-
Myanmar inawanyima chakula Waislamu wa jamii ya Rohingya
Oct 13, 2017 10:49Shirika moja la kutetea haki za binadamu linasema serikali ya Myanmar inazuia kwa makusudi chakula kuwafikia Waislamu wa jamii ya Rohingya kwa lengo la kuwalazimisha kukimbia ardhi yao ya jadi nchini humo.
-
UN yatahadharisha kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Oct 10, 2017 12:15Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kushadidi zaidi mgogoro wa nchi hiyo.
-
Waasi washambulia kituo cha askari wa Umoja wa Mataifa DRC
Oct 10, 2017 04:42Duru za kuaminika huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimesema kuwa, waasi wa Uganda wameshambulia kituo cha askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa mashariki mwa Kongo.
-
UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi laki 8 wa Myanmar waliopo Bangladesh
Oct 08, 2017 04:37Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kutoandaliwa kambi kwa ajili ya kuwahifadhi wakimbizi Waislamu wa Rohingya wapatao laki nane huko Bangladesh ni jambo hatari sana.
-
Watu watatu wauawa katika shambulio la kituo cha UN, DRC
Oct 07, 2017 04:21Watu watatu wameuawa na askari wawili wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kundi la watu kushambulia kituo cha kijeshi cha Umoja wa Mataifa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana Ijumaa.
-
Waziri wa Ulinzi wa Uholanzi ajiuzulu kutokana na mauaji ya askari wa UN, Mali
Oct 04, 2017 04:37Waziri wa Ulinzi wa Uholanzi ametangaza kujiuzulu wadhifa wake baada ya ripoti kufichua udhaifu mkubwa wa idara iliyokuwa chini yake wakati wa operesheni ya Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA.
-
Machafuko yashtadi Cameroon, Guterres ataka yafanyike mazungumzo
Oct 04, 2017 04:31Hali ya taharuki na mchafukoge imeripotiwa kushtadi nchini Cameroon huku mashirika ya kutetea haki za binadamu yakivitaka vyombo vya usalama nchini humo kutotumia mbinu za ukatili kuzima malalamiko na maandamano ya wananchi wanaotaka majimbo yao yajitenge na serikali kuu ya Yaounde.
-
Saudia yawekwa tena katika orodha nyeusi ya UN kwa kuua watoto Yemen
Oct 04, 2017 04:24Jina la Saudi Arabia limeonekana katika rasimu ya siri ya orodha nyeusi ya Umoja wa Mataifa kutokana na mauaji na mateso yanayofanywa na Riyadh dhidi ya watoto wa Yemen.
-
OCHA: Hali ya mambo Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi
Sep 28, 2017 23:53Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeeleza wasiwasi mkubwa ilionao kutokana na kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika maeneo ya magharibi mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Benki ya Dunia yatahadharisha kuhusu mgogoro wa elimu wa mamilioni ya watoto duniani
Sep 27, 2017 22:59Benki ya Dunia imetahadharisha kuhusiana na mgogoro wa elimu wa mamilioni ya watoto katika pembe mbalimbali duniani hasa katika nchi masikini na maeneo ya vita na machafuko.