-
UN yataka misaada ya kibinadamu iondolewe katika vikwazo dhidi ya Iran
Apr 03, 2019 10:25Mkuu wa Ofisi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kueleza kusikitishwa kwake na taathira hasi za mafuriko yaliyoua makumi ya watu nchini Iran, ametoa mwito wa kuondolewa misaada ya kibinadamu katika orodha ya vikwazo dhidi ya taifa hili.
-
Rais Michel Aoun: Umoja wa Mataifa ukatazeni utawala wa Kizayuni uache kuichokoza Lebanon
Mar 31, 2019 22:24Rais Michel Aoun wa Lebanon ameutaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kivitendo kukomesha uchokozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa kukiuka mipaka ya angani na majini ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Guterres ataka kuharakishwa utekelezwaji wa makubaliano ya amani CAR
Mar 24, 2019 03:29Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa pande zote husika kutekeleza kwa haraka mapatano ya amani ya Jamhuri ya Afrika ya Kati yaliyotiwa saini katika mji mkuu wa nchi hiyo Bangui, siku moja baada ya kuundwa serikali mpya inayoyajumuisha makundi ya wabeba silaha.
-
UN: DRC inahitaji dola bilioni 1.6 kwa ajili ya misaada ya kibinadamu
Mar 21, 2019 20:47Umoja wa Mataifa umesema unahitaji msaada wa dola bilioni 1.65 za Marekani kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya msingi na ya kibinadamu ya watu milioni 9 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, walioathiriwa na mapigano.
-
UN na EU zaalikwa mkutano wa OIC wa kujadili chuki dhidi ya Uislamu
Mar 21, 2019 11:27Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Usalama na Ushirikiano wa Ulaya zimealikwa kushiriki kikao cha dharura cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kitakachofanyika mjini Istanbul huko Uturuki kesho Ijumaa.
-
Guterres: Kuna udharura wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu duniani
Mar 16, 2019 01:15Katibu MKuu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kulaani mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini New Zealand jana Ijumaa na kuua makumi ya watu, ametoa mwito wa kuundwa mikakati ya kupambana na chuki dhidi Uislamu zinazoenea kwa kasi katika maeneo mbalimbali ya dunia.
-
Burundi yakosoa vikali ripoti ya haki za binadamu ya UN+SAUTI
Mar 14, 2019 12:26Serikali ya Burundi imekosoa vikali ripoti mpya iliyotolewa na Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, iliyobaini kuendelea kwa ukiukaji wa haki za binadamu nchini humo.
-
UN: Kimbunga na mafuriko yameua watu 10 Msumbiji
Mar 12, 2019 04:10Kwa akali watu 10 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Msumbiji.
-
UN yatafakari kupunguza askari wake wa kulinda amani DRC
Mar 08, 2019 00:06Huenda idadi ya askari wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO ikapunguzwa.
-
UN yaiokosoa Israel kwa kupinga ripoti ya mauaji ya Wapalestina Gaza
Mar 06, 2019 23:23Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Israel kupinga ripoti ya wataalamu wa umoja huo kuhusu mauaji ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza yaliyofanywa na askari katili wa utawala huo haramu.