-
Russia: Umoja wa Ulaya hauna uvumilivu katika suala la uhuru wa kutoa maoni
May 19, 2024 07:09Spika wa Bunge la Russia Duma ameushutumu Umoja wa Ulaya (EU) kwa kubana maoni mbadala na kuminya uhuru wa kujieleza kwa lengo la kuwahadaa raia.
-
Borrell: Nchi 4 za Ulaya kulitambua taifa la Palestina
May 11, 2024 04:28Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amethibitisha kuwa nchi nne za Ulaya zitaitambua Palestina kama taifa huru.
-
Ethiopia yahamakishwa na EU kuiwekea vizuizi katika upokeaji wa viza
May 10, 2024 03:53Ethiopia imeeleza kughadhabishwa na hatua ya Baraza la Umoja wa Ulaya ya kuwawekea raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika vikwazo na vizingiti katika upokeaji wa viza.
-
Borrell: EU na Jamii ya Kimataifa zinapaswa kuzuia uvamizi na mashambulio ya Israel Rafah
May 07, 2024 03:06Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema, amri iliyotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwataka wakazi wa mashariki ya Rafah kusini mwa Ukanda wa Ghaza wahame katika eneo hilo haikubaliki.
-
Borrell: Marekani imepoteza nafasi yake katika Nidhamu ya Dunia ya pande kadhaa
May 05, 2024 23:02Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell amesema, Marekani imepoteza nafasi yake katika Nidhamu ya Dunia ya pande kadhaa.
-
Bunge la EU ladhihirisha tena unafiki wa Magharibi kwa kulaani shambulio la kujibu mapigo la Iran dhidi ya Israel
Apr 26, 2024 07:37Bunge la Ulaya limedhihirisha tena sera za undumilakuwili za Magharibi kwa kupitisha azimio la kulaani shambulio la hivi karibuni la kujibu mapigo lililofanywa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kuzitolea wito nchi wanachama za umoja huo ziiwekee Tehran vikwazo vingine vipya na vikali zaidi.
-
Kuiwekea vikwazo sekta ya ulinzi ya Iran, zawadi mpya iliyotunukiwa Israel na Magharibi
Apr 24, 2024 23:05Katika hatua uliyochukua ili kuufurahisha utawala wa Kizayuni wa Israel, Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa utapanua wigo wa vikwazo ulivyoiwekea sekta ya ulinzi ya Iran.
-
Onyo jipya kuhusu kuingia NATO katika vita vya Ukraine
Apr 23, 2024 00:55Viktor Orbán, Waziri Mkuu wa Hungary amesema katika taarifa kwamba viongozi wa Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Kujihami ya Kijeshi ya Magharibi (NATO) wanauchukulia mzozo wa Moscow na Kyiv kuwa ni wao na wala hawazingatii hatari ya kujihusisha na mzozo huo. Ameonya kuwa NATO inakaribia kutuma askari wake huko Ukraine.
-
Moscow: EU imekiri kuwa inahudumia ubeberu wa Marekani
Mar 26, 2024 22:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema matamshi ya karibuni ya Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ni ungamo la Magharibi kwamba inajihusisha na mgogoro wa Ukraine ili kuisaidia Marekani kudumisha nafasi yake ya ubeberu duniani.
-
Viongozi wa EU waionya Israel dhidi ya kuishambulia Rafah
Mar 22, 2024 07:27Viongozi wa Umoja wa Ulaya wameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ufute mpango wake wa kuuvamia na kuushambulia kijeshi kupitia ardhini mji wa Rafah ulioko kusini ya Ukanda wa Gaza.