Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Hali ya kusikitisha na kushtua inayowakabili watoto na wanawake wahajiri nchini Ugiriki

    Hali ya kusikitisha na kushtua inayowakabili watoto na wanawake wahajiri nchini Ugiriki

    Dec 28, 2019 09:22

    Gazeti la Daily Mail limeripoti kuwa maelfu ya wanawake na watoto wanakabiliwa na hali ya kusikitisha katika kisiwa kimoja huko Ugiriki.

  • Luxembourg yaiandikia barua EU kuhusu kutambuliwa rasmi taifa la Palestina

    Luxembourg yaiandikia barua EU kuhusu kutambuliwa rasmi taifa la Palestina

    Dec 09, 2019 23:50

    Luxembourg imeuandikia barua Umoja wa Ulaya, ikiutaka umoja huo uitambue rasmi nchi huru ya Palestina.

  • Trump, changamoto kubwa zaidi kwa Umoja wa Ulaya

    Trump, changamoto kubwa zaidi kwa Umoja wa Ulaya

    Nov 30, 2019 01:01

    Tokea aingie madarakani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitekeleza siasa za upande mmoja na kuiondoa nchi hiyo katika mitakaba muhimu ya kimataifa, kinyume kabisa na matarajio na mitazamo ya Umoja wa Ulaya na hivyo kupanua pengo la tofauti kati ya pande hizo mbili za Bahari ya Atlantiki.

  • Araqchi: Kubakia hai JCPOA kutategemea jitihada za EU

    Araqchi: Kubakia hai JCPOA kutategemea jitihada za EU

    Nov 30, 2019 00:59

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema kuyanusuru na kuyabakisha hai makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutategemea na jitihada za Umoja wa Ulaya na kutekeleza kwao majukumu yao kwa mujibu wa mapatano hayo.

  • Algeria yalaani taarifa ya Bunge la Ulaya, yasema inaingilia masuala yake ya ndani

    Algeria yalaani taarifa ya Bunge la Ulaya, yasema inaingilia masuala yake ya ndani

    Nov 29, 2019 05:55

    Serikali ya Algeria imelaani vikali taarifa iliyotolewa na Bunge la Ulaya kuhusu hali ya ndani ya nchi hiyo ikisisitiza kuwa hatua hiyo ni kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine.

  • Luxembourg: Umoja wa Ulaya unapasa kulitambua rasmi taifa la Palestina

    Luxembourg: Umoja wa Ulaya unapasa kulitambua rasmi taifa la Palestina

    Nov 21, 2019 08:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Luxembourg amesisitiza kwamba Umoja wa Ulaya ni lazima uitambue rasmi nchi huru ya Palestina.

  • EU yatofautiana na US kuhusu uporaji wa ardhi za Wapalestina

    EU yatofautiana na US kuhusu uporaji wa ardhi za Wapalestina

    Nov 19, 2019 04:36

    Umoja wa Ulaya umeshikilia msimamo wake kuwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ni haramu na kinyume cha sheria za kimataifa.

  • Waziri Mkuu wa Sudan afanya mashauriano ili kuinasua nchi hiyo na vikwazo vya Marekani

    Waziri Mkuu wa Sudan afanya mashauriano ili kuinasua nchi hiyo na vikwazo vya Marekani

    Nov 12, 2019 08:40

    Waziri Mkuu wa Sudan amelazimika kuukimbilia Umoja wa Ulaya katika juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake uliosababishwa na vikwazo vya Marekani.

  • Uamuzi wa Chama cha Brexit wa kutoshiriki katika uchaguzi wa mapema nchini Uingereza

    Uamuzi wa Chama cha Brexit wa kutoshiriki katika uchaguzi wa mapema nchini Uingereza

    Nov 04, 2019 23:00

    Matukio yanayohusiana na kujiondoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brexit) yameingia katika hatua mpya baada ya Bunge la nchi hiyo kuafiki uamuzi wa kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati.

  • Kukubali Umoja wa Ulaya kurefusha muhula wa Brexit

    Kukubali Umoja wa Ulaya kurefusha muhula wa Brexit

    Oct 26, 2019 23:10

    Kufuatia Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson kuwasilisha barua ya kutaka kuongezwa muhula wa kujitoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya, mabalozi wa umoja huo wametangaza kukubali kuongezwa muda huo wa Brexit, lakini bila ya kutaja tarehe maalumu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS