Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Kushindwa Umoja wa Ulaya kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia

    Kushindwa Umoja wa Ulaya kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia

    May 17, 2022 22:34

    Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema katika mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kikao cha mawaziri wa umoja huo mjini Brussels Ubelgiji kwamba, hakuna uwezekano wa kufikiwa makubaliano kuhusiana na kifurushi cha sita cha vikwazo dhidi ya Russia.

  • Kuongezeka upinzani barani Ulaya dhidi ya kuwekewa vikwazo vya mafuta Russia

    Kuongezeka upinzani barani Ulaya dhidi ya kuwekewa vikwazo vya mafuta Russia

    May 05, 2022 22:07

    Licha ya vitisho vya Umoja wa Ulaya kuhusiana na kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia katika fremu ya kifurushi cha sita cha vikwazo dhidi ya nchi hiyo, lakini jambo hilo linaonekana kukabiliwa na upinzani mkali barani humo na hata baadhi ya viongozi wa Marekani kutoa onyo dhidi ya hatua hiyo.

  • Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi

    Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi

    May 04, 2022 21:45

    Ikulu ya Kremlin imetangaza Jumanne kuwa, Rais Vladimir Putin wa Russia ametia saini amri ya kukabiliana na 'hatua zisizo za kirafiki za baadhi ya nchi za kigeni na mashirika ya kimataifa." Dikrii hiyo inasisitiza hatua za kulipiza kisasi dhidi ya nchi ambazo zimetajwa kuwa 'zisizo za kirafiki'. Kwa mujibu wa amri hiyo Russia itaziwekea vikwazo baadhi ya nchi na taasisi za kimataifa.

  • Putin atia saini amri ya kuziwekea vikwazo nchi za Ulaya na Marekani

    Putin atia saini amri ya kuziwekea vikwazo nchi za Ulaya na Marekani

    May 03, 2022 22:05

    Ikulu ya Russia (Kremlin) imetangaza kuwa, Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo ametia saini amri ya kuchukuliwa hatua kali za kulipiza kisasi vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi dhidi ya Moscow.

  • Umoja wa Ulaya wachochea vita Ukraine: Mchezo wa Brussels kwenye uwanja wa Washington

    Umoja wa Ulaya wachochea vita Ukraine: Mchezo wa Brussels kwenye uwanja wa Washington

    Apr 11, 2022 00:32

    Huku akisema kuwa mvutano kati ya Ukraine na Russia utamalizikia tu katika medani ya vita, Joseph Borrell, mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya ametoa wito wa kutatuliwa kijeshi mzozo uliopo kati ya pande hizo.

  • Amir Abdollahian azungumza kwa simu na Guterres: Mapatano yanakaribia katika mazungumzo ya Vienna

    Amir Abdollahian azungumza kwa simu na Guterres: Mapatano yanakaribia katika mazungumzo ya Vienna

    Apr 03, 2022 06:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa mapendekezo ya Iran katika mazungumzo ya Vienna yametumwa upande wa Marekani mwakilishi wa Umoja wa Ulaya katika mazungumzo hayo; na sasa mpira upo mbele ya Marekani.

  • Nchi za Ulaya zasajili rekodi mpya ya mfumko wa bei za bidhaa

    Nchi za Ulaya zasajili rekodi mpya ya mfumko wa bei za bidhaa

    Apr 02, 2022 08:29

    Mfumko wa bei za bidhaa katika nchi za bara Ulaya ulikwea hadi kiwango cha kutisha cha asilimia 7.5 mwezi uliopita wa Machi.

  • Mazungumzo ya Istanbul na sisitizo la uanachama wa Ukraine katika Umoja wa Ulaya

    Mazungumzo ya Istanbul na sisitizo la uanachama wa Ukraine katika Umoja wa Ulaya

    Mar 30, 2022 21:58

    Duru mpya ya mazungumzo kati ya wajumbe wa Russia na Ukraine ilifanyika mjini Istanbul, Uturuki siku ya Jumanne iliyopita. Baada ya mazungumzo na Russia, mkuu wa ujumbe wa Ukraine, David Arakhamia, alisema kuwa hakuna mtu anayeweza kuizuia Ukraine kujiunga na Umoja wa Ulaya.

  • EU: Mazungumzo ya Vienna yamefikia hatua nyeti na hasasi

    EU: Mazungumzo ya Vienna yamefikia hatua nyeti na hasasi

    Mar 29, 2022 03:25

    Msemaji wa Kamisheni ya Ulaya amesema, mazungumzo ya Vienna ya kufufua mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA yamefikia hatua nyeti na hasasi.

  • Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia

    Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia

    Mar 27, 2022 21:57

    Waziri Mkuu wa Poland, Mateusz Morawiecki amedai kuwa, nchi tatu za Ulaya za Ujerumani, Austria na Hungary ni kizuizi katika utekelezaji wa vikwazo vipya dhidi ya Russia na kuzifananisha nchi hizo tatu na breki inayozuia vikwazo vya Magharibi dhidi ya Moscow.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS