-
Muhammad Abdul-Salam: Kimya cha Umoja wa Mataifa kinawapa jeuri zaidi wavamizi wa Yemen
Mar 02, 2019 12:22Mkuu wa ujumbe wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen kwenye mazungumzo ya amani amesema kuwa, kimya cha Umoja wa Mataifa kimekuwa kikiupa jeuri zaidi muungano vamizi dhidi ya Yemen na kuushajiisha kutenda jinai zaidi.
-
Antonio Guterres: Haki za Binadamu ulimwenguni zimo katika hali ya kutoweka
Feb 25, 2019 12:16Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonyesha kuchukizwa na suala la kuongezeka chuki dhidi ya wahajiri, ubaguzi na kupungua kiwango cha watu kustahamiliana.
-
Venezuela yatoa mwito wa kuungwa mkono na UN kukabiliana na "Hujuma ya Kijeshi"
Feb 21, 2019 21:39Ofisi ya uwakilishi ya Venezuela katika Umoja wa Mataifa imewaalika mabalozi wa nchi 46 wanacjama kushiriki kikao ambacho lengo lake ni kuutaka umoja huo utimize wajibu wake wa kupinga vitisho vya uanzishaji "hujuma ya kijeshi".
-
UN yalaani shambulio la kigaidi la kusini mashariki mwa Iran
Feb 15, 2019 04:09Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa taarifa na kulaani shambulio la kigaidi lililotokea Jumatano usiku katika mkoa wa Sistan na Baluchistan wa kusini mashariki mwa Iran.
-
UN: Mapigano mapya Sudan Kusini yasababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi
Feb 12, 2019 10:44Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema mapigano mapya yaliyoibuka nchini Sudan Kusini yamesababisha watu 13,000 kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi.
-
Guterres: Wasichana wa vijijini wapewa fursa ya kusoma
Feb 10, 2019 23:15Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kufanywa jitihada na kuandaliwa mikakati maalumu kwa ajili ya kuwapa elimu watoto wa kike hususan wanaoishi vijijini.
-
Walinda amani watatu wafariki dunia katika ajali ya helikopta nchini Sudan
Feb 10, 2019 04:06Umoja wa Mataifa umesema kuwa, walinda usalama watatu wamepoteza maisha baada ya helikopta ya kijeshi ya Ethiopia kupata ajali ndani ya kituo cha askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa (UNISFA), kwenye eneo lenye mzozo la Abyei katika mpaka wa Sudan na Sudan Kusini.
-
UN: Mauaji ya Khashoggi yamefanywa na maafisa wa utawala wa Saudi Arabia
Feb 08, 2019 04:33Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema maafisa wa Saudi Arabia wanahusika moja kwa moja na mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala huo wa kifalme.
-
UN yasikitika kufungwa maisha jela viongozi wa upinzani Bahrain
Feb 01, 2019 23:17Umoja wa Mataifa umetilia shaka mchakato wa kesi, baada ya mahakama ya Bahrain kuwahukumu kifungo cha maisha jela viongozi wa upinzani nchini humo.
-
UNICEF: Zaidi ya watoto 6,000 wa Kiyemen wameuawa au kujeruhiwa katika vita vya Saudi Arabia dhidi ya Yemen
Jan 31, 2019 04:18Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto 6,700 wa Kiyemen wameuawa au kujeruhiwa tangu Saudi Arabia ilipoanzisha hujuma yake ya kijeshi dhidi ya nchi masikini ya Yemen.