Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Sisistizo la anayechukua nafasi ya Mogherini na Troika ya Ulaya kuhusu kulinda JCPOA

    Sisistizo la anayechukua nafasi ya Mogherini na Troika ya Ulaya kuhusu kulinda JCPOA

    Aug 15, 2019 05:44

    Umoja wa Ulaya na Troika ya umoja huo yaani, Ujerumani, Ufaransa na Uingereza, kama wanachama wa kundi la 4+1 wamekuwa wakidai kuwa wanaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA. Pamoja na hayo, hivi sasa Ulaya inakabiliwa na changamoto kubwa katika kulinda mapatano ya JCPOA. Ni kwa msingi huo ndio wakuu wa Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya wakasisitiza kuhusu kulinda JCPOA.

  • Umoja wa Ulaya wapinga hatua za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Umoja wa Ulaya wapinga hatua za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Aug 04, 2019 02:25

    Kuongezema mivutano katika eneo la Ghuba ya Uajemi kulikosababishwa na hatua za kichokozi na vitisho za Marekani na vile vile hatua ya Iran ya kuisimamisha meli ya mafuta ya Uingereza kwa kukiuka wazi wazi sheria za baharini kumezipelekea Washington na London kufanya kila linalowezekana ili kuimarisha uwepo wao wa kijeshi sambamba na kuanzisha muungano wa baharini eti kwa ajili ya kudhamini usalama wa meli huru katika eneo hilo la kistratejia.

  • Umoja wa Ulaya wamwonya Boris Johnson kuhusiana na Brexit

    Umoja wa Ulaya wamwonya Boris Johnson kuhusiana na Brexit

    Jul 25, 2019 06:18

    Hatimaye baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, uamuzi wa kumchagua kiongozi wa chama cha Wahafidhina na Waziri Mkuu wa Uingereza umechukuliwa, baada ya Boris Johnson kuchaguliwa kuhudumu katika nafasi hizo.

  • Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Korea ya Kaskazini

    Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Korea ya Kaskazini

    Jul 16, 2019 22:05

    Baraza la Umoja wa Ulaya limerefusha muda wa vikwazo vyake dhidi ya Korea ya Kaskazini ikiwa ni radiamali yake kwa majaribio ya makombora na silaha za nyuklia ya nchi hiyo.

  • EU: Iran kupunguza uwajibikaji wake hakujakiuka JCPOA

    EU: Iran kupunguza uwajibikaji wake hakujakiuka JCPOA

    Jul 16, 2019 03:26

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia haijakiuka pakubwa mapatano hayo ya JCPOA.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Kujitoa Marekani katika JCPOA, sababu kuu ya mgogoro Mashariki ya Kati

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Kujitoa Marekani katika JCPOA, sababu kuu ya mgogoro Mashariki ya Kati

    Jul 13, 2019 22:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amefanya mazungumzo na Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya mjini Baghdad ambapo alisema kuwa hatua ya Marekani ya kujitoa kwa upande mmoja katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni sababu kuu ya mgogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Iran: Ni haki yetu kuchukua hatua za kukabiliana na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani

    Iran: Ni haki yetu kuchukua hatua za kukabiliana na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani

    Jul 07, 2019 22:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ni haki ya Tehran kuchukua hatua za kisheria ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA katika kukabiliana na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi yake.

  • Ukosoaji wa Russia kuhusu mkinzano uliopo kati ya shaari na hatua za Ulaya katika kulinda makubaliano ya JCPOA

    Ukosoaji wa Russia kuhusu mkinzano uliopo kati ya shaari na hatua za Ulaya katika kulinda makubaliano ya JCPOA

    Jul 06, 2019 07:19

    Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ambazo ni nchi wanachama wa Ulaya katika kundi la 4+1 mara kwa mara zimekuwa zikisisitiza juu ya ulazima wa kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA; na hata kudai kuwa zimeanzisha mfumo maalumu kwa lengo hilo. Pamoja na hayo, shaari na nara zinaotolewa na pande hizo za Ulaya zinakinzana na matendo yao.

  • Kurejea balozi wa Ujerumani nchini Venezuela, dalili nyingine ya kuimarika serikali ya Nicolás Maduro

    Kurejea balozi wa Ujerumani nchini Venezuela, dalili nyingine ya kuimarika serikali ya Nicolás Maduro

    Jul 03, 2019 22:14

    Sambamba na kurejea uthabiti wa kiwango fulani nchini Venezuela na kuimarika nafasi ya serikali ya Rais Nicolás Maduro, sasa nchi mbalimbali zinakusudia kuboresha uhusiano wao na serikali ya Caracas.

  • Kushadidi makabiliano ya kibiashara baina ya Marekani na Ulaya

    Kushadidi makabiliano ya kibiashara baina ya Marekani na Ulaya

    Jul 03, 2019 03:00

    Rais Donald Trump wa Marekani kivitendo ameingia katika vita vya kibiashara na akthari ya madola makubwa kiuchumi uulimwenguni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS