Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • EU: Israel inakanyaga sheria za kimataifa kwa kuiwekea mzingiro Gaza

    EU: Israel inakanyaga sheria za kimataifa kwa kuiwekea mzingiro Gaza

    Oct 11, 2023 08:38

    Umoja wa Ulaya umesema kuwa utawala wa Israel umekiuka sheria za kimataifa kwa kuuweka Ukanda wa Gaza chini ya mzingiro.

  • Kuendelea hitilafu katika Umoja wa Ulaya kuhusu wahamiaji

    Kuendelea hitilafu katika Umoja wa Ulaya kuhusu wahamiaji

    Oct 07, 2023 22:57

    Hitilafu kuhusu kadhia ya wahamiaji miongoni mwa nchi za Umoja wa Ulaya zingali zinaendelea licha ya makubaliano ya hivi karibuni kuhusu suala hilo.

  • Tunisia yakataa msaada wa kifedha wa Umoja wa Ulaya

    Tunisia yakataa msaada wa kifedha wa Umoja wa Ulaya

    Oct 04, 2023 23:46

    Rais Kais Saied wa Tunisia amekataa kupokea msaada wa kifedha wa Umoja wa Ulaya (EU) uliokusudia kupiga jeki bajeti ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, sanjari na kuisaidia kukabiliana na mgogoro wa wakimbizi.

  • Indhari ya Borrell kuhusu uwezekano wa kusambaratika Umoja wa Ulaya

    Indhari ya Borrell kuhusu uwezekano wa kusambaratika Umoja wa Ulaya

    Sep 23, 2023 22:50

    Josep Borrell Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametahadharisha kuwa umoja huo unakabiliwa na mgawanyiko mkubwa kuhusu sera za uhamiaji na kwamba suala hilo linaweza kuufanya Umoja wa Ulaya uvunjike.

  • Iran: Tutajibu mapigo ya vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya

    Iran: Tutajibu mapigo ya vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya

    Sep 17, 2023 01:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itajibu mapigo kwa hatua ya kujikariri ya Umoja wa Ulaya na Uingereza ya kuendelea kulisakama taifa hili kwa vikwazo.

  • EU yashutumiwa kwa kuwabagua wakimbizi wa Kiafrika

    EU yashutumiwa kwa kuwabagua wakimbizi wa Kiafrika

    Aug 19, 2023 00:22

    Umoja wa Ulaya umeendelea kukosolewa kwa kutekeleza sera za kibaguzi dhidi ya wakimbizi kutoka Ukraine kwa upande mmoja, na wale wanaotoka nchi za Afrika na bara Asia kwa upande wa pili.

  • Ubaguzi wa rangi; Mgogoro mkubwa barani Ulaya

    Ubaguzi wa rangi; Mgogoro mkubwa barani Ulaya

    Jul 03, 2023 04:44

    Kuendelea na kushadidi sera za ubaguzi umekuwa mgogoro mkubwa wa kisiasa na kijamii barani Ulaya, kiasi kwamba katika miezi ya hivi karibuni raia wengi wa Ulaya wametoa wito wa kukomeshwa sera hizo kwa kufanya mikutano na maandamano.

  • EU: Vikwazo vya Marekani vinakanyaga sheria za kimataifa

    EU: Vikwazo vya Marekani vinakanyaga sheria za kimataifa

    Jun 13, 2023 04:03

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema vikwazo vya Marekani mbali na kukiuka mamlaka ya kujitawala nchi nyingine duniani, lakini pia vinakanyaga sheria na kanuni za kimataifa.

  • Kuinusuru Uturuki na kuendelea ukoloni wa Umoja wa Ulaya

    Kuinusuru Uturuki na kuendelea ukoloni wa Umoja wa Ulaya

    Jun 08, 2023 03:22

    Bunge la Ulaya limesema Rais Recep Tayyeb Erdogan wa Uturuki kupata fursa nyingine ya kuiongoza nchi hiyo ya Kiislamu kutakwamisha juhudi za kujiunga nchi hiyo na Umoja wa Ulaya.

  • Gharama za kijeshi za Umoja wa Ulaya zimeongezeka kwa asilimia 30

    Gharama za kijeshi za Umoja wa Ulaya zimeongezeka kwa asilimia 30

    May 14, 2023 08:05

    Mkuu wa Sera za Nje za Umoja wa Ulaya Josep Borrell ametangaza kuwa gharama za kijeshi za umoja huo zimeongezeka kwa asilimia 30.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS