-
Hizi ndizo nchi zilizopinga Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
Mar 19, 2022 23:13Katika hatua muhimu, Umoja wa Mataifa wiki hii uliitambua rasmi Machi 15 kama Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu, lakini baadhi ya nchi zilichagua kutounga mkono azimio hilo.
-
Al-Bakhiti: Umoja wa Ulaya umeonyesha kuporomoka kwake kimaadili
Mar 19, 2022 08:27Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Serikali ya Uokoaji wa Kitaifa ya Yemen, amekosoa hatua ya Umoja wa Ulaya (EU) ya kuiweka harakati ya Ansarullah katika orodha yake nyeusi na kusema: "EU imeonyesha kuporomoka kwake kimaadili kwa kitendo hiki."
-
Umoja wa Ulaya waonesha matumaini ya kufikiwa makubaliano kuhusu JCPOA
Mar 18, 2022 23:18Msemaji wa Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amesema kuwa, ana imani mazungumzo ya Vienna yatazaa matunda mazuri na yatapelekea kuondolewa vikwazo Iran.
-
Iran: Kujitakia makuu Marekani kusiathiri masuala muhimu Vienna
Mar 10, 2022 23:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema masuala ya msingi na kuondolewa Iran vikwazo havipaswi kuathiriwa na tabia ya kujitakia makuu Marekani.
-
Upinzani dhidi ya uanachama wa Ukraine katika Umoja wa Ulaya
Mar 08, 2022 08:00Mjumbe mmoja wa ngazi za juu katika bunge la Ujerumani amesema kuwa mkondo wa kuipa Ukraine uanachama katika Umoja wa Ulaya ni hatari kwa maslahi ya umoja huo na kwamba njia bora ni kuipa Ukraine uanachama wa heshima tu.
-
Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine
Mar 06, 2022 00:52Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amependekeza nchi ya tatu iwe mpatanishi wa kumaliza mivutano kati ya Russia na Ukraine.
-
Ombi la Ukraine la kujiunga na Umoja wa Ulaya limekubaliwa
Mar 02, 2022 10:12Bunge la Ulaya limepitisha ombi la Ukraine la kujiunga na jumuiya hiyo kwa kura 637 za 'ndiyo' 13 za 'hapana' huku wajumbe 26 wakiamua kutopiga kura.
-
Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia
Feb 25, 2022 10:03Baada ya Russia kuchukua uamuzi wa kuishambuulia kijeshi Ukraine, kambi ya magharibi imeonyesha radiamali katika fremu ya kuiwekea vikwazo Moscow ambapo kabla ya hapo madola hayo yalikuwa yameahidi kuchukua uamuzi huo.
-
EU: Mazungumzo ya Vienna yamefika katika marhala hasasi
Feb 22, 2022 23:10Naibu Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema mazungumzo ya Vienna yenye lengo la kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanaelekea ukingoni, na hivi sasa yako katika marhala hasasi na nyeti.
-
Undumakuwili wa Umoja wa Ulaya: Mapigano Yemen yanaweza kuhitimishwa kwa njia ya kisiasa tu
Jan 18, 2022 03:47Umoja wa Ulaya umetoa taarifa katika radiamali yake kwa mashambulizi ya kuadhibu ya jeshi la Yemen huko Abu Dhabi na kusisitiza kuwa mapigano yanayoendelea Yemen yanaweza kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya kisiasa tu.