Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yapuuzilia mbali mkutano wa Manama wa kujadili mpango wa

    UN yapuuzilia mbali mkutano wa Manama wa kujadili mpango wa "Muamala wa Karne"

    May 31, 2019 03:43

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa hautashiriki katika mkutano wa Kiuchumi uliopangwa kufanyika Manama mji mkuu wa Bahrain khususan kujadili mpango kwa jina la "Muamala wa Karne."

  • Onyo la Umoja wa Mataifa kuhusu hatari ya kutumika silaha za nyuklia

    Onyo la Umoja wa Mataifa kuhusu hatari ya kutumika silaha za nyuklia

    May 24, 2019 02:35

    Kuwepo maghala ya silaha hatari za nyuklia katika pembe tofauti za dunia, kuongezwa na kuimarishwa silaha hizo na vilevile kujiunga nchi mpya na kundi la nchi zinazomiliki silaha hizo ni jambo linalohatarisha amani na uslama wa dunia.

  • UN  yamteua afisa  kupambana na Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    UN yamteua afisa kupambana na Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    May 23, 2019 06:47

    Umoja wa Mataifa umemteuwa Mratibu wa Hatua za Dharura za Kukabiliana na Maradhi ya Ebola ambaye atasaidia kuimarisha jitihada za kukomesha kuenea maradhi ya Ebola yaliyodumu kwa miezi kumi sasa huko Kongo DRC na kuua watu zaidi ya 1,200.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali inavyozidi kuwa mbaya nchini Libya

    Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali inavyozidi kuwa mbaya nchini Libya

    May 23, 2019 03:43

    Kuendelea vita nchini Libya kumezidisha machafuko na mgogoro katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kiasi kwamba Ghassan Salamé, mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema katika ripoti yake ya hivi karibuni kabisa kwamba, hatoi tahadhari kuhusu kutokea vita vya ndani na vya umwagaji damu tu, bali anatoa onyo la kusambaratika vipande vipande Libya.

  • Libya katika ncha ya kutumbukia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe

    Libya katika ncha ya kutumbukia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe

    May 22, 2019 03:26

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ameonya kuwa, taifa hilo lenye utajiri wa mafuta liko katika ncha ya kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe ambavyo vitaigawa nchi hiyo mapande mapande.

  • UN: Kuna uwezekano mkubwa wakati huu wa kutumika silaha za nyuklia

    UN: Kuna uwezekano mkubwa wakati huu wa kutumika silaha za nyuklia

    May 22, 2019 02:00

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Utafiti wa Upokonyaji Silaha UNIDIR amesema hatari na uwezekano wa kutumika silaha za nyuklia duniani hii leo uko juu kuliko wakati mwingine wowote ule.

  • UN: Somalia imepiga hatua, lakini ipambane na ugaidi na ufisadi

    UN: Somalia imepiga hatua, lakini ipambane na ugaidi na ufisadi

    May 21, 2019 23:09

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema Somalia imepiga hatua kuelekea katika uundwaji wa dola thabiti, lakini bado ina kibarua cha kupambana na ugaidi, misimamo mikali ya kuchupa mipaka na ufisadi.

  • UN yaitaka dunia isitishe uhusiano wa kifedha na jeshi la Myanmar

    UN yaitaka dunia isitishe uhusiano wa kifedha na jeshi la Myanmar

    May 14, 2019 07:12

    Timu ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imezitaka nchi za dunia kusitisha miamala ya kifedha na jeshi la Myanmar linaloendelea kuua Waislamu wa jamii ya Rohingya katika mkoa wa Rakhine.

  • Guterres akutana na waathiriwa wa shambulizi la kigaidi la New Zealand

    Guterres akutana na waathiriwa wa shambulizi la kigaidi la New Zealand

    May 14, 2019 03:19

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametadharisha kuwa, matamshi ya chuki na kibaguzi yanaenea kwa kasi ya kutisha mitandaoni, na kusisitiza kuwa UN itaongoza jitihada za kupambana na tatizo hilo.

  • UN: Wapalestina 1,700 wa Gaza katika hatari ya kukatwa miguu

    UN: Wapalestina 1,700 wa Gaza katika hatari ya kukatwa miguu

    May 09, 2019 08:03

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeeleza wasiwasi mkubwa ilionao kutokana na kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, na kubainisha kuwa mamia ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wako katika hatari ya kusababishiwa ulemavu wa maisha kutokana na majeraha ya risasi za jeshi katili la utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS