Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yataka misaada ya kibinadamu iondolewe katika vikwazo dhidi ya Iran

    UN yataka misaada ya kibinadamu iondolewe katika vikwazo dhidi ya Iran

    Apr 03, 2019 10:25

    Mkuu wa Ofisi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kueleza kusikitishwa kwake na taathira hasi za mafuriko yaliyoua makumi ya watu nchini Iran, ametoa mwito wa kuondolewa misaada ya kibinadamu katika orodha ya vikwazo dhidi ya taifa hili.

  • Rais Michel Aoun: Umoja wa Mataifa ukatazeni utawala wa Kizayuni uache kuichokoza Lebanon

    Rais Michel Aoun: Umoja wa Mataifa ukatazeni utawala wa Kizayuni uache kuichokoza Lebanon

    Mar 31, 2019 22:24

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ameutaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kivitendo kukomesha uchokozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa kukiuka mipaka ya angani na majini ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Guterres ataka kuharakishwa utekelezwaji wa makubaliano ya amani CAR

    Guterres ataka kuharakishwa utekelezwaji wa makubaliano ya amani CAR

    Mar 24, 2019 03:29

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa pande zote husika kutekeleza kwa haraka mapatano ya amani ya Jamhuri ya Afrika ya Kati yaliyotiwa saini katika mji mkuu wa nchi hiyo Bangui, siku moja baada ya kuundwa serikali mpya inayoyajumuisha makundi ya wabeba silaha.

  • UN: DRC inahitaji dola bilioni 1.6 kwa ajili ya misaada ya kibinadamu

    UN: DRC inahitaji dola bilioni 1.6 kwa ajili ya misaada ya kibinadamu

    Mar 21, 2019 20:47

    Umoja wa Mataifa umesema unahitaji msaada wa dola bilioni 1.65 za Marekani kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya msingi na ya kibinadamu ya watu milioni 9 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, walioathiriwa na mapigano.

  • UN na EU zaalikwa mkutano wa OIC wa kujadili chuki dhidi ya Uislamu

    UN na EU zaalikwa mkutano wa OIC wa kujadili chuki dhidi ya Uislamu

    Mar 21, 2019 11:27

    Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Usalama na Ushirikiano wa Ulaya zimealikwa kushiriki kikao cha dharura cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kitakachofanyika mjini Istanbul huko Uturuki kesho Ijumaa.

  • Guterres: Kuna udharura wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu duniani

    Guterres: Kuna udharura wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu duniani

    Mar 16, 2019 01:15

    Katibu MKuu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kulaani mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini New Zealand jana Ijumaa na kuua makumi ya watu, ametoa mwito wa kuundwa mikakati ya kupambana na chuki dhidi Uislamu zinazoenea kwa kasi katika maeneo mbalimbali ya dunia.

  • Burundi yakosoa vikali ripoti ya haki za binadamu ya UN+SAUTI

    Burundi yakosoa vikali ripoti ya haki za binadamu ya UN+SAUTI

    Mar 14, 2019 12:26

    Serikali ya Burundi imekosoa vikali ripoti mpya iliyotolewa na Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, iliyobaini kuendelea kwa ukiukaji wa haki za binadamu nchini humo.

  • UN: Kimbunga na mafuriko yameua watu 10 Msumbiji

    UN: Kimbunga na mafuriko yameua watu 10 Msumbiji

    Mar 12, 2019 04:10

    Kwa akali watu 10 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Msumbiji.

  • UN yatafakari kupunguza askari wake wa kulinda amani DRC

    UN yatafakari kupunguza askari wake wa kulinda amani DRC

    Mar 08, 2019 00:06

    Huenda idadi ya askari wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO ikapunguzwa.

  • UN yaiokosoa Israel kwa kupinga ripoti ya mauaji ya Wapalestina Gaza

    UN yaiokosoa Israel kwa kupinga ripoti ya mauaji ya Wapalestina Gaza

    Mar 06, 2019 23:23

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Israel kupinga ripoti ya wataalamu wa umoja huo kuhusu mauaji ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza yaliyofanywa na askari katili wa utawala huo haramu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS