Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Yumkini Imarati imehusika katika mashambulizi ya Libya

    UN: Yumkini Imarati imehusika katika mashambulizi ya Libya

    May 07, 2019 03:26

    Jopo la Wataalamu wa Umoja wa Mataifa linatathmini mashambulizi ya makombora dhidi ya mji mkuu wa Libya, Tripoli, sanjari na kuchunguza uwezekano wa kutumika ndege zisizo na rubani 'drone' za Umoja wa Falme za Kiarabu katika hujuma hizo.

  • UN yatoa mwito wa kusitishwa mapigano kwa muda nchini Libya

    UN yatoa mwito wa kusitishwa mapigano kwa muda nchini Libya

    May 06, 2019 06:40

    Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Libya UNSMIL kimezitaka pande husika kusitisha mapigano kwa muda wa wiki moja kuanzia leo Jumatatu, katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Iran yakosoa sera haribifu za Marekani katika kuzuia utekelezwaji wa azimio nambari 2231

    Iran yakosoa sera haribifu za Marekani katika kuzuia utekelezwaji wa azimio nambari 2231

    May 02, 2019 02:23

    Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa umekosoa sera za Marekani za kuzuia utekelezwaji wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama na kuzitaja sera hizo kuwa haribifu na kusisitiza kwamba azimio hilo halijaweka kizuizi katika mpango wa kawaida wa makombora ya Iran.

  • Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kuharibika kwa hali ya kibinadamu Libya

    Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kuharibika kwa hali ya kibinadamu Libya

    Apr 29, 2019 09:28

    Naibu Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ameelezea wasiwasi wake kuhusiana na kuendelea kuharibika kwa hali ya nchi hiyo na kusema kuwa huenda hali ya kibinadamu katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, ikaharibika zaidi.

  • Malalamiko ya pamoja ya nchi za dunia dhidi ya siasa za vikwazo za Marekani

    Malalamiko ya pamoja ya nchi za dunia dhidi ya siasa za vikwazo za Marekani

    Apr 17, 2019 01:45

    Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za kibeberu, hivi sasa Washington imeongeza kasi kubwa ya kuziwekea vikwazo vya kiholela nchi mbalimbali duniani.

  • Mjumbe wa UN Libya: Harakati za Khalifa Haftar ni za kimapinduzi

    Mjumbe wa UN Libya: Harakati za Khalifa Haftar ni za kimapinduzi

    Apr 16, 2019 09:48

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amesema mienendo na harakati zinazofanywa na Jenerali Khalifa Haftar na vikosi vyake ni za kimapinduzi na wala hazifanani na harakati za kupambana na ugaidi kama anavyodai yeye.

  • Iran kushirikiana na Umoja wa Mataifa katika anga za mbali

    Iran kushirikiana na Umoja wa Mataifa katika anga za mbali

    Apr 13, 2019 22:03

    Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano nchini Iran Mohammad-Javad Azari Jahromi amekutana na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya Anga za Mbali UNOOSA Simonetta Di Pippo ambapo wamejadili masuala mbali mbali ikiw ani pamoja na njia za kukabiuliana na maafa ya kimaumbile na ushirikino katika suala la anga za mbali.

  • Jeshi la Sudan lasema halitamkabidhi Omar al-Bashir kwa ICC

    Jeshi la Sudan lasema halitamkabidhi Omar al-Bashir kwa ICC

    Apr 12, 2019 20:46

    Baraza la Kijeshi la Mpito linaloshikilia hatamu za uongozi nchini Sudan limepuuzilia mbali mwito wa kumkabidhi Omar al-Bashir kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, likisisitiza kuwa yumkini rais huyo aliyeng'olewa madarakani akafunguliwa mashitaka nchini humo.

  • UN: Watu 56 wameuawa katika mapigano yanayoendelea Libya

    UN: Watu 56 wameuawa katika mapigano yanayoendelea Libya

    Apr 11, 2019 09:28

    Umoja wa Mataifa umesema mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya yamesababisha watu 56 kupoteza maisha kufikia sasa.

  • Guterres: Kuna haja ya kuunganishwa taasisi za Libya kabla ya uchaguzi

    Guterres: Kuna haja ya kuunganishwa taasisi za Libya kabla ya uchaguzi

    Apr 04, 2019 03:29

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitembelea Libya siku chache kabla ya kufanyika kongamano la kitaifa la kuandaa mazingira ya kufanyika uchaguzi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS