Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Kushindwa tena Johnson katika bunge la Uingereza na mustkabali usiojulikana wa Brexit

    Kushindwa tena Johnson katika bunge la Uingereza na mustkabali usiojulikana wa Brexit

    Sep 06, 2019 07:47

    Suala la kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya, Brexit, sasa limebadilika na kuwa maudhui muhimu zaidi katika siasa za ndani na nje za nchi hiyo.

  • Kushadidi makabiliano baina ya Boris Johnson na wapinzani wake kuhusiana na Brexit

    Kushadidi makabiliano baina ya Boris Johnson na wapinzani wake kuhusiana na Brexit

    Sep 03, 2019 22:08

    Kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brexit) limegeuka na kuwa suala muhimu hivi sasa katika siasa za ndani na za nje za London.

  • Sisitizo la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa EU juu ya kulinda makubaliano ya JCPOA na kuimarisha usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Sisitizo la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa EU juu ya kulinda makubaliano ya JCPOA na kuimarisha usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Aug 31, 2019 07:40

    Umoja wa Ulaya pamoja na Troika ya Ulaya zikiwa wanachama wa kundi la 4+1 mara kadhaa zimesisitiza kuwa kuna udharura wa kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na wakati huo huo kurejesha uthabiti na usalama katika Ghuba ya Uajemi kwa kuzingatia chokochoko za Marekani katika eneo hilo la maji lenye umuhimu wa kijio-stratejia.

  • EU yasisitiza kupatiwa ufumbuzi mzozo wa Kashmir kwa njia ya kisiasa

    EU yasisitiza kupatiwa ufumbuzi mzozo wa Kashmir kwa njia ya kisiasa

    Aug 28, 2019 08:04

    Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuwa utatuzi wa kisiasa ndio njia pekee inayoweza kumalizika hitilafu katika eneo la Kashmir kati ya India na Pakistan.

  • Nchi za Ulaya zaanza kuchunguza hatua za kupambana na Trump

    Nchi za Ulaya zaanza kuchunguza hatua za kupambana na Trump

    Aug 23, 2019 03:14

    Umoja wa Ulaya umeanza kujadili mpango wa kupambana na rais wa Marekani, Donald Trump anayeendesha siasa chafu za kibiashara dhidi ya nchi za Ulaya.

  • Sisistizo la anayechukua nafasi ya Mogherini na Troika ya Ulaya kuhusu kulinda JCPOA

    Sisistizo la anayechukua nafasi ya Mogherini na Troika ya Ulaya kuhusu kulinda JCPOA

    Aug 15, 2019 05:44

    Umoja wa Ulaya na Troika ya umoja huo yaani, Ujerumani, Ufaransa na Uingereza, kama wanachama wa kundi la 4+1 wamekuwa wakidai kuwa wanaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA. Pamoja na hayo, hivi sasa Ulaya inakabiliwa na changamoto kubwa katika kulinda mapatano ya JCPOA. Ni kwa msingi huo ndio wakuu wa Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya wakasisitiza kuhusu kulinda JCPOA.

  • Umoja wa Ulaya wapinga hatua za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Umoja wa Ulaya wapinga hatua za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Aug 04, 2019 02:25

    Kuongezema mivutano katika eneo la Ghuba ya Uajemi kulikosababishwa na hatua za kichokozi na vitisho za Marekani na vile vile hatua ya Iran ya kuisimamisha meli ya mafuta ya Uingereza kwa kukiuka wazi wazi sheria za baharini kumezipelekea Washington na London kufanya kila linalowezekana ili kuimarisha uwepo wao wa kijeshi sambamba na kuanzisha muungano wa baharini eti kwa ajili ya kudhamini usalama wa meli huru katika eneo hilo la kistratejia.

  • Umoja wa Ulaya wamwonya Boris Johnson kuhusiana na Brexit

    Umoja wa Ulaya wamwonya Boris Johnson kuhusiana na Brexit

    Jul 25, 2019 06:18

    Hatimaye baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, uamuzi wa kumchagua kiongozi wa chama cha Wahafidhina na Waziri Mkuu wa Uingereza umechukuliwa, baada ya Boris Johnson kuchaguliwa kuhudumu katika nafasi hizo.

  • Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Korea ya Kaskazini

    Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Korea ya Kaskazini

    Jul 16, 2019 22:05

    Baraza la Umoja wa Ulaya limerefusha muda wa vikwazo vyake dhidi ya Korea ya Kaskazini ikiwa ni radiamali yake kwa majaribio ya makombora na silaha za nyuklia ya nchi hiyo.

  • EU: Iran kupunguza uwajibikaji wake hakujakiuka JCPOA

    EU: Iran kupunguza uwajibikaji wake hakujakiuka JCPOA

    Jul 16, 2019 03:26

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia haijakiuka pakubwa mapatano hayo ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS