Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Hizi ndizo nchi zilizopinga Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Hizi ndizo nchi zilizopinga Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Mar 19, 2022 23:13

    Katika hatua muhimu, Umoja wa Mataifa wiki hii uliitambua rasmi Machi 15 kama Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu, lakini baadhi ya nchi zilichagua kutounga mkono azimio hilo.

  • Al-Bakhiti: Umoja wa Ulaya umeonyesha kuporomoka kwake kimaadili

    Al-Bakhiti: Umoja wa Ulaya umeonyesha kuporomoka kwake kimaadili

    Mar 19, 2022 08:27

    Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Serikali ya Uokoaji wa Kitaifa ya Yemen, amekosoa hatua ya Umoja wa Ulaya (EU) ya kuiweka harakati ya Ansarullah katika orodha yake nyeusi na kusema: "EU imeonyesha kuporomoka kwake kimaadili kwa kitendo hiki."

  • Umoja wa Ulaya waonesha matumaini ya kufikiwa makubaliano kuhusu JCPOA

    Umoja wa Ulaya waonesha matumaini ya kufikiwa makubaliano kuhusu JCPOA

    Mar 18, 2022 23:18

    Msemaji wa Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amesema kuwa, ana imani mazungumzo ya Vienna yatazaa matunda mazuri na yatapelekea kuondolewa vikwazo Iran.

  • Iran: Kujitakia makuu Marekani kusiathiri masuala muhimu Vienna

    Iran: Kujitakia makuu Marekani kusiathiri masuala muhimu Vienna

    Mar 10, 2022 23:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema masuala ya msingi na kuondolewa Iran vikwazo havipaswi kuathiriwa na tabia ya kujitakia makuu Marekani.

  • Upinzani dhidi ya uanachama wa Ukraine katika Umoja wa Ulaya

    Upinzani dhidi ya uanachama wa Ukraine katika Umoja wa Ulaya

    Mar 08, 2022 08:00

    Mjumbe mmoja wa ngazi za juu katika bunge la Ujerumani amesema kuwa mkondo wa kuipa Ukraine uanachama katika Umoja wa Ulaya ni hatari kwa maslahi ya umoja huo na kwamba njia bora ni kuipa Ukraine uanachama wa heshima tu.

  • Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Mar 06, 2022 00:52

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amependekeza nchi ya tatu iwe mpatanishi wa kumaliza mivutano kati ya Russia na Ukraine.

  • Ombi la Ukraine la kujiunga na Umoja wa Ulaya limekubaliwa

    Ombi la Ukraine la kujiunga na Umoja wa Ulaya limekubaliwa

    Mar 02, 2022 10:12

    Bunge la Ulaya limepitisha ombi la Ukraine la kujiunga na jumuiya hiyo kwa kura 637 za 'ndiyo' 13 za 'hapana' huku wajumbe 26 wakiamua kutopiga kura.

  • Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia

    Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia

    Feb 25, 2022 10:03

    Baada ya Russia kuchukua uamuzi wa kuishambuulia kijeshi Ukraine, kambi ya magharibi imeonyesha radiamali katika fremu ya kuiwekea vikwazo Moscow ambapo kabla ya hapo madola hayo yalikuwa yameahidi kuchukua uamuzi huo.

  • EU: Mazungumzo ya Vienna yamefika katika marhala hasasi

    EU: Mazungumzo ya Vienna yamefika katika marhala hasasi

    Feb 22, 2022 23:10

    Naibu Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema mazungumzo ya Vienna yenye lengo la kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanaelekea ukingoni, na hivi sasa yako katika marhala hasasi na nyeti.

  • Undumakuwili wa Umoja wa Ulaya: Mapigano Yemen yanaweza kuhitimishwa kwa njia ya kisiasa tu

    Undumakuwili wa Umoja wa Ulaya: Mapigano Yemen yanaweza kuhitimishwa kwa njia ya kisiasa tu

    Jan 18, 2022 03:47

    Umoja wa Ulaya umetoa taarifa katika radiamali yake kwa mashambulizi ya kuadhibu ya jeshi la Yemen huko Abu Dhabi na kusisitiza kuwa mapigano yanayoendelea Yemen yanaweza kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya kisiasa tu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS