Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Saudia inazuia kufikishwa misaada ya kibinadamu kwa Wayemen

    UN: Saudia inazuia kufikishwa misaada ya kibinadamu kwa Wayemen

    Nov 07, 2017 04:46

    Umoja wa Mataifa umesema hatua ya Saudi Arabia kufunga mipaka ya ardhini, angani na baharini ya Yemen imepelekea umoja huo ushindwe kufikisha misaada ya kibinadamu kwa ajili ya wananchi wanaosumbuliwa na njaa wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Guterres: Umoja wa Mataifa umeazimia kulinda mazingira

    Guterres: Umoja wa Mataifa umeazimia kulinda mazingira

    Nov 06, 2017 09:21

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuhusu azma ya umoja huo ya kulinda mazingira duniani.

  • Richard Falk wa UN: Kurejea amani Palestina ni sharti kwanza ufutwe utawala wa kibaguzi wa Israel

    Richard Falk wa UN: Kurejea amani Palestina ni sharti kwanza ufutwe utawala wa kibaguzi wa Israel

    Nov 03, 2017 03:58

    Ripota maalumu wa zamani wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu sambamba na kuashiria kuwa, umoja huo hauna haki ya kuainisha mustakbali wa taifa la Palestina, amesema kuwa ili kurejea usalama na amani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ni sharti kwanza kuondoshwa utawala wa kibaguzi wa Israel ambao unazikalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

  • Mwakilishi wa UN ataka kususiwa Israel, Marekani yapinga

    Mwakilishi wa UN ataka kususiwa Israel, Marekani yapinga

    Oct 28, 2017 12:09

    Ofisi ya mwakilishi wa Mrekani katika Umoja wa Mataifa imekosoa msimamo wa Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UN: Watoto wa Yemen wanakabiliwa na mgogoro mkubwa zaidi wa chakula duniani

    UN: Watoto wa Yemen wanakabiliwa na mgogoro mkubwa zaidi wa chakula duniani

    Oct 24, 2017 01:02

    Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa jana ilitoa taarifa na kueleza kuwa uvamizi wa kijeshi wa Saudi Arabia huko Yemen ni haribifu na kusisitiza kuwa jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Saudia zimewasababishia watoto wa Yemen kukumbwa na mgogoro mkubwa zaidi wa chakula duniani na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.

  • Rwanda yatajwa kuzuia safari ya timu ya kuzuia utesaji ya Umoja wa Mataifa

    Rwanda yatajwa kuzuia safari ya timu ya kuzuia utesaji ya Umoja wa Mataifa

    Oct 21, 2017 23:38

    Kamisheni ya Kuzuia Utesaji ya Umoja wa Mataifa imeahirisha safari ya ujumbe wa kamisheni hiyo kwenda Rwanda.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa asisitiza kutumwa askari zaidi CAR

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa asisitiza kutumwa askari zaidi CAR

    Oct 18, 2017 11:39

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kutumwa askari 900 wa kofia buluu wa umoja huo kwa ajili ya kusimamia amani Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Kukosolewa serikali ya Juba na UN kwa kigugumizi chake katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Sudan Kusini

    Kukosolewa serikali ya Juba na UN kwa kigugumizi chake katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Sudan Kusini

    Oct 18, 2017 09:56

    Kuendelea vita vya ndani huko Sudan Kusini, kumeufanya Umoja wa Mataifa uituhumu serikali ya Juba kwamba, imekuwa na kigugumizi na hali ya kusitasita katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • Katibu Mkuu wa UN ataka mapambano ya kimataifa dhidi ya umaskini

    Katibu Mkuu wa UN ataka mapambano ya kimataifa dhidi ya umaskini

    Oct 18, 2017 04:13

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kuendeshwa mapambano ya kutokomeza vyanzo vya umaskini duniani.

  • Katibu Mkuu wa UN asisitiza umuhimu wa kutatuliwa migogoro ya Afrika

    Katibu Mkuu wa UN asisitiza umuhimu wa kutatuliwa migogoro ya Afrika

    Oct 14, 2017 23:25

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza umuhimu wa kutatuliwa migogoro ya Afrika kwa shabaha ya kutafuta sababu na chanzo cha njaa na uhaba wa chakula katika nchi za bara hilo na huko Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS