun 08, 2019 02:26Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Ijumaa lilizichagua nchi tano wanachama wa umoja huo kuwa wanachama wasio wa kudumu kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuanzia mwezi Januari mwakani.