Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Mogherini: EU imekipigia kura ya ndio kifurushi cha kuiunga mkono Iran kuhusiana na JCPOA

    Mogherini: EU imekipigia kura ya ndio kifurushi cha kuiunga mkono Iran kuhusiana na JCPOA

    Jun 29, 2018 23:55

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini amesema kuwa umoja huo umekipigia kura 28 za ndio kifurushi cha kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika fremu ya makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Kutowezekana kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Yemen kwa mtutu wa bunduki

    Kutowezekana kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Yemen kwa mtutu wa bunduki

    Jun 27, 2018 22:06

    Baraza la Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya limesisitiza kuwa, mgogoro wa Yemen hauwezi kupatiwa ufumbuzi kwa njia za kijeshi na kwamba, ufumbuzi pekee ni kupatikana amani ya kudumu kupitia njia ya mazungumzo.

  • Austria yataka kutumwa Afrika askari wa EU kuzuia wimbi la wahajiri

    Austria yataka kutumwa Afrika askari wa EU kuzuia wimbi la wahajiri

    Jun 24, 2018 03:09

    Waziri wa Ulinzi wa Austria, Mario Kunasek ametoa mwito wa kutumwa askari wa Gadi ya Mpakani ya Umoja wa Ulaya katika nchi za Afrika 'zinazoafiki pendekezo hilo' ili kukabiliana na wimbi la wahajiri kutoka nchi hizo kueleke Ulaya.

  • EU kutoa jibu kali kwa Marekani katika vita vya ushuru wa forodha

    EU kutoa jibu kali kwa Marekani katika vita vya ushuru wa forodha

    Jun 21, 2018 02:24

    Mkurugenzi Mkuu wa Biashara katika Kamisheni ya Umoja wa Ulaya amesema kuwa umoja huo utatoa jibu kali kwa Marekani katika vita ya ushuru wa forodha.

  • Matokeo mabaya ya siasa za Magharibi za kuunga mkono ugaidi na kubeba Ulaya hasara ya Euro bilioni 180

    Matokeo mabaya ya siasa za Magharibi za kuunga mkono ugaidi na kubeba Ulaya hasara ya Euro bilioni 180

    Jun 10, 2018 05:47

    Matokeo machungu ya siasa za Magharibi za kuunga mkono makundi ya kigaidi hususan katika eneo la Mashariki ya Kati, yameanza kuonekana pole pole hivi sasa.

  • Mkuu wa Sera za Kigeni EU afuta safari yake Tel Aviv, ongezeko la hitilafu baina ya Ulaya na Israel

    Mkuu wa Sera za Kigeni EU afuta safari yake Tel Aviv, ongezeko la hitilafu baina ya Ulaya na Israel

    Jun 09, 2018 22:20

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amefuta safari yake ya kutembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) baada ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kusema hatakutana naye katika safari hiyo.

  • Hatua mpya za Ulaya kulinda makubaliano ya JCPOA

    Hatua mpya za Ulaya kulinda makubaliano ya JCPOA

    Jun 07, 2018 05:23

    Sambamba na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutangaza hatua ya kuimarisha shughuli zake za nyuklia katika fremu ya mapatano ya nyuklia na nchi sita kubwa za dunia mashuhuri kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), nchi za Ulaya zimeongeza mashauriano na juhudi za kuyalinda yasije yakasambaratika.

  • EU: Hatua ya Iran ya kuimarisha urutubishaji urani haikiuki JCPOA

    EU: Hatua ya Iran ya kuimarisha urutubishaji urani haikiuki JCPOA

    Jun 06, 2018 03:03

    Umoja wa Ulaya umesema tathmini yake ya mwanzo inaashiria kuwa mpango wa Iran wa kuimarisha urutubishaji urani hadi kufikia kiwango cha SWU 190,000 haukinzani na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Umoja wa Ulaya wapiga hatua katika kulinda biashara na Iran

    Umoja wa Ulaya wapiga hatua katika kulinda biashara na Iran

    Jun 01, 2018 09:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Yves Le Drian amesema Umoja wa Ulaya umepiga hatua katika kuyalinda mashirika ya kibiasahra ya umoja huo ili yasilengwe kwa vikwazo vya Marekani kutokana na kufanya biashara na Iran. Hata hivyo amesema hatua zilizochukuliwa bado hazitoshi.

  • Kuanza vita vya kibiashara kati ya Trump na washirika wake wakuu wa kibiashara

    Kuanza vita vya kibiashara kati ya Trump na washirika wake wakuu wa kibiashara

    Jun 01, 2018 09:07

    Hatimaye Rais Donald Trump wa Marekani ameanza kutekeleza kivitendo vita vya kibiashara kati ya nchi hiyo na washirika wake wa Ulaya kwa kuziwekea ushuru mpya bidhaa za chuma cha pua na alumini (aluminiamu) zinazoingizwa nchini humo kutoka nje.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS