-
Borrell: Gaza limegeuka kaburi kubwa zaidi la wazi duniani
Mar 18, 2024 23:59Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya huku akieleza wasiwasi mkubwa alionao kuhusu mgogoro wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza amesema kuwa, eneo hilo la Wapalestina lililozingirwa limegeuka na kuwa kaburi kubwa zaidi la wazi duniani.
-
Borrell: Israel inafanya mauaji ya halaiki dhidi ya watu wa Gaza
Mar 15, 2024 22:53Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ambaye katika siku za hivi karibuni ameutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa unatumia "njaa kama silaha" katika vita vya Gaza, ameonya kuwa utawala huo unawaua watu wa Gaza kwa umati.
-
EU yaikosoa Israel kwa kuzuia misaada ya kibinadamu Gaza
Mar 03, 2024 04:09Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amekosoa hatua ya utawala haramu wa Israel ya kuzuia kuingizwa na kusambazwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza.
-
Nchi 26 kati ya 27 za EU zataka 'kusitishwa vita haraka kwa sababu za kibinadamu' Ghazza
Feb 20, 2024 03:36Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell ametangaza kuwa, nchi zote wanachama wa umoja huo isipokuwa moja tu, ambazo ni 26 kati ya 27, zimetoa wito wa "kusitishwa mara moja mapigano huko Ghazza kwa sababu za kibinadamu", usitishaji ambao utapelekea kupatikana usitishaji wa kudumu wa vita katika eneo hilo.
-
Mkuu wa Sera za Nje wa EU ataka upelekaji silaha kwa Israel ukomeshwe ili kupunguza maafa Gaza
Feb 13, 2024 03:52Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametoa wito kwa washirika wa utawala wa Kizayuni Israel kukomesha upelekaji silaha kwa utawala huo ghasibu iwapo wanataka kupunguza vifo vya raia vinavyosababishwa na vita vyake vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Rais wa UEFA: Kushiriki Israel na Ukraine mechi za EURO 2024 ni hatari kwa usalama
Jan 24, 2024 23:56Rais wa Muungano wa Mashirikisho ya Soka ya Ulaya (UEFA) amesema kushiriki Israel na Ukraine katika fainali zijazo za michuano ya EURO 2024 ni hatari kwa usalama.
-
Vita vya Ukraine vyaubebesha Umoja wa Ulaya zigo zito la madeni
Jan 24, 2024 03:26Umoja wa Ulaya umelazimika kubeba zigo zito la madeni kutokana na kuifuata kibubusa Marekani katika kuiunga mkono Ukraine kwenye vita na Russia.
-
Jihadul Islami: Vikwazo vipya vya EU vimechochewa kisiasa
Jan 20, 2024 03:50Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imeukosoa vikali Umoja wa Ulaya kwa kuwawekea vikwazo maafisa wa kundi hilo la muqawama pamoja na wenzao wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina(HAMAS).
-
Mkuu wa sera za kigeni wa EU: Ni muhimu kusitisha vita Gaza
Jan 14, 2024 04:09Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa ni muhimu kusitisha vita Ukanda wa Gaza. Josep Borrell ameeleza haya katika mazungumzo na viongozi wa ngazi ya juu wa nchi za Asia Magharibi walipojadili matukio ya karibuni huko Palestina.
-
Ombi la Italia la kuunda jeshi la Ulaya
Jan 08, 2024 22:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Antonio Tajani, amesema kwamba Umoja wa Ulaya unapaswa kuunda jeshi lake la pamoja ambalo linaweza kuwa na jukumu la kudumisha amani na kuzuia migogoro.